Kama sauti hii ni sauti ya kweli, nimeelezwa Mpango ndio mpango mzima. Swali ni akiwa Mkristo, kwanini ni lazima awe Mkatoliki?

Kama sauti hii ni sauti ya kweli, nimeelezwa Mpango ndio mpango mzima. Swali ni akiwa Mkristo, kwanini ni lazima awe Mkatoliki?

Kuna uwezekano mkubwa ndugu pasikali umekengeuka kanuni yako ya kukaa viti vifupi siku za jumapili. Kwa maandishi haya siyo tu kwamba umelewa John walker bali hata shisha ya Mazese (a.k.a jani) umetumia.

Aliyepo yupo na akiondoka anafuata mdogo wake March.

Laa! Sijui nimeandika nn hapa?? Ngoja nikemee hili pepo lililonipanda....pepo tokaaa!!
Tujiandae kubadili bdndera na wimbo wa taifa
 
Kuna mjomba wangu, huyu nilimwamini sana katika kufatilia maswala ya nchi. Alibahatika kusoma nyakati hizo, na kuwa mmoja wa wakubwa.
Tulijadili mara kwa mara siasa, wakati huo Lowasa akitajwa tajwa. Alinambia Rais wa nchi hii atakuwa mkatoliki si Lowasa wakati huo ilikuwa miaka ya 2010. Alisema 2015 Rais atakuwa mkatoliki. Japo nilijua Lowasa hawezi kuwa Rais lakini nilipenda kujua kwanini hoja ya Mkatoliki.

Alinambia, wakatoliki ni watu wanaofundishwa sana maadili na hasa wale walio soma ukatoliki acha hawa wanao jiita wakatoliki bila kufuata taratibu za kikatoliki za ekaristi takatifu.

Alisema, wakatoliki ufundishwa uongozi ndani yao, ni watu wenye nia thabiti katika maamuzi. Ni wazalendo. Alisema japo wanamapungufu yao lakini ukimkuta mkatoliki alie soma ukatoliki ukamkaa uwa ni wazuri sana katika kuongoza na wanapenda haki, na hawaogopi kitu wakiwa wanasimamia haki.

Alisema wakatoliki uanza kufundishwa unyenyekevu, kujiamini na kutumika kwa watu wakiwa toka wadogo kanisani, na hata wanapokwenda shule za seminari. Mkatoliki ufunzwa huduma kwa watu ndo maana mashirika yake yapo mengi kwa kutoa huduma.

Nilivuta picha ya wakatoliki nilosoma nao, wakatoliki mbalimbali niliokutana nao, nikaangalia na hawa wakristo wengine wa nyakati hizi mpya. Kuna utofauti mkubwa. Jaribu kuangalia padri au father anae hudumu mtaani na mchungaji tu wa kawaida katika wito. Utawajua wa romani wanasimama katika imani ipi.
Sibezi makanisa mengine, lakini ukweli utabaki palepale kuna tamaa kubwa za kiuongozi katika makanisa mengine tofauti na wakatoliki.

Ni migogoro mingapi inatokea kwenye makanisa mengine, ni viongozi wangapi toka makanisa mengine wanaishi maisha ya anasa, huku wamejawa na ufahari na kiburi. Wakijitangaza kuwa wanafedha nyingi na wengine udiriki kusema wanafedha kuzidi serikali wakiombwa kodi wanaanza kulialia.

Ulishawahi sikia mkatoliki alouvaa ukatoliki na kushiba ukatoliki akasababisha migogoro au migawanyiko ya kikanisa?

Romani ni mfumo, ulikuwepo hata kabla ya Marekani. Ni dora iliyokamilika yenye kila kitu. Romani imejipenyeza kila mahala, kama uonavyo Mmarekani basi romani ni zaidi ya kanisa. Romani ni utawala wa kiulimwengu. Wanajua kuwaandaa watu wao. Romani utazama miaka kuanzia 30, 50, 70 hadi 100 ijayo. Uwaandaa vijana.

Romani hawana upendeleo, uchukua vijana ambao hawadhaniwi toka vijijini, walio masikini tu na wakawaida, kisha uwasomesha. Uwahudumia kwa kila kitu. Waromani wakimsomesha au kumsaidia mtu hawamuachi. Huyu mtu au kijana au binti upewa konection mbalimbali toka nchi hadi nchi. Yeye anaweza asijielewe lakini wao wapo nae. Hatimae uweza hata kugombea nafasi za serikali huku wakiwa nae bila kuonesha nia.

Waromani, wanajua namna ya kupachika watu wao, na kuwafuatilia, wanaujasusi wa hali ya juu. Ndo maana katika viongozi wanao lindwa sana duniani, ukitoa PUTIN na MKOREA wa tatu ni PAPA.
Hii ndo dora ambayo ni kanisa lenye nguvu duniani. Eti wanatoa tamko watu wanawasanifu wanawatukana. Ha
ha ha! Hawajui!

Waromani unaweza ukawa hata si mtu wao lakini wakiona wanakuhitaji uwe nao, wananamna nzuri ya kujenga mahusiano na wewe. Hawaogopi au kuhofu kukuomba ujiunge na usomee upadre kama unasifa wanazoona zinafaa na wanakuamini. Hasa ukiwa katika umri wa kutumika kikanisa na kijamii.

Tanzania ilisaidiwa sana na waromani katika kufanikisha kujitawala na hata nchi kuendeshwa kwa ushauri mkubwa wa kiromani. Kuna watu watachukia. Lakini kumbuka waromani wamewekeza sana katika maeneo mbalimbali ya hii nchi. Wanamashule, wana vyuo, wana mahopitali, wanamashamba na hata mahoteli na maeneo makubwa muhimu nchini.

Mromani yupo kulinda haki yake, kulinda mali zake, na kujihakikishia hakuna jambo litakalo kwenda mrama kuhusiana na huduma zake hapa nchini. Kwanin asiandae vijana wake ktk fani mbalimbali.

Hii ni tofauti na madhehebu mengine hayaandai vijana katika fani mbalimbali. Wanacho jua wao ni kusomesha mtu uchungaji basi. Lakini Romani utakuwa father ila utasomea udakitari, ufamasia, uinjinia na mengineyo. Watakuingiza hata kwenye siasa.

Madhehebu mengine wao kuwa mchungaji udai sadaka. Ukipata sadaka nyingi katika ushirika wako, wahumini wakakupenda, asikofu wako anakuhamisha kukupeleka kijijini au hata kukuvua uchungaji. Hivi unaweza ukapata kweli kiongozi wa Taifa alie na uzalendo kwa staili hii?

Vijana wanaangaika wao wenyewe, wakifanikiwa kimaisha ni kupigiwa simu na baba mchungaji kila siku kuelezwa michngo ya kanisa.

Ati mtu kawa askofu tena Mkuu wa kanisa kwa miaka kumi bado anafuatwa na watu wa ndani anaambiwa agombee nae anakubali kugombea tena ili kufurahisha na kutumiwa na utawala.

Huu upuuzi uwezi ukuta kwa wakatoloki.

Wakatoliki wanajua mpango, na mpango wenyewe ndo huo wa kuandaa Mpango ili kuwa na Mpango.
Sipingi uyasemayo lakini kama ndivyo kwa nini wastaafu wote ni marehemu na hata kuoelekea aliyekuwa kitini???????
 
Wanabodi

Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!.

Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!.

Jumapili Njema
Paskali.
Kasim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa Makamu wa Rais Dkt Isdory Mpango ni mzima wa afya na yupo nje ya nchi kimajukumu.

Waziri Mkuu amesema kuwa watanzaia waachane na ule mtandao unaosema maneno ya ajabuajabu na wasiwe wasiwasi wowote Kwa kuwa Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu. Hata hivyo hajataja nchi ambako Makamu wa kaenda, na jukumu hilo linahisu nini.

Waziri Mkuu ameyasema hayo alipokuwa Dodoma akiongea na wadau waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya watu wenye Ulemavu Duniani.

"Vilevile Makamu wa Rais Dk. Isdory Mpango ambaye pia naye yuko nje kimajuku, achana na ule mtandao unaosemasema mambo ya ajabu ajabu, yupo nje kimajukumu, anawatakiwa kila la kheri watu wote ambao mmeshiriki hapa leo kwenye haya maadhimisho ya kitaifa anawaombea sana, anawatakia kila la kheri".

Mkuu Nyendo, thanks for this assurance, maana kumeisha anza vineno vineno mtandaoni kuhusu afya yake!.

Kitu ninacho sisitiza Watanzania we have the right to information kuambiwa ukweli wa hali za afya za viongozi wetu wakuu!, ili kama ni kuwaweka kwenye maombi tuwaweke, hii isije kuwa kama ile halafu... kama Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu, then tunamtakia majukumu mema!, na kwa vile VP pia ana press team yake, hakuna ubaya from time to time wakatupia tupia hata tupicha tuu twa VP akiwa kwenye hayo majukumu, unless kama majukumu yenyewe yanafanyikia inside the Pentagon, then ni ngumu kupata hata tupicha!.

Kazi iendelee
P
 
Mkuu Nyendo, thanks for this assurance, maana kumeisha anza vineno vineno mtandaoni kuhusu afya yake!.

Kitu ninacho sisitiza Watanzania we have the right to information kuambiwa ukweli wa hali za afya za viongozi wetu wakuu!, ili kama ni kuwaweka kwenye maombi tuwaweke, hii isije kuwa kama ile halafu... kama Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu, then tunamtakia majukumu mema!, na kwa vile VP pia ana press team yake, hakuna ubaya from time to time wakatupia tupia hata tupicha tuu twa VP akiwa kwenye hayo majukumu, unless kama majukumu yenyewe yanafanyikia inside the Pentagon, then ni ngumu kupata hata tupicha!.

Kazi iendelee
P
Labda ni area 51 ameenda na wataalamu wetu kama msimamizi wakale darasa fulani la kiusalaama
 
Kikeke nae alipgwa chini Kisa kutrend sana kabla ya kula kiapo mwisho wa siku Chali mpango nae mkipigia debe sana meza itapinduliwa aje apate mtu zali lake kama magu 2015
Kikeke yuko shallow sana kwenye mambo ya serikali kifupi sio admin yule ni entertainer asingeweza kupewa nafasi nyeti kiasi kile
Mpango huyu inawezekana kabisa ni turufu halisi ya JK maana ndie aliyemuibua na kumuandaa kama plan B
 
Mkuu Nyendo, thanks for this assurance, maana kumeisha anza vineno vineno mtandaoni kuhusu afya yake!.

Kitu ninacho sisitiza Watanzania we have the right to information kuambiwa ukweli wa hali za afya za viongozi wetu wakuu!, ili kama ni kuwaweka kwenye maombi tuwaweke, hii isije kuwa kama ile halafu... kama Makamu wa Rais Dk. Mpango ni mzima na yupo nje ya nchi kimajukumu, then tunamtakia majukumu mema!, na kwa vile VP pia ana press team yake, hakuna ubaya from time to time wakatupia tupia hata tupicha tuu twa VP akiwa kwenye hayo majukumu, unless kama majukumu yenyewe yanafanyikia inside the Pentagon, then ni ngumu kupata hata tupicha!.

Kazi iendelee
P
…. Majaliwa? Aliyetuambia …yupo anapiga kazi???? Baada ya hapo tarehe ikatengenezwa kuwa 17 March???? Yaani kiongozi mkuu wa nchi afe halafu tuambiwe yupo mzima????? Jamaa ana roho ngumu sana. Makamu sidhani, tarehe inatafutwa kama aliyepita
 
KUCHANGANYA DINI NA SIASA

Serikali inawasakama bure waislamu ya kuwa wanachanganya dini na siasa, wakati ushahidi kutoka katika kitabu cha Dr. Sivalon unadhihirisha wazi wazi kuwa tokea kuasisiwa kwa Jamhuri ya Tanganyika na kisha muungano wa Tanzania, kanisa katoliki kwa ushirikiano wa kichini chini na Serikali ya awamu ya kwanza chini ya uongozi wa Hayati Mwalimu Nyerere, limekuwa likikoroga hasa, dini na siasa na siyo kuchanganya tu

Aidha, na Serikali yenyewe imekuwa, siku zote, ikichanganya siasa na dini kwa kulipendelea zaidi kanisa katoliki na hata mara nyingine kuliachia liingilie maamuzi ya Serikali kama kitabu cha Dkt. Sivalon kinavyothibitisha hayo. Kitendo cha kanisa katoliki serikali na chama tawala kunyamazia kimya na kutokanusha maelezo aliyoyatoa Dr. Sivolon katika kitabu chake hicho ni sababu tosha inayoyafanya yale yalioelezwa humo yaonekane kuwa ni ya kweli. Kuhusu kitabu hicho AL-Hajj Abuod Jumbe anaeleza: "Upitizi wa makini wa kitabu cha Dr.John C.Sivalon kiitwacho KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA BARA, 1953 HADI 1985, unatoa habari za ndani zisizo za kawaida juu ya kampeni dhidi ya uislam". Uk -127. Al-Hajj Jumbe anaendelea kusema, "... kwa maneno mengine, kitabu hicho, kwa kiasi fulani, ni kukiri kwa yeye mwenyewe mwandishi, juu ya shughuli za kanisa la katoliki haliwezi kutenganishwa na Vaticano, na ambalo ubalozi wake ni moja katika balozi kongwe nchini Tanzania. Kwa sababu zisizoeleweka kitabu hicho kimeandikwa na kuchapishwa na waumini wa kanisa hilo. Yaliomo ndani ya kitabu hicho hayajakanushwa na wala kubishiwa na serikari ya muungano au ya Tanganyika au na CCM, huu ukiwa ni ushahidi kamili juu ya ukweli wa kukiri juu ya neno hilo.

Kwa sababu na malengo yo yote ya kutolewa kitabu hicho,na lazima ziwepo sababu za msingi za kufanya hivyo kitabu hiki ni ufunuo mzuri juu ya mbinu za chini kwa chini za kanisa katika medani ya kisiasa Tanzania". UK. 128 Akizidi kufahamisha yale yaliomo ndani ya kitabu hicho cha Dr. Sivalon, AL- Hajj Jumbe anasema, "... kinaeleza kwa vipi kanisa katoliki lilijenga njia ambazo ziliwawezesha kuwa na mahusiano ambayo kitabu hicho kinaeleza yaliyokuwa ya karibu kabisa na TANU wakati wa miaka ya kupigania uhuru. Kinaonesha kuwa wameshika karibu nafasi zote muhimu katika serikali mpya ya kiafrika ya Tanganyika". UK.128 Akiendelea kuchambua yale yaliomo katika kitabu hicho, Al-Hajj Jumbe anaendelea kueleza, "Kinaeleza ni vipi serekali ya Jamuhuri ya muungano ilirithi mmfumo huo na kuupanua katika mamlaka ya Muungano, pia, katika mambo yahusuyo Tanganyika". UK.128 ALL-Hajj Jumbe anaendelea, "Kwa wale viongozi, wawe wa kanisa, CCM au serikali ya muungano, ambao walikuwa wakipigia kelele kutenganishwa kwa siasa na dini, wana kazi ngumu ya kuelezea kwa umma kwa ujumla lakini wao wenyewe wakiwa ndio waendelezaji wakubwa wa hilo, wana kazi ngumu ya kuelezea kwa umma kwa ujumla lakini zaidi kwa waislamu.

Sivalon anaelezea juu ya mpango na njama zinaendelea zikishirikisha kanisa katoliki, chama (TANU- CCM) na serikili ya muungano." Uk. 128-129. Mwisho, Al- Hajj Jumbe anasema, "Tangu njama hizo ziwekwe wazi 1992 hapakuwa na kauli moja ya kupinga au kutolea maelezo juu ya jambo hilo. Huku ni kukiri kwa dhahiri juu ya mipango na njama za kanisa zianazofanywa hali zikiwa zinaeleweka na mkono wa chama na serekali zake". UK 129
Mpango 2025-2035
 
Pascal Mayalla,
Aliyekutamkia kuwa Mpango ni Mpango mzima hiyo ni upande wa Waberoya RC.

Vipi Deep state changuo lao ni nani?

Je Mastermind wa siasa za Tanzania Jk na Kundi lake wao changuo lao ni lipi kwamba huyu huyu aliepo au ni JM Junior?
JK ndie godfather wa Mpango na ye ndie alimvuta kutoka huko kwenye bank ya Afrika kumleta kutumikia taifa nadhani alikuwa na lengo kubwa zaidi so mleta mada anaweza kuwa sahihi
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.

Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Master P,ulipatia Sana kwa magufuli,nimejikuta nikiwa mfuasi wako na huwaga najitahd Sana kukuelewa na huwaga nasoma keenly and btn lines maandiko yako,barikiwa paskali
 
Back
Top Bottom