Kama serikali inakanusha kuhusu huu mkopo na dhamana ya madini mbona korea walikuwa na ajenda kuhusu afrika

Kama serikali inakanusha kuhusu huu mkopo na dhamana ya madini mbona korea walikuwa na ajenda kuhusu afrika

Serikali mpaka sasa inakanusha kuhusu mkopo na dhamana ya madini ila korea walishafanya kikao kuhusu madini wanayotaka afrika.

Naomba tuunganishe dot hii

View: https://www.youtube.com/watch?v=1_46tHD6Y6s

South Korea is onother oversea state of USA. Usidanganyike kuwa wamefika walipofika hivihivi
Screenshot_20240608_083428_Google.jpg
 
Ni patashika mataifa ya nje ya afrika kutaka wachume utajiri uliopo afrika. Afrika ni tajiri wa maliasili nyingi na hasa madini.
 
Viongozi wa Afrika karibia wote hawana akili timamu
 
Back
Top Bottom