THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Simply nendeni Islamic states
Nchi hii imekua maskin sababu ya dayosisi na parokia zilizojaa huko maofisin
Hakuna cha maana wanachofanya zaid ya wizi tuuh
Escrow mlitumia kanisa had maaskofu kuiba pesa za umma
Nadhani matatizo ya Udom wewe huyafahamu vizuri... Mimi niliambiwa na Lecturer mmoja wa hapo, kile chuo kilikuwa ni Udini kuanzia kwenye Administration ya chuo, upataji ajira mpaka Serikali ya wanafunzi ilikuwa inalazimishwa Islams wawe wengi.. Tena kwa nguvu... Jopo la kutoa fomu kwa viongozi lilikuwa linatoa nafasi kwa waislamu wengi... Mwaka fulani Rais wa chuo walikuwa wagombee jamaa wawili, Mkristo na Mwislamu, wanafunzi wakristo badala ya kujua suala la udini lilivyo pale chuoni wakakubaliana wote wampigie kura mkristo mwenzao... Huwezi amini siku moja kabla jina la yule Mkristo liliengulia kwa kisingizio cha GPA (Baadae ilikuja kufahamika haikuwa kweli and it was too late) kesho yake wakapeleka jina moja tu lipigiwe kura ya ndio au hapana.. Wakristo wengi wakasusa kupiga kura... UDOM ni udini udini udini hilo halina ubishi..Si unaona sasa unaonyesha double Standard, Wakiteuliwa waislamu mfano hapo UDOM unasema udini huo!
Lakini wakiteuliwa Wachache na wakalalamika unasema hapa ni ishu ya kuzingatia ujuzi tu na elimu na si dini ya mtu n.k
Ukiangalia data 26 Christians then 6 Muslims, kwa namba ya Christians na Muslims tz ulitaka atoe watu wangap2, jaribu hoja za data sio mihemko,Majibu mepesi mepesi kama hayo kwa masuala mazito kama haya ndiyo mwishowe huzalisha chuki na uhasama kwenye jamii
Tunachofanya sisi ni kuwafumbua macho na kuwaeleza uhalisia kwamba choko choko za udini mnaanza nyinyi
Na hili lipo waZi na linaonekana
Sasa baadae msije anza kutafuta mchawi
Nchi hii siyo mali ya kanisa na haitokuja iwe mali ya kanisa
Huu udini ambao magufuli anaupandikiza mwsho wake ni mbaya sana
We leta fyoko fyoko unafikiri huyu ni mkwere.Kama serikali hsina dini kwa nini makazini wamejazana wagalatia tu? Na hamna kazi wanayofanya zaidi ya wizi tu na ufisadi
Mikoa ya Mtwara, Lindi, Pwani na Tanga ndio inaongoza kwa waislamu wengi... Je, maendeleo yao binafsi ya watu wa huko yakoje?? Je, wanaishi kwenye nyumba za tembe na udongo mpaka leo??Majibu mepesi mepesi kama hayo kwa masuala mazito kama haya ndiyo mwishowe huzalisha chuki na uhasama kwenye jamii
Tunachofanya sisi ni kuwafumbua macho na kuwaeleza uhalisia kwamba choko choko za udini mnaanza nyinyi
Na hili lipo waZi na linaonekana
Sasa baadae msije anza kutafuta mchawi
Nchi hii siyo mali ya kanisa na haitokuja iwe mali ya kanisa
Huu udini ambao magufuli anaupandikiza mwsho wake ni mbaya sana
Wapi huko muftiMakazini mpaka uvae msalaba.
hoja ni kuwa waislamu wanakuwa sidelined katika ugawanyaji wa madaraka,na kisingizio cha kuwaziba mdomo ni kwamba eti serikali haina diniHivi dini ndo inayofanya kazi au utendaji wa mtu. Hoja ya udini sijui nini haina mashiko kabisa
shekhe acha utani bana...Presdaa ni mgalatia na anawapelekesha kweli.......Waziri mkuu ni mgalatia...Katibu mkuu ni mgalatia...na wanapiga mzigo kwelikweli
Last time tulikuwa na presdaa mvaa vipedo aliifanya nchi hii shamba la Bibi.....
Utayasikia ya Pemba,wapemba sio wajinga wajinga kama nyinyi na ndio maana hawapeleka mabomu ya machozi kama mnavyoogopa huku.Subiri mziki wakeMnachekesha sana kwa cheap propaganda.
Huyu sio Mkwere mliekuwa mnamjambisha jambisha, mshaona yaliyotokea juzi Pemba, vifaru tu ndo vinaongea kule.
Nyie endeleeni kuleta fyoko fyoko
crdbWapi huko mufti
Mziki gani usubiriwe wakati washachimbwa mkwara mwisho kutoka nje saa 2 usiku na wote washatii amri.Utayasikia ya Pemba,wapemba sio wajinga wajinga kama nyinyi na ndio maana hawapeleka mabomu ya machozi kama mnavyoogopa huku.Subiri mziki wake
We leta fyoko fyoko unafikiri huyu ni mkwere.
Yale ya mwembechai mmeshayasahau, na niwakumbushe tu kuwa huyu jamaa ni kichwa kibovu zaidi ya nzee Nkapa.
Keshapeleka juzi vifaru Pemba na tangazo lishatolewa kulala wote ni saa mbili usiku,asionekane mtu nje mitaani.
Endelezeni fyokfyoko zenu mnafikiri huyu ni mkwere mliekua mnashika sharubu anawakenulia kenulia tu
Wacha muisome namba nyinyi viwavi wa lumumba
Nyie ndiyo wale mnaokesha vyuoni vya kufundisha ilimu akhera at the same time ukirudi mtaani unasema umetoka shule so unataka kazi.Angalia wakuu wa mikoa 26 kateua waislam 6 tuh sasa tunauliza kwan nchi hii ni kigango cha kanisa?
Magufuli kama unaanza kutangaza vita na waislam hutafika mbali...
Ni bora tuh uteue wakristo wenzako kila sehem na uondoe waislam woote katika kila nyanja ya umma ili tujue moja.