Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Simply nendeni Islamic states

Majibu mepesi mepesi kama hayo kwa masuala mazito kama haya ndiyo mwishowe huzalisha chuki na uhasama kwenye jamii

Tunachofanya sisi ni kuwafumbua macho na kuwaeleza uhalisia kwamba choko choko za udini mnaanza nyinyi

Na hili lipo waZi na linaonekana

Sasa baadae msije anza kutafuta mchawi

Nchi hii siyo mali ya kanisa na haitokuja iwe mali ya kanisa

Huu udini ambao magufuli anaupandikiza mwsho wake ni mbaya sana
 
Nchi hii imekua maskin sababu ya dayosisi na parokia zilizojaa huko maofisin

Hakuna cha maana wanachofanya zaid ya wizi tuuh

Escrow mlitumia kanisa had maaskofu kuiba pesa za umma


Ndio mkuu...Na yule rais aliyepita alikuwa wa Dayosisi

Ukiwa huna akili basi jitahidi walau uwe na kumbukumbu
 
Si unaona sasa unaonyesha double Standard, Wakiteuliwa waislamu mfano hapo UDOM unasema udini huo!
Lakini wakiteuliwa Wachache na wakalalamika unasema hapa ni ishu ya kuzingatia ujuzi tu na elimu na si dini ya mtu n.k
Nadhani matatizo ya Udom wewe huyafahamu vizuri... Mimi niliambiwa na Lecturer mmoja wa hapo, kile chuo kilikuwa ni Udini kuanzia kwenye Administration ya chuo, upataji ajira mpaka Serikali ya wanafunzi ilikuwa inalazimishwa Islams wawe wengi.. Tena kwa nguvu... Jopo la kutoa fomu kwa viongozi lilikuwa linatoa nafasi kwa waislamu wengi... Mwaka fulani Rais wa chuo walikuwa wagombee jamaa wawili, Mkristo na Mwislamu, wanafunzi wakristo badala ya kujua suala la udini lilivyo pale chuoni wakakubaliana wote wampigie kura mkristo mwenzao... Huwezi amini siku moja kabla jina la yule Mkristo liliengulia kwa kisingizio cha GPA (Baadae ilikuja kufahamika haikuwa kweli and it was too late) kesho yake wakapeleka jina moja tu lipigiwe kura ya ndio au hapana.. Wakristo wengi wakasusa kupiga kura... UDOM ni udini udini udini hilo halina ubishi..
 
Jamani kwani tunachagua askofu wa kutusalisha au shehe wa kutusalisha, mh. anaangalia uwezo wa mtu haangalii dini ya mtu. Acheni mawazo ya kijingakijinga
 
Majibu mepesi mepesi kama hayo kwa masuala mazito kama haya ndiyo mwishowe huzalisha chuki na uhasama kwenye jamii

Tunachofanya sisi ni kuwafumbua macho na kuwaeleza uhalisia kwamba choko choko za udini mnaanza nyinyi

Na hili lipo waZi na linaonekana

Sasa baadae msije anza kutafuta mchawi

Nchi hii siyo mali ya kanisa na haitokuja iwe mali ya kanisa

Huu udini ambao magufuli anaupandikiza mwsho wake ni mbaya sana
Ukiangalia data 26 Christians then 6 Muslims, kwa namba ya Christians na Muslims tz ulitaka atoe watu wangap2, jaribu hoja za data sio mihemko,
 
Kama serikali hsina dini kwa nini makazini wamejazana wagalatia tu? Na hamna kazi wanayofanya zaidi ya wizi tu na ufisadi
We leta fyoko fyoko unafikiri huyu ni mkwere.
Yale ya mwembechai mmeshayasahau, na niwakumbushe tu kuwa huyu jamaa ni kichwa kibovu zaidi ya nzee Nkapa.
Keshapeleka juzi vifaru Pemba na tangazo lishatolewa kulala wote ni saa mbili usiku,asionekane mtu nje mitaani.

Endelezeni fyokfyoko zenu mnafikiri huyu ni mkwere mliekua mnashika sharubu anawakenulia kenulia tu
 
Majibu mepesi mepesi kama hayo kwa masuala mazito kama haya ndiyo mwishowe huzalisha chuki na uhasama kwenye jamii

Tunachofanya sisi ni kuwafumbua macho na kuwaeleza uhalisia kwamba choko choko za udini mnaanza nyinyi

Na hili lipo waZi na linaonekana

Sasa baadae msije anza kutafuta mchawi

Nchi hii siyo mali ya kanisa na haitokuja iwe mali ya kanisa

Huu udini ambao magufuli anaupandikiza mwsho wake ni mbaya sana
Mikoa ya Mtwara, Lindi, Pwani na Tanga ndio inaongoza kwa waislamu wengi... Je, maendeleo yao binafsi ya watu wa huko yakoje?? Je, wanaishi kwenye nyumba za tembe na udongo mpaka leo??
 
Haya sasa mlitubania fursa za elimu tukajisomesha kwa pesa zetu za vitumbua na maandazi.Mlijipa upendeleo muonekane wengi mmesoma haya sasa serikali imetoa siku 60 inataka chake.
 
Nimesoma comments za baadhi ya watu humu, ama kwa hakika baadhi ni wadini sana. Unaendekeza ubaguzi wa kidini hata umefikia hatua ya kuwazungumzia wakristo kwa kutaja vyakula wanavyokula; kwamba ni wala Nguruwe. Tambua kwamba hata hao jamaa zako pia wapo wala Nguruwe na tambua kwamba sio kila Mkristo anakula Nguruwe. Napenda kukufahamisha kwamba, RAIS anateua viongozi kulingana na sifa, majukumu, na mahitaji ya nyakati husika. Pia tambua kwamba Rais ni mwanasiasa, ana chama chake ambacho pia kina taratibu zake. Rais anazingatia Katiba na Sheria pamoja na tamaduni za Watanzania. Watanzania hatuna utamaduni wa kuendekeza udini. Tambua kwamba zipo dini nyingi sana, sio Ukristo tu na Uislamu. Hakuna hata kifungu kimoja katika Katiba na Sheria kinachosema kwamba Rais anatakiwa kuteua kwa kuzingatia DINI ya MTU. Mtu hawezi kuteuliwa eti kwa kuwa yeye ni Mkristo safi au Muislamu bora; zipo sifa za msingi na za maana zaidi ya huo UWIANO WA KIDINI UNAOZUNGUMZIA. Mwisho, nikushauri kwamba, naomba ndugu zetu Wakristo na Waislamu tukazane kuwapatia watoto wetu elimu dunia ili wawe wataalam wenye sifa bora ambazo zitawasaidia kupata fursa mbalimbali za kushiriki Ujenzi wa Taifa letu katika nafasi mbalimbali ndani ya Serikali na hata katika sekta binafsi. Tunahitaji Madaktari, Mainjinia, Manesi, Wanasheria, Wataalam wa Uchumi na Fedha na kadhalika. Naomba ya Kanisani na ya Msikitini tuyaache hukohuko kwenye Nyumba hizo Takatifu za Ibada; tumpe nafasi Rias aongoze Nchi na tusimkwamishe kwa kuanza kuingiza fikra za udini katika teuzi zake. Tanzania tumekua na Marais wa dini tofauti tangu uhuru na Marais hawa wametujengea na kudumisha undugu na umoja ambao ni muhimu sana kwa ustawi wa Taifa letu. Amani yetu ni muhimu sana kuliko dini zetu kwa sababu amani ikivunjika hakuna atakayepona, awe mkristo au muislamu au mhindu. Tuipende Nchi yetu na tutoe mawazo chanya ya kuboresha na tusipoteze muda katika hoja za kutugawa kama hili la UDINI. Mungu Ibariki Tanzania. Vumilieni!!!!!!!
 
Hivi dini ndo inayofanya kazi au utendaji wa mtu. Hoja ya udini sijui nini haina mashiko kabisa
hoja ni kuwa waislamu wanakuwa sidelined katika ugawanyaji wa madaraka,na kisingizio cha kuwaziba mdomo ni kwamba eti serikali haina dini
 
shekhe acha utani bana...Presdaa ni mgalatia na anawapelekesha kweli.......Waziri mkuu ni mgalatia...Katibu mkuu ni mgalatia...na wanapiga mzigo kwelikweli

Last time tulikuwa na presdaa mvaa vipedo aliifanya nchi hii shamba la Bibi.....

Kikubwa zaid wezi wanaotumbuliwa ni nyinyi wenyewe waimba kwaya.

Na shida iliyopo JK aliwaamin sana waimba kwaya na kilichotokea ni kumhujum na kuligeuza hili taifa kuwa shamba la bibi

Kwan majipu anayoyatumbua muimba kwaya mwenzenu si ni nyinyi wenyewe?
 
Mnachekesha sana kwa cheap propaganda.

Huyu sio Mkwere mliekuwa mnamjambisha jambisha, mshaona yaliyotokea juzi Pemba, vifaru tu ndo vinaongea kule.

Nyie endeleeni kuleta fyoko fyoko
Utayasikia ya Pemba,wapemba sio wajinga wajinga kama nyinyi na ndio maana hawapeleka mabomu ya machozi kama mnavyoogopa huku.Subiri mziki wake
 
Haiwezekan..haapa ilipofikia haiwezekan

Nchi hii siyo mali ya kanisa

Hatuwez kuruhusu udini ushike hatamu huko serikalin haiwezekan
 
Tunapo sema serikali ya Tanzania haina dini, tunafanya reference kwenye katiba, katiba ya Tanzania haisemi kuhusu Taifa kuwa na dini bali inatambua huwepo wa dini
 
Utayasikia ya Pemba,wapemba sio wajinga wajinga kama nyinyi na ndio maana hawapeleka mabomu ya machozi kama mnavyoogopa huku.Subiri mziki wake
Mziki gani usubiriwe wakati washachimbwa mkwara mwisho kutoka nje saa 2 usiku na wote washatii amri.

Bahati nzuri agizo limetolewa na mgalatia muislam analitekeleza dhidi ya waislam wenzie kulinda kitumbua chake kwa mgalatia.
 
We leta fyoko fyoko unafikiri huyu ni mkwere.
Yale ya mwembechai mmeshayasahau, na niwakumbushe tu kuwa huyu jamaa ni kichwa kibovu zaidi ya nzee Nkapa.
Keshapeleka juzi vifaru Pemba na tangazo lishatolewa kulala wote ni saa mbili usiku,asionekane mtu nje mitaani.

Endelezeni fyokfyoko zenu mnafikiri huyu ni mkwere mliekua mnashika sharubu anawakenulia kenulia tu

Usijidanganye , hata hao wanaopewa Amri ni watu, ni mtu juha na mpumbavu tu ndiye anayeweza kujivunia nguvu zake za kutoa order kwa watu wenye vyombo vya moto! kwa sababu historia iko wazi, wale wanaokupigia saluti leo kesho wanaweza kukusweka korokoroni.
Acha kabisa ndugu yangu, usijivunie kabisa hii kitu.
 
Angalia wakuu wa mikoa 26 kateua waislam 6 tuh sasa tunauliza kwan nchi hii ni kigango cha kanisa?

Magufuli kama unaanza kutangaza vita na waislam hutafika mbali...

Ni bora tuh uteue wakristo wenzako kila sehem na uondoe waislam woote katika kila nyanja ya umma ili tujue moja.
Nyie ndiyo wale mnaokesha vyuoni vya kufundisha ilimu akhera at the same time ukirudi mtaani unasema umetoka shule so unataka kazi.
Tofautisha Dini na Professional carrier
 
Back
Top Bottom