karume kenge
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 568
- 421
Kwa mtazamo wako unaweza kuona hili jambo la kawaida lakini kwa matatizo ya mtu binafsi bado udini kwenye maofisi ni athari kibwa sana kama tunataka kazi pamoja na cv ziko sawa ww utapata kazi na mm mwislam sintapata kazi huoni kama ni athari kwa vizazi na vizazi na kudhoofisha umma wa kiilam ki maslahIvi wewe wangepita wakuu wa mikoa wengi wa kiislam wewe ungepata faida gani au ni kitu gani kingeongezeka kwenye maisha yako jamani acheni kulalamika fanyeni kazi.
Mnapo zidi kulalamika ndio mnapo zidi kujipotezea tekniki za kimaisha.
Hii ishu mnai-document sana mpaka inakuwa sensitive, muda wa mkwere vipi??kiukweli leo nilikua nabadilishana mawazo mkristo mmoja kiukweli nae kwa hili la wakuu wa mikoa anasema hajafanya haki.
Hili linaingia hadi kwenye kazi sababu mnalipigia sana mstari.Kwa mtazamo wako unaweza kuona hili jambo la kawaida lakini kwa matatizo ya mtu binafsi bado udini kwenye maofisi ni athari kibwa sana kama tunataka kazi pamoja na cv ziko sawa ww utapata kazi na mm mwislam sintapata kazi huoni kama ni athari kwa vizazi na vizazi na kudhoofisha umma wa kiilam ki maslah
Namtakia maisha marefu Jemedari Mkuu, Mheshimiwa Rais Mwenye uchungu na nchi yake.Mlizoea Kwa mkwere ndio mana nchi ilioza wacha magu apange safu yake hakuna udini hapo kazi tu
Endeleeni kuvumiliaHukuzoea kwa sababu hamjaguswa na udini toka uhuru wa nchii hili tatizo lipo ni uvumilivu tu wa waislam ndio umetufikisha hapa
Freedom of expression.Binafsi nilikua nampenda mh magifuli sana na ni mmoja kati ya watu walo mpa kura yangu ila kwa haya ni wajibu kuyasema mh hii nchi sio ya ki dini lakini wananchi wake wanadini lakini kwa
Hizi teuzi zinazofanya na rais wangu mpendwa naweka alama ya kiuuliza kuna nn hapa na nchii hasa waislam kuna agenda gani kali kuliko zote ni hizi teuz za wakuu wa mikoa sijui ni vigezo vp vimetumika ila nachoona ni ndugu zangu waislam 8 wametupwa nje na nikiangalia wakuu wote wa mikoa wapya na wazamani walo baki hawazidi asilimia 10 mh mimi ni raia wa kawaida kabisa lakini sina imani kwa sasa unatumia vigezo gani kiteua viongoz mlisha tuinbia sana waislam hatuna elimu lakini sio kweli mi naiman serekali yako nzima haizidi watu 5000 ambao ni watumishi wa serekal hakuna waislam wenye vigezo kweli vya elimu wakati tupo zaid ya %65 ya watanzania wote tuliishia kusoma madrasa inaniuma sana japo mi ni katika watu wanao kukubali hebu anagalia watumishi wako wa serekali ambao umetumbua majipu%95 ni hao hao unaowapa nafac na ndio wametufikisha hapa muheshimiwa chonde chonde angalia na upande wa pili waislam tunakuangalia tu usianzishe mgogoro na waislam hii nchi yetu sote tunaumia
Sasa mkuu mbona miaka ishirini ya historia ya nchi hii waliongoza waislam? Mlishindwa nn sasa hiyo miaka ishirini kubadilisha huo unaoitwa mfumo Kristo?Hukuzoea kwa sababu hamjaguswa na udini toka uhuru wa nchii hili tatizo lipo ni uvumilivu tu wa waislam ndio umetufikisha hapa
Give him a break!Binafsi nilikua nampenda mh magifuli sana na ni mmoja kati ya watu walo mpa kura yangu ila kwa haya ni wajibu kuyasema mh hii nchi sio ya ki dini lakini wananchi wake wanadini lakini kwa
Hizi teuzi zinazofanya na rais wangu mpendwa naweka alama ya kiuuliza kuna nn hapa na nchii hasa waislam kuna agenda gani kali kuliko zote ni hizi teuz za wakuu wa mikoa sijui ni vigezo vp vimetumika ila nachoona ni ndugu zangu waislam 8 wametupwa nje na nikiangalia wakuu wote wa mikoa wapya na wazamani walo baki hawazidi asilimia 10 mh mimi ni raia wa kawaida kabisa lakini sina imani kwa sasa unatumia vigezo gani kiteua viongoz mlisha tuinbia sana waislam hatuna elimu lakini sio kweli mi naiman serekali yako nzima haizidi watu 5000 ambao ni watumishi wa serekal hakuna waislam wenye vigezo kweli vya elimu wakati tupo zaid ya %65 ya watanzania wote tuliishia kusoma madrasa inaniuma sana japo mi ni katika watu wanao kukubali hebu anagalia watumishi wako wa serekali ambao umetumbua majipu%95 ni hao hao unaowapa nafac na ndio wametufikisha hapa muheshimiwa chonde chonde angalia na upande wa pili waislam tunakuangalia tu usianzishe mgogoro na waislam hii nchi yetu sote tunaumia
Ilikua haizidi hata%35 lakini muheshimiwa rais wangu magufuli ndio hataki kabisaaa kuona sura za waislam katika utawala wake mi sion hata sababu ya kiwatema wakuu wote wa mikoa tena 8 basi kama ameona hawafai kwa nn usiweke japo uiano kidogo mbona mnatumia nguvu nyingi sana kihusu uiano wa kijinsia tumieni nguvu hizo hizo uiano wa kidiniKwani mkuu uongozi uliopita uwiano ulikuwaje kwenye hizi nafasi za ukuu wa mikoa na wilaya? Ulileta pia hapa jukwaani?
Hakuna Rais kama mhe Magufuli.Binafsi nilikua nampenda mh magifuli sana na ni mmoja kati ya watu walo mpa kura yangu ila kwa haya ni wajibu kuyasema mh hii nchi sio ya ki dini lakini wananchi wake wanadini lakini kwa
Hizi teuzi zinazofanya na rais wangu mpendwa naweka alama ya kiuuliza kuna nn hapa na nchii hasa waislam kuna agenda gani kali kuliko zote ni hizi teuz za wakuu wa mikoa sijui ni vigezo vp vimetumika ila nachoona ni ndugu zangu waislam 8 wametupwa nje na nikiangalia wakuu wote wa mikoa wapya na wazamani walo baki hawazidi asilimia 10 mh mimi ni raia wa kawaida kabisa lakini sina imani kwa sasa unatumia vigezo gani kiteua viongoz mlisha tuinbia sana waislam hatuna elimu lakini sio kweli mi naiman serekali yako nzima haizidi watu 5000 ambao ni watumishi wa serekal hakuna waislam wenye vigezo kweli vya elimu wakati tupo zaid ya %65 ya watanzania wote tuliishia kusoma madrasa inaniuma sana japo mi ni katika watu wanao kukubali hebu anagalia watumishi wako wa serekali ambao umetumbua majipu%95 ni hao hao unaowapa nafac na ndio wametufikisha hapa muheshimiwa chonde chonde angalia na upande wa pili waislam tunakuangalia tu usianzishe mgogoro na waislam hii nchi yetu sote tunaumia
Na kwann asilimia isiyozidi 35 mkuu uongozi uliopita si alikuwa mwenzenu?Ilikua haizidi hata%35 lakini muheshimiwa rais wangu magufuli ndio hataki kabisaaa kuona sura za waislam katika utawala wake mi sion hata sababu ya kiwatema wakuu wote wa mikoa tena 8 basi kama ameona hawafai kwa nn usiweke japo uiano kidogo mbona mnatumia nguvu nyingi sana kihusu uiano wa kijinsia tumieni nguvu hizo hizo uiano wa kidini
Kiongozi wa hili taifa akianza kuteua na kuzingatia DINI na MAKABILA /UKANDA huyo atakuwa ni tatizo kubwa kwa taifa hili kama MZEE WA MSOGA na matokeo yake ni kuchagua wauza BANGI kuwa viongozi kwa kigezo cha DINI yake. ..Huu sio wakati wenu mbona naye kikwete alifanya hivyo hivyo kuwaweka waislam wenzake hiyo inaitwa 50 kwa 50.