Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?


Maharashtra, Utar Pradesh, Mumbai provincial government follows the electorates its leaders and members of assemblies are not bind by secular or religious beliefs, they can be sworn in using any holy book or for communists or non believer are free to use their hands.

India is an oldest democracy, and religious parties are allowed and you see peacfully BJP not.like congress is.a religious Hindu based party and after how many decades at last it is going to lead that big nation after a fair and free election.

I am sure they are not going to kill each other like CAR.
 

Basi hata Gaidi mwenzio huyu wa nne naye kwenye kila Hotuba zake zisizo na mashiko huyasema hayo maneno au na yeye ni Mgalatia? na Kuhusu Serikali hakika hakukosea alisema Serikali haina Dini ila Wananchi wake wana Dini zao.

Hayo yalikuwa ni maneno yenye Hekima kamwe asingekuja tokea Muislam mwenye kuweza kuwa na Hekima sababu wamelaaniwa kwa kuwa ni miongoni mwa wale watu waliokatazwa katika Torati kuwa Wasiabudu Miungu Tofauti na Mungu wa Mussa Ibrahim na Isaka.. waislam bad wanamuabudu Allah Mungu Mwezi na Mwezi upo juu ya kila Msikiti...

Mungu anayezungumziwa Bungeni na Kwenye Wimbo wa Taifa ni Mungu wa Mussa na si Allah ambaye waislam wanamuabudu Allah si Mungu na sijui kwa nini anasingiziwa huku yeye akikataa kata kata... Mudi hajui naye huyo Allah atampa adhabu gani kwani hakupotosha vizuri ulimwengu...

Mkuu nasikia Prince Abdullah wa Kuwait ameukimbia uislam na sasa ni Mkristo Safi...
 

Teh teh teh!

Mimi kubishana na mtu km wewe ni kupoteza wakati tu.

Sasa hata mimi nikitaka Kuufuata huyo UKRISTO nakuwa napata tabu sana kuueelewa kwanini UNA UONGO KUPITA KIASI?

Hebu nisaidie hapa.!
Manake huwenda we ukawa karibu na PAPA muabudu mzungu kuliko mimi.

Tazama hii sarakasi ya ANDIKO.

Michael binti wa Saul hakupata mtoto mpaka kifo chake.(2 samweli 6:23)

Michael binti wa Saul alikuwa na wavulana watano (2 Samweli 21:8)


Benjamin alikuwa na watoto watatu. (1 Mambo ya Nyakati 7:6)

Benjamin alikuwa na watoto watano. (1 Mambo ya Nyakati 8:1-2.


Harun alikufa huko Hor. (Hesabu 33:38)

Haruni alikufa huko Mosera (Kumb. 10:6)


Yehoremu alishikilia kutawala wakati akiwa na umri wa mika 32 alifariki katika miaka 40,(2 Mambo ya Nyakati 21:5) (2 Mambo ya Nyakati 21:20).

Baada ya kifo chake mtoto wake mdogo alishikilia serikali na alikuwa na umri wa miaka 42 wakati ule.(2 Mambo ya Nyakati (22:1-2).

Kana kwamba mwana mdogo alikuwa miaka miwili zaidi kuliko baba mzazi! (9. Mat 5:17; Mat 5:38-40; Hebrew 7:12).



Sungura hucheua (Mambo ya Walawi 11:6). Lakini ukweli ni kwamba Sungura hacheui kabisa.


Yuda aliyemsaliti Yesu alivitupa vile vipande vya fedha alivyopewa kwa udhalimu wake huo, kisha alijinyonga na

wakuu wa Makuhani wakavichukua vipande vya fedha na wakanunulia shamba la kuzikiwa watu (Mat 27:5-7).

Lakini (Matendo 1:18), inasema kwamba Yuda mwenyewe alinunua konde kwa ijara aliyoipata kwa udhalimu wake huo na kisha akaanguka na kupasuka na matumbo yake yote yakatoka.


Yesu alifyolewa na wanyang’anyi wawili aliposulubiwa pamoja nao. (Marko 15:32 ; Mat. 27:44).

Lakini katika Luka 23:39-40, inasema kuwa mnyang’anyi mmoja ndiye aliyemfyolea Yesu.


Yuda alijinyonga.(Mat. 27:5).

Lakini katika Matendo 1:18, imeandikwa kwamba alianguka na kupasuka matumbo yake


Mwanadamu aliumbwa baada ya uumbaji wa wanyama.(Mwanzo 1:25-26).

Lakini katika (Mwanzo 2:18-20), inaonekana mwanadamu aliumbwa kwanza.


Mwandishi wa Torati siye Nabii Musa mwenyewe.

Basi Musa mtumishi wa bwana akafa huko katika nchi ya Moabu kwa neno la Bwana. (Kumb. 34:5).


Mwandishi wa Kitabu cha Mathayo si Mathayo mwenyewe ambaye ni mwanafunzi wa Yesu.(Mat. 9:9).


Yaani hio ndio imani unayoita SAFI KABISA?

Teh teh teh.
 
Ulitaka Nyerere ampe Imamu kuongoza Benki Kuu? Ulitaka Nyerere ampa mwalimu wa Madrasa kuongoza wizara ya Afya? na idara nyeti muhahaha nadhani wewe utakuwa umezaliwa enzi za Mwinyi maana hujuo hii nchi imeendeshwaje hadi unafikia wakati unaanza kulaumu miaka hiyo Kusoma walisoma Watu wachache na wengi wa waislam walikuwa hawana mwamko wa kusoma na waliona ni Kwenda shule ni sawa na kuwa mkristo Nchi ilikuwa inasikitisha sana baadhi walisoma kwa kujidai ni Wakristo na majina walichange kabisa Kamuulize Kingunge N. Mwiru akupe Darsa... kwanza akikusikia mnavyomsema vibaya Nyerere anaweza kukupa laana ewe mjalana... ati Nyerere hakuwa Mstaarabu Hao wazee wa Pwani wakuvaa mashuka na magauni ndio unadhania walikuwa wajanja?

Bukta wala haikuwa na Tatizo miaka ile kabla ya uhuru na mwanzoni mwa miaka baada ya Uhuru kwani hata Askali walikuwa wanazivaa kama Sare Rasmi... nchi miaka ile Mashuka kama masai ilikuwa ni Jambo la Kawaida Joto likiwa kali Bukta ndio mwake mwake...

Ukija kwenye Neno Ustaarabu ni la Kiarabu kwa Waarabu nadhani likiwa na maana haswa ya Mtu kujisitiri vizuri... sio kama wazee wenu wa Uhuru na makanzu na makoti yenye viraka na machafu full uvundo...

Nguo zinavaliwa kutokana na hali ya hewa hata kuvaa Hijabu ni maeneo ya Jangwani ambayo yana upepo mkali na joto jingi... Boko Haram wa Tanzania Mnamatatizo Sana... hameni Dini hiyo
 
In God we Trust...

Mungu wa Kwenye Wimbo wa Taifa ni Mungu wa Mussa Abraham,Yacobo na Isaka... YAHWH Mungu wa Mbinguni Muumbaji wa Vyote.

Waislam wana haki ya kuukataa kwani wao wanaabudu Allah wa Kibra huko Mecca Mr Moon God
 
Mkuu umeongeza vitu vitu ambavyo sijasema...mosi sijasema serikali ni roboti wala sijasema serikali sio watu. asante kwa kunukuu hata hivyo.. umetaja nilivyokwepa kuvijadili hapo kabla. Ikiwa serikali ni watu .. Je hao watu hawana dini? .. kama wanayo ..ni Dini gani hiyo ya serikali ..itaje?

serikali ni watu: Hutokea pale serikali inapohitaji kuwashirikisha wananchi wake katika kujenga madaraja yaliyobomolewa na mvua ama kujenga madarasa ya shule/dispensary ama vijiji vya ujamaa...kupitia kuhitaji kutegemea nguvu kazi na umoja wa wananchi.Hapa viongozi lazima waseme serikali ni watu. Hali inaweza kuwa tofauti pale serikali inapowanyang'anya wananchi ardhi yenye rutuba na maji ifaayo kwa kilimo na kuwapa wawekezaji huku wananchi wakihamia sehemu kame na zisizo na maji, ama pale wanapowaondoa watu kwenye migodi na kuwapa wawekezaji wageni, na kufanya wananchi kukosa ajira na kipato.

Nijuavyo ..Serikali inakamilika kuwa serikali inapokuwa na watu seirkali imeundwa na watu. kutamka serikali ni watu ni kiashiria cha kushirikisha watu katika kujitawala. Watu hawa walioshirikishwa(ama kwa kuajiriwa/kuteuliwa) hawana mamlaka ya kufanya wanavyotaka, kwa hofu kuwa Serikali itawaadhibu kama kuwaondoa kwenye ajira, kuwafunga n.k. Bado serikali hii haina dini watu hawa wanayo dini.
 



Aiseeeee
Hii kali tena sijawahi kusikia.
Kuhusu kirefu cha CCM
 
Asikudanganye mtu,serikali ya CCM inayodini.Dini hiyo inayowauynganisha watz kupitia torch (mwenge) chimbuko lake ni Bagamoyo, unakuwa-initiated kila mwaka juu ya makaburi ya kina Burito huko Butima..

Asante mkuu
Tell them
Na watakaokuelewa ni wachache sana.
Watu ooh mfumo kristo kumbe hawaelewi kinachoendelea.
Na ndo maana tupo hapa tulipo leo!!
 
Kuna watu naona wanabishana kwa lugha hizo hizo za makafiri mbona hambishani kwa lugha ya mtume wenu na Allah" ukafiri ni kama maji usipo unywa utauoga na mtaendelea kuwa chini ya ulimwengu wa mafiri mpaka mnakufa'++

Hahahaa haaaa
Aiseeeee
 

Ni wazi kuwa Waislam ,Wakristo,Wahindu,Rastafari ambao ndio wanakusanya kundi kubwa la Watanzania wanaabudu na kuamini katika Mungu japokuwa sio Mungu mmoja hivyo wanapotamka Mungu kwenye wimbo wa taifa wanakuwa kila mmoja anakuwa anamtaja Mungu wake

Au wewe una tatizo anapotamkwa Mungu?
 
Serikali ya Tanzania haina dini, tunapoimba wimbo wa taifa tunamtaja Mungu yupi? Inanipa shida sana kuelewa kwenye hii issue. Tafadhari kama kuna mtu anaelewa the reason behind.
Mungu hana dini na hana uhusiano na imani yoyote ya dini...
 

I dont mind at all if God is mentioned, I mind the lies that the Govt declares it is secular while it is not, what I see is the govt has tolerance to religious beliefs that fit the purpose of the admintrators. And mostly the dominant is the govt leans towards Church regardless to the president's religion.
 
Where is your proof?
 
labda tungeanzia kwanza kumjua mungu ni nani alafu ndio tuje kumjuua ni mungu yupi! huwezi kujua ni mungu yupi mpaka tukipata maana na kumjua mungu ni nani na characteristics zake!!!! tatizo kubwa hapa ni kutokua na jibu kuhusu mungu ni nani au ni kitu gani!!!
 
 
Nimependa sana Majadiliano haya, Naogopa sana kuchangia mambo yahusuyo dini, Maana ni rahisi sana kuteleza, Aidha hata ukiongea ukweli au uhalisia, lazima utakwenda kinyume na matakwa ya wachache kwaajili ya IMANI zao.

Naweza Kueleza kama najaribu kujibu tuuu kuwa ni Kweli Serikali ya Tz haina dini, Na mungu anayetajwa hapa kwenye wimbo wa Taifa ni Mungu wa mbingu na Nchi, Mungu wa Dini zote na ni Mungu wa wasio na dini. Ni Mungu wa kweli na ni Mungu wa Miungu.
Dini ni njia tuu ya kumfikia Mungu, kumtukuza na kumfuata.

Ni kama ilivyo Vyama vya siasa ambavyo kupitia vyama unatafuta UONGOZI.
 
Tatizo liko wapi?
Huu ni wimbo wa Taifa sio wimbo wa Serikali.
Labda kama unachanganya Serikali na Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…