Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kwa kweli hii nchi ni ngumu kuongoza.Ina wajinga na w.apumbavu wengi.Akitoka Arusha au Klm shida,akitoka Mwanza,Kagera,Mbeya napo shida.Mwishowe akichagua waislam tupu mtasema mbona wamejaa washia mbona wasuni wachache.Kuna laana,labda tuache kukimbiza mwenge maana labds ndo unaotupumbaza
 
Balal sio jipu bse ni mkiristo angekuwa sio mkiristo lingetumbuliwa

This is bias. Anajiri wafanyakazi hewa hela zapotea eti anapewa muda wa kurekebisha.
Kwann rashid badie tea hakupewa muda?
Huu no chuki tu
Na baadae itakuwa kama Afrika ya kati.
Kila MTU chake.
Duuu mbona hueleweki???
 
AISEE HATA SISI ATHEIST HATUNA HATA MTU MMOJA!! NA SIKU HIZI TUKO WENGI SANA, TUSIOAMINI HIZI DINI ZENU ZILIZOLETWA NA WAMISSIONARY(LIVINGSTONE NA WENZIE) NA AKINA TIPU TIPU, NA KUACHANA NA DINI ZETU ZA ASILI , KAMA MANATAKA UDINI HAMIENI SYRIA AU ISRAEL, IRAN AU SAUDIA, TUACHIENI HILI TAIFA LISILO NA DINI!!!
Hivi mnatambulikaje??Kwa majina au mna alama usoni??
 
Kwa mtazamo wako unaweza kuona hili jambo la kawaida lakini kwa matatizo ya mtu binafsi bado udini kwenye maofisi ni athari kibwa sana kama tunataka kazi pamoja na cv ziko sawa ww utapata kazi na mm mwislam sintapata kazi huoni kama ni athari kwa vizazi na vizazi na kudhoofisha umma wa kiilam ki maslah
Siku zote usipige hesabu ya kuajiliwa tu. Wakati mwingine uwe unafikiria hata kujiajili mwenyewe ili nawewe uje uwaajili wengine.
Kama ni swala la kuajiliwa itokeage bahati yako lakini usitegeme.
 
Kiongozi wa hili taifa akianza kuteua na kuzingatia DINI na MAKABILA /UKANDA huyo atakuwa ni tatizo kubwa kwa taifa hili kama MZEE WA MSOGA na matokeo yake ni kuchagua wauza BANGI kuwa viongozi kwa kigezo cha DINI yake. ..
Hivi mafisadi wa nchii ni kina nani kama sio magalatia toka utawala wa nyerere mmekua mkituibia tu mali za nchii hii na kusomesha watoto wenu nje ya nchi hebu angalia hao wanaotumbuliwa majipu ni kina nani kuna rashid abdala au juma angalia kashfa ya rugemalila kuna juma pale mlipeana mpaka ma padri majizi ya nchi hii ni nyinyi
 
Hukuzoea kwa sababu hamjaguswa na udini toka uhuru wa nchii hili tatizo lipo ni uvumilivu tu wa waislam ndio umetufikisha hapa
Tafakari,nchi hii haina udini ila nyie ni walalamishi sana awamu ya nne mlitikisa nchi sana kwa udini hata hivyo busara ya Wakristo imefanya tufike hapa tulipo
 
AISEE HATA SISI ATHEIST HATUNA HATA MTU MMOJA!! NA SIKU HIZI TUKO WENGI SANA, TUSIOAMINI HIZI DINI ZENU ZILIZOLETWA NA WAMISSIONARY(LIVINGSTONE NA WENZIE) NA AKINA TIPU TIPU, NA KUACHANA NA DINI ZETU ZA ASILI , KAMA MANATAKA UDINI HAMIENI SYRIA AU ISRAEL, IRAN AU SAUDIA, TUACHIENI HILI TAIFA LISILO NA DINI!!!

Kweli mkuu. Hata Rastafarians tupo wengi tu na vigezo vipo. Bora hawa wa Sunni na Shiite wana baraza. Sisi kila tukikutana kuabudu na kupata mkate wa bwana polisi wanatulamata
 
Hivi unamfahamuje mtu kuwa huyu ni mkristo au msilamu? Kwa kuangalia jina lake au kwa kuangalia jinsi anavyoishi? Ni vyema tukafahamu kuwa Imani ya mtu unaitambua kwa jinsi anavyoishi na si kuangalia jina lake.Kwa mfano mtu ana jina la kikristo na huku yeye ana listi ndefu ya nyumba ndogo, ni mwizi mzuri (Akipata opportunity ya kuiba) nk je na huyu ni mkristo? Je mtu ana jina la kiislamu na huyu yeye ni mteja mzuri wa Bia au kitimoto, ana nyumba ndogo kila kona, ni mwizi mzuri (Akipata opportunity ya kuiba) Je na huyu ni mwiislamu kweli? Hao watu inaosemekana wameteuliwa au hawajateuliwa na ni akina nani hao? Kumbuka inawezeka kuwa na mtu mwenye jina la kiislamu lakini maisha yake yakaoana kabisa na matakwa ya Ukristo wa kweli na PIA inawezeka kuwa na mtu mwenye jina la kikristo lakini maisha yake yakaoana kabisa na matakwa ya Uislamu wa kweli.Nawakilisha
 
Haya mambo ndo Mwl. Nyerere alikuwa anayapiga vita. Watu wakikosa hoja wanakimbilia kwenye udini na ukabila.
Kweli mkuu. Kuna vitu kama kupewa majengo ya umma (kodi za makundi yote ya dini) kuwa chuo kikuu cha dini flan ambayo ningetegemea labda yangesemwa lakini si haya ya sasa..
 
Ikiwa mnaelimu mngeua nchi?

Nchi kabla ya Mwinyi ilikuwa ICU, kuondoka Mwinyi tu watu wakajimilikisha mpaka migodi. Umesahau?


Nyerere aliikuta nchi iko na hali gani sio una bwabwaja tu???Mwinyi huyu huyu aliefilsi nchi wahindi na waarabu wakawa wanatamba mjini??embu elezeq mwinyi aliacha nchi na uchumi gani?
 
duh hapo unasema anajaza wakristo, mm ni mkristo lakin kama watateuliwa hats 90%haitanisaidia kitu kwa maana juhudi zangu ndo zitanifikisha mbele!! naamini kama huwez jishughulisha hata wakiteuliwa wote waislamu bado haitakuwa na faida kwako!!
 
Halafu hawa watu siijui wapoje,kila utawala unapobadirika wanaanzisha hoja za kijinga kama hii safari hii hatudanganyiki tunasonga mbele kujenga Taifa la Tanzania sio la Kikristo/wala Islam
 
Back
Top Bottom