Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,991
Haya endelea na udini wako. Wacha sie tufanye yetu
Makafiri nyie ni jeuri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya endelea na udini wako. Wacha sie tufanye yetu
Wewe chunga lugha yako hapa hatu entertain mambo ya udini. Kama unataka udini nenda Syria.Makafiri nyie ni jeuri sana.
ha haha kweli kabisaW
Kweli kabisa ISIS inawaomba watu kama mtoa mada waende levante kwenye nchi mpya huna haja visa wala nini visa kuwa muislam wa madhehebu ya suni.
Wewe chunga lugha yako hapa hatu entertain mambo ya udini. Kama unataka udini nenda Syria.
Hakuna cha pole suala ni kwamba heshimu dini za watu wengine pia ni hayo tu mkuu.Imekuingia, pole!
Hakuna cha pole suala ni kwamba heshimu dini za watu wengine pia ni hayo tu mkuu.
Sawa mkatolikiTanzania ni nchi ya Kikatoliki
unajua hawa jamaa ni kama baadhi ya wafuasi wa UKAWA lolote lile Mbowe ama Lisu akisema wanalifuata bila kuhoji na kina mbowe wakibadili na wao wanabadili. Hawa wanawasikiliza sana kina Ponda ni kama wakristtu waliokua wanawasikiliza kina Biblia ni jibu. Kuna yule mtz mrundi nadhani kishakufa sasa mungu amrehemu yule ndiye aliwaaminisha watu wa kiislamu kuwa hii nchi ni kikatoliki japo wakati huo rais alikua Kikwete na makamu wa rais alikua Dr Bilal. Hawa watu ni wabaya saana Kalipha Al baghdad kisha wakaribisha waende Levante achaneni na mfumo katoliki huko mtafaidi saana maisha ya Uislam. Ningekua muislamu kama hawa wanaotoa hii mada na kuitetea ningeanza maandalizi ya kwenda katika nchi mpya ya Levante.M
Mfumo kristo ndio ukoje huo hebu tujuze mkuu,na kwanini unam judge mhe rais uteuzi wake kwa kupitia wakuu wa mikoa peke yake?tusiwe wepesi wakuamsha hizi hisia za udini jamani hazitotusaidia.
Sina zaidi ya kusema umesema kila kitu hapo 100 kwa 100. Unajua kuna waislam na Waislam, hawa ni waisla na small letter kama vile tunavyoandika Mungu na mungu(gods). Hua nasema kila siku kama Mtume Mohamad (S.A.W) angerudi leo hii na kuona watu kama hawa najua angechana joho lake kuona dini aliyoianzisha ya Mungu imegeuzwa kituko na baadhi ya watu.Ingekuwa hao waislam unaowazungumizia n wale wanoendana na matendo ya mtume Muhammad (s.w) ningekuunga mkono lkn hawa wala rushwa, mafisad, wezi, wenye uchu wa madaraka, ambao wapo tayar wengne wafe ,wapate vlema kwa ajl ya mafanikio yao. Mm cion umuhmu kabsa wape watu madaraka kwa sababa wanamajna ya kislam alafu matendo yao ya ovyo. Huko itakuwa n kuuzalilisha uislam
Wape mfano wa Afrika ya Kati wakristu wanawachinja waislamu na waislamu wanawachinja wakristu je tunayataka hao? Hivi waziri ama mkuu wa mkoa akiwa Muislamu anaisaidia nini jamii ya kiislam? Ama atajenga misikiti mingi?Umetoa rai nzuri mkuu, ni vema tusitoe nafasi ya kuwapa watu agenda na wao wakajifanya "wanathibitisha" madai yao fulani. Dini zina nguvu sana na wala Si za kupuuzwa.
wewe akili yako haiko sawa. I have no time for an idiot like you.Pumba tupu! hiyo amani ikowapi? kutwa viongozi wa upinzani ndo wanapelekwa polisi na kunyimwa dhamana inamaana viongozi wa ccm huwa hawakosei? MKIWABAGUA VIONGOZI KIVYAMA HASA WA UPINZANI MSICHUKIE PIA MKIBAGULIWA KI DINI
Hahaha sio 'Naadosa' mkuu sema Naantosa au Naantombe maana zote hizo ni salamuNaadosa!
wewe akili yako haiko sawa. I have no time for an idiot like you.
duuu. hatari kubwa, unadhani ukinitukana ndio mtapewa uteuzi??? vumilienimbona umenijibu sasa? tambala la deki we
Hv yule mbagamoyo wa mwaka Jana alkuwa mkristo? Kuandaa n bora kulko kulalamika.Hao wanaoabudu miungu Mapagani sijui Marastafar. Hao hawakushiriki, wala kutoa mchango wowote katika kupigania uhuru wa taifa hili. Waislamu wanahaki ya kulalamika... Waislamu kwa asilimia kubwa ndio waliopigania uhuru wa taifa hili, tulitoa mali zetu na kila kitu tukawaweka hawa Wagalatia halafu leo wanajidai wanatubagua hii si sawa, dhulma hii ina mwisho wake!
Hv yule mbagamoyo wa mwaka Jana alkuwa mkristo? Kuandaa n bora kulko kulalamika.
Inabd watu wajifunze kuaanda kwanza ili kesho wasirud tena waksema mbana waislam wenye tulio wachagua hawasaidii uislam
Ndo unarud kule kule kwenye maandalziTatizo ni mfumo.
Ndo unarud kule kule kwenye maandalzi