Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 990
Mungu ni Supreme power na dini siyo sawa na Mungu.
Mungu wa waislam ni Allah, Mungu wa wakristo wanajua pia na Mungu wa wasiona na dini aweza kuwa jiwe au mti. Hivyo seikali haina dini ila inatambua nguvu inayozidi nguvu zingine ndiye Mungu huyo lakini siyo dini
Mungu wa waislam ni Allah, Mungu wa wakristo wanajua pia na Mungu wa wasiona na dini aweza kuwa jiwe au mti. Hivyo seikali haina dini ila inatambua nguvu inayozidi nguvu zingine ndiye Mungu huyo lakini siyo dini