Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha porojo wewe, umejidai hapo juu kuweka reference number ya aya, nimekuletea hiyo aya imekukushushuwa.
Sijui nani kakudanganya na kukujaza ujinga sasa eti unataka kuniletea Muislam mwenzangu, mlete.
Na mimi nakupa link, nenda kaisome Qur'an tena imetafsiriwa Kiswahili, ha;afu urudi tena hapa, usitake kudanganya watu kuweka manamba yasiyokuwa na mpango unapoletewa aya, huna la kujibu, kama hujui sema tu hujui, uliza yukupe darsa, usihororoje hovyo hovyo.
Hii hapa link, kajisomee: Qur'ani Tukufu
Kwahiyo ingekuwa wewe ungejaza wakristo/wagalatia ili kuonyesha kwamba muislam wewe hauna upendeleo?Kusema Serikali haina dini ni kutokujuwa maana ya neno "dini".
Hilo lililetwa na Nyerere, huku anahubiri serikali haina dini, huku anawajaza Wagalatia wenzake kila sehemu na kuwapa kipaumbele cha elimu.
Msome Sivalon anachambuwa hilo.
Unafik mtupu.
Dini na Mungu ni vitu viwili tofauti. Unaweza kumuamini Mungu bila kuwa na dini na unaweza kuwa na dini na usimuamini MUNGU. Serikali imesema haina dini haijasema haina/haimuabudu Mungu!
Haya. Baada ya maelezo yako haya, hebu sasa jadili hoja ya huyu Muislamu mwenzio. Je ni Mwongo? au yeye antumia Qur An tofauti na ya kwako?
OK. Qur An Tukufu 3:110
au gonga hapa
'Muslims won't win against the West'.mp4 - YouTube
kwani wewe unamjua mungu yupi? acha kuzingua bana..Serikali ya Tanzania haina dini, tunapoimba wimbo wa taifa tunamtaja Mungu yupi? Inanipa shida sana kuelewa kwenye hii issue. Tafadhari kama kuna mtu anaelewa the reason behind.
Wimbo wa taifa una mahadhi ya kigalatia inabidi ubadilishwe
Serikali ya Tanzania haina dini, tunapoimba wimbo wa taifa tunamtaja Mungu yupi? Inanipa shida sana kuelewa kwenye hii issue. Tafadhari kama kuna mtu anaelewa the reason behind.
Serikali ya Tanzania haina dini, tunapoimba wimbo wa taifa tunamtaja Mungu yupi? Inanipa shida sana kuelewa kwenye hii issue. Tafadhari kama kuna mtu anaelewa the reason behind.
Kusema Serikali haina
dini ni kutokujuwa maana ya neno "dini".
Hilo lililetwa na Nyerere, huku anahubiri serikali haina dini, huku
anawajaza Wagalatia wenzake kila sehemu na kuwapa kipaumbele cha elimu.
Msome Sivalon anachambuwa hilo.
Unafik mtupu.
Tutumie neno "Mkuu" kama tunavyofanya hapa JF.Kwa iyo unataka tuondoe neno mungu na tuseme neno gani
Kusema Serikali haina dini ni kutokujuwa maana ya neno "dini".
Hilo lililetwa na Nyerere, huku anahubiri serikali haina dini, huku anawajaza Wagalatia wenzake kila sehemu na kuwapa kipaumbele cha elimu.
Msome Sivalon anachambuwa hilo.
Unafik mtupu.
Tutumie neno "Mkuu" kama tunavyofanya hapa JF.
So itakua Mkuu ibariki Africa!!
Naona darsa limekuingia na huna zaidi.
Sasa wewe kwanini unabandika manamba tu, hubandiki aya yenyewe na reference ya wapi pa kuzipata hizo aya nimekupa.
Huyo msikilize wewe halafu uje na maswali yako, mambo ya Ujerumani na Waturuki hapa yanahusu nini?
Kwani wewe Mungu unayemzungumzia ni dini gani? Kwa ujumla Mungu yeye habagui na wote tu wa Kwake. Dini au dhehebu ni mpango wa binadamu kwenda kwa Mungu ndiyo maana hata wewe leo waweza kuanzisha dini/dhehebu na kukusanya waamini kuwa wakiamini unayowaambia wataenda kwa Mungu siku ya mwisho.Serikali ya Tanzania haina dini, tunapoimba wimbo wa taifa tunamtaja Mungu yupi? Inanipa shida sana kuelewa kwenye hii issue. Tafadhari kama kuna mtu anaelewa the reason behind.
Serikali ya Tanzania haina dini, tunapoimba wimbo wa taifa tunamtaja Mungu yupi? Inanipa shida sana kuelewa kwenye hii issue. Tafadhari kama kuna mtu anaelewa the reason behind.
Serikali ya Tanzania haina dini, tunapoimba wimbo wa taifa tunamtaja Mungu yupi? Inanipa shida sana kuelewa kwenye hii issue. Tafadhari kama kuna mtu anaelewa the reason behind.