Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kitu hiki hapa jamani:

Sahih International

You are the best nation produced [as an example] for mankind. You enjoin what is right and forbid what is wrong and believe in Allah . If only the People of the Scripture had believed, it would have been better for them. Among them are believers, but most of them are defiantly disobedient.


Swahili

Nyinyi mmekuwa bora ya umma walio tolewa watu, kwa kuwa mnaamrisha mema na mnakataza maovu, na mnamuamini Mwenyezi Mungu. Na lau kuwa Watu wa Kitabu nao wameamini ingeli kuwa bora kwao. Wapo miongoni mwao waumini, lakini wengi wao wapotovu.

Source: http://quran.com/3/110

Usichokielewa hapo ni nini?
 
Hivi serikali haina DINI au haina MUNGU?
Kwahiyo Mkuu unataka kusema Serikali haina dini bali ina Mungu??

Serikali inatuzuga tu kutuaminisha kua haina dini bali inaamini Mungu. Ukweli ni kwamba serikali haimani Mungu wala Dini, bali ipo ipo ki-secular zaidi.

Ingekua kweli serikali inaamini Mungu yupo, watu wasingepiga EPA, Meremeta, Richmond, Kagoda, Deep Green, Escrow, Mabilioni ya Kikwete, Fedha za Kupunguza makali ya Myumbo wa Kiuchumi, Fedha za Tumbaku Tabora, e.t.c.

Ingekua Serikali inaamini kuna Mungu yupo, watu wasingeendekeza safari kila kukicha wakati shule hazina hata Madawati, watu wanasoma chini ya mwembe, Mdudu akidondoka ni mapumziko na mvua zikianza basi likizo.

Ingekua Serikali inaamini Mungu yupo, watu wasingeacha Hospitali zinakosa Madawa na Vitanda. Hospitali Kubwa kama Muhimbili na Amana Ilala Wanawake wajawazito wanajifungulia sakafuni huku wengine wakiwa wamelala mzungu wa nne kitanda kimoja.

Ingekua Serikali inaamini Mungu yupo, wasingeruhusu Dawa Feki za ARV kuingia kwenye Bohari ya Madawa. Kina Madabida wapo tu wanadunda mtaani wakati watu wamepiga vidonge feki na wanaatabika sasa.

Ingekua Serikali inaamini Mungu yupo, waliomng'oa meno Dk. Ulimboka wangekua wameshakamatwa na Kunyongwa kabisa. Leo hii wadanganyika washasahau hii issue.

Ingekua Serikali inaamini Mungu yupo, isingethubutu kubinafsisha migodi karibia yote kwa wageni na kuwaacha wazawa wakitaabika na mahandaki & mavumbi ya migodi hiyo. Kuna maeneo watu wameathirika baada ya maji yenye kemikali kutoka migodi hii kutiririkia kwenye makazi ya wananchi.

Ingekua Serikali inaamini Mungu yupo, Isingeruhusu Wageni kujazana Nchini kujichukulia ajira ambazo zingeweza kufanywa na wazawa. Kwa sasa haishangazi kupishana na machinga wa Kichina Kariakoo wakiuza kandambili kama wabongo.
 
Kuna watu naona wanabishana kwa lugha hizo hizo za makafiri mbona hambishani kwa lugha ya mtume wenu na Allah" ukafiri ni kama maji usipo unywa utauoga na mtaendelea kuwa chini ya ulimwengu wa mafiri mpaka mnakufa'++
 
Wewe FaizaFoxy ni Mwongo sana.

Kwa nini mtu mzima unadanganya watoto humu na kujenga chuki isiyokuwa na ulazima? Wewe unazo tu chuki binafsi kwa Nyerere; lakini pia inaonesha una fikra za kijahidina, zinazokosa kabisa objectivity. Natamani kukuita myopic; huijui vizuri hata hiyo dini yako.


Waislamu wa Enzi za Nyerere hawakupata elimu kwa sababu hii hapa: QUR AN TUKUFU; SURAT 3:110
Kasome hapo.

Hii sehemu ya Kitabu chako kitakatifu inamkataza Waislamu safi kufundishwa jambo lolote na Makafiri. Kwa hiyo Muislamu safi hawezi kwenda kusoma kwenye shule ya Misheni.

Waarabu hawakujenga shule za kutosha hapa Tanzania turithi. Wamisionari wa Kikristo walijenga shule nyingi tukarithi. QUR AN TUKUFU; SURAT 3:110 ilikuwa inakataza waislamu kusoma katika hizi shule za Makafiri. Hicho ndicho kilichowanyima Waislamu elimu. Kuna Wachache walidharau Qur an wakaenda kusoma kwenye hizi shule za Misheni. Hawa ndo tunaona walielimika.

Angalia Red hapo Juu. Ukome kujenga chuki katika jamii. Ukome kudanganya watoto wa nchi hii. Na ushindwe kabisa katika jitihada yako ya kuongopea watu. Nenda kasome QUR AN TUKUFU; SURAT 3:110 kama haikatazi Waislamu kusoma kwenye shule za Misheni!

Mshukuruni nyerere kwa kutaifisha shule za Misheni. Mungesoma wapi?
Highlander Quran unaijua au ushabiki wa kiimani unakusumbua soma hapo chini Quran 3-110

Nyinyi mmekuwa bora ya umma walio tolewa watu, kwa kuwa mnaamrisha mema na mnakataza maovu, na mnamuamini Mwenyezi Mungu. Na lau kuwa Watu wa Kitabu nao wameamini ingeli kuwa bora kwao. Wapo miongoni mwao waumini, lakini wengi wao wapotovu.

Haya wapi hiyo aya inakataza waislamu wasisome kwa makafiri?
nyerere alikuwa dikteta na kama sio yeye uislamu/waislamu wangekuwa mbali sana acheni chuki zenu za kijinga.
 
Last edited by a moderator:
Serikali ya Tanzania haina dini, tunapoimba wimbo wa taifa tunamtaja Mungu yupi? Inanipa shida sana kuelewa kwenye hii issue. Tafadhari kama kuna mtu anaelewa the reason behind.

kwani mungu ni dini gani?
 
Hiyo elimu imeisaidia nini Tanzania? kuelimika si kwenye kuta nne za darasa, kuelimika ni zaidi ya hapo. Mimi naona wameenda kujazwa ujinga tu na ndiyo maana mpaka Nyerere anaondoka nchi hii ikawa taabani hohehahe hata kula kwa foleni.


kuyumba kwa uchumi wa nchi si kitu rahisi kama unavyotaka kuwaaminisha watu hapa. Karibia kila kitu muhimu kwa maisha ya binadamu tunayoyajua sasa kimegunduliwa Marekani.

Ndege ziligunduliwa marekani, simu ziligunduliwa marekani, internet iligunduliwa marekani, nadhani hata umeme uligunduliwa marekani-- unisahihishe kama kuna uwongo hapo. Taaluma ya Uongozi inayotumika kuleta ufanishi Duniani leo, imeachwa ile ya Kiingereza dunia inafuata taaluma iliyogunduliwa Marekeni. Wajapani wameendelea sana baada ya kutambua hilo mapema sana na kwenda kusoma Management Marekani.

Kwa kifupi Marekani kuna wasomi wengi pengine kushinda sehemu nyingi za dunia. Haya...pamoja na akili zote hizo na usomi wa kupindukia miaka ya 1930 --nadhani ilikuwa 1939 ile, uchumi wa marekani uliangua wakawa wanakula kwa foleni.

FaizaFoxy unapoongea uwe unafikiri. Tulianza kula kwa foleni baada ya vita ya Kagera. Context ya hali mbaya ya uchumi wa Tanzania miaka ile haina uhusimano na elimu ya viongozi wa wakati huo. Context ya njaa ya 1978 - 1985 ilikuwa na uhusiano na vita, na tamaa wa OPEC kutafuta kutawala dunia kwa kutumia mafuta wakawa wamepandisha sana bei za mafuta. Ni ujinga kudai tulikuwa tunakula kwa foleni eti kwa sababu viongozi wa wakati huo walikuwa wamejazwa ujinga katika shule walizosoma.

Wewe binadamu unatumia sana moyo wako kufikiri badala ya kichwa.
 
Highlander Quran unaijua au
ushabiki wa kiimani unakusumbua soma hapo chini Quran 3-110

ﻛُﻨْﺘُﻢْ ﺧَﻴْﺮَ ﺃُﻣَّﺔٍ ﺃُﺧْﺮِﺟَﺖْ ﻟِﻠﻨَّﺎﺱِ ﺗَﺄْﻣُﺮُﻭﻥَ ﺑِﺎﻟْﻤَﻌْﺮُﻭﻑِ
ﻭَﺗَﻨْﻬَﻮْﻥَ ﻋَﻦِ ﺍﻟْﻤُﻨْﻜَﺮِ ﻭَﺗُﺆْﻣِﻨُﻮﻥَ ﺑِﺎﻟﻠَّﻪِ ۗ ﻭَﻟَﻮْ ﺁﻣَﻦَ
ﺃَﻫْﻞُ ﺍﻟْﻜِﺘَﺎﺏِ ﻟَﻜَﺎﻥَ ﺧَﻴْﺮًﺍ ﻟَﻬُﻢْ ۚ ﻣِﻨْﻬُﻢُ ﺍﻟْﻤُﺆْﻣِﻨُﻮﻥَ
ﻭَﺃَﻛْﺜَﺮُﻫُﻢُ ﺍﻟْﻔَﺎﺳِﻘُﻮﻥَ

Nyinyi mmekuwa bora ya umma walio tolewa watu, kwa kuwa mnaamrisha mema
na mnakataza maovu, na mnamuamini Mwenyezi Mungu. Na lau kuwa Watu wa
Kitabu nao wameamini ingeli kuwa bora kwao. Wapo miongoni mwao waumini,
lakini wengi wao wapotovu.

Haya wapi hiyo aya inakataza waislamu wasisome kwa makafiri?
nyerere alikuwa dikteta na kama sio yeye
uislamu/waislamu wangekuwa mbali sana acheni chuki zenu za
kijinga.

Mkuu sio ustaarabu kuwaita watu makafiri, na zaidi ukifanya utafiti utagundua unaziendeleza tamaduni za waharabu.
 
Last edited by a moderator:
Serikali ya Tanzania haina dini, tunapoimba wimbo wa taifa tunamtaja Mungu yupi? Inanipa shida sana kuelewa kwenye hii issue. Tafadhari kama kuna mtu anaelewa the reason behind.
Na kuna sala ya kuliombea bunge nako Mungu anatajwa labda serikali ina Mungu wake
 
Haya. Baada ya maelezo yako haya, hebu sasa jadili hoja ya huyu Muislamu mwenzio. Je ni Mwongo? au yeye antumia Qur An tofauti na ya kwako?

OK. Qur An Tukufu 3:110
Huyo Jamaa anabadilika uislamu hauled

au gonga hapa

Na wewe gonga hapa
Watch "Islam is Fastest Growing Religion in UK USA Europ" on

Akidai uislamu hauwezi kushinda Europe ameangalia kikaribu na kivita zaidi sio Kiimani na na mtazamo wa mbele
 
Last edited by a moderator:
Uislam haufuati mtu unafuata kitabu weka hayo maneno kutoka kwenye Quran.

Nimekupa footnote ya hoja yangu. Qur an mimi sikai nayo hapa. Wewe kama unayo onesha basi kwamba huyu mzungu ameongopa kusema

Qur An Tukufu 3:110 inakataza Waislamu kupewa elimu na makafiri. Wewe mwenye Qur an msahihishe bas huyu source wangu. Weka maneno yako kutoka kwenye Qur An Tukufu 3:110 tulinganishe na hoja ya mzungu kuona mwongo nani...

 
Last edited by a moderator:
Kusema Serikali haina dini ni kutokujuwa maana ya neno "dini".

Hilo lililetwa na Nyerere, huku anahubiri serikali haina dini, huku anawajaza Wagalatia wenzake kila sehemu na kuwapa kipaumbele cha elimu.

Msome Sivalon anachambuwa hilo.

Unafik mtupu.

Akili zako kama BOKO HARAM Serikali haina dini imetokana na SECULAR STATE/COUNTRY i.e haifungamani na dini yeyote kama ilivyo Saud Arabia, Iran, Oman etc you name them, they are not secular country but Islamic countries. I can't reckon if there is a Christian country!
 
Akili zako kama BOKO HARAM Serikali haina dini imetokana na SECULAR STATE/COUNTRY i.e haifungamani na dini yeyote kama ilivyo Saud Arabia, Iran, Oman etc you name them, they are not secular country but Islamic countries. I can't reckon if there is a Christian country!


zipo nchi za kikristo lakini ni chache. ni hapa Scandinavia. lakini maarufu zaidi ni Vatican ambayo inaitwa theocracy kama ilivyo Iran. Nchi ambayo ni ya kidini kabisa kabisa inaitwa theocracy. Upande wa ukristo maarufu ni Vatican City State, na upande wa Uislamu zipo kadhaa lakini maarufu Iran. Red inahusika hapo.
 
...na vipi kuhusu ile sala anayoiongoza spika muda mfupi kabla ya kikao cha bunge kuanza?
 
Na wewe gonga hapa
Watch "Islam is Fastest Growing Religion in UK USA Europ…" on


Islam is Fastest Growing Religion in UK USA Europe Australia 2013 - YouTube

Akidai uislamu hauwezi kushinda Europe ameangalia kikaribu na kivita zaidi sio Kiimani na na mtazamo wa mbele

Kwanini isiwe fastest growing religion! Kwasababu UISLAM ni KIFUNGO CHA MAISHA. Ukiingia uIslamu hakuna option ya kutoka, wakati dini nyingine zinaruhusu kutoka na kuingia. Refer a recent case of young innocent girl Mariam from Sudan aliyehukumia KIFO simply amebadili dini from Islam to Christianity.

Ukisoma Quran inasema wazi adhabu ya mtu atakayebadili uislamu ni KIFO. Lakini Quran hiyo hiyo inaruhusu watu kubadili kutokana dini nyingine kuwa Waislamu. Refer the recent case of abducted Nigerian young girls ambao wamekuwa converted to Islam by force. NDIYO UISLAMU HUO DINI YA MABAVU/KULAZIMISHANA.
 
zipo nchi za kikristo lakini ni chache. ni hapa Scandinavia. lakini maarufu zaidi ni Vatican ambayo inaitwa theocracy kama ilivyo Iran. Nchi ambayo ni ya kidini kabisa kabisa inaitwa theocracy. Upande wa ukristo maarufu ni Vatican City State, na upande wa Uislamu zipo kadhaa lakini maarufu Iran. Red inahusika hapo.

Get your fact correct Scandinavian countries i.e Denmark, Sweden, Norway they are not CHRISTIAN COUNTRIES but SECULAR COUNTRIES. For Vatican City tukubaliane kwanza, Je sasa UNAKUBALI kwamba Vatican City is a COUNTRY?

Maana huwa linapokuja swali la OIC na Vatican kuwa na ubalozi Tanzania, huwa mnajitoa ufahamu na kusema kwamba Vatican is not a country but an organization like OIC. Kwanza tukubaliane hili before moving forward.
 
Get your fact correct Scandinavian countries i.e Denmark, Sweden, Norway they are not CHRISTIAN COUNTRIES but SECULAR COUNTRIES. For Vatican City tukubaliane kwanza, Je sasa UNAKUBALI kwamba Vatican City is a COUNTRY?? Maana huwa linapokuja swali la OIC na Vatican kuwa na ubalozi Tanzania, huwa mnajitoa ufahamu na kusema kwamba Vatican is not a country but an organization like OIC. Kwanza tukubaliane hili before moving forward.

nitajaribu kufanya additional fact finding kuhusu mataifa haya ya Scandivania kama unavoshauri. Lakini nimewahi kusikia hata kama hawajatangaza rasmi kuwa mataifa ya Kikristo katiba zao zinaulinda Ukristo. Kwa lugha nyingine mila na desturi zao za zamani zimeweka katika katiba zao mambo ambayo yanalazimisha katiba hizo kuulinda Ukristo hata kama hilo la kuwa mataifa ya Kikristo halijatamkwa rasmi. Ni kama hali iliyopo Zanzibar. Katiba haijatamka kuwa Zanzibar ni nchi ya Kiislamu explicitly,lakini mila na desturi ya pale inalazimisha hivyo, na pengine vionjo ya kulinda mila hiyo vitakuwepo katika katiba yao au sheria ndogondogo za kuendesha visiwa hivyo. Hii ndo maana kule wana Masheha wakati hao hawapo bara.

Nadhani hoja iliyopo hapo Sweden na mataifa jirani ya Kidutch ipo hivyo. Anyway nitafanya additional fact finding kuthibitisha hili kama unavyoshauri.

Sasa kuhusu Vatican, ninachojua mimi ni kwamba hii ni City State. Wanayo ardhi na watu. Kwa hiyo ni kama taifa tu. Sasa nikuulize swali: OIC inayo ardhi? Hiyo ardhi ya OIC ipo wapi? Unawezaje kumpa mtu status ya Kibalozi hana Ardhi? Naomba nijibu hilo kwanza ndo tujue tunakwenda vipi kuanzia hapo.

ukitaka kitu cha kulinganisha na Vatican ni Iran. Zote ni theocracy. Wana ardhi, wana watu, na wametangaza wao ni mataifa ya kidini na kuchagua dini wanayoitaka. Si sahihi kulinganisha Vatican na OIC.
 
Kusema Serikali haina dini ni kutokujuwa maana ya neno "dini".

Hilo lililetwa na Nyerere, huku anahubiri serikali haina dini, huku anawajaza Wagalatia wenzake kila sehemu na kuwapa kipaumbele cha elimu.

Msome Sivalon anachambuwa hilo.

Unafik mtupu.

Kenya launches Islamic studies
curriculum in madrasas
A new curriculum being piloted in
50 religious schools in Kenya aims to
streamline Islamic studies and
ensure extremist teachings are not
propagated in madrasas.
A young
boy walks behind his mother as
they head to the mosque for
Friday prayers in the old town of
Mombasa on February 20, 2014.
[Ivan Lieman/AFP]
The development of the new
curriculum was a joint effort
spearheaded by al-Muntada al-Islami
Trust, an international charity
organisation based in the United
Kingdom, in partnership with the
Council of Muslim Scholars in Kenya,
the Supreme Council of Kenya
Muslims and representatives from
the Kenya Institute of Curriculum
Development (KICD).
Failure to have a unified Islamic
studies curriculum in madrasas has
left gaps that fiery clerics have been
exploiting to radicalise youths
, said Sheikh Abdilatif Abdulkarim,
an executive board member with al-
Mutanda al-Islami Trust in Nairobi.
"We think this is one way of dealing
with extremism," he told Sabahi.
"With the curriculum we will be able
to commit the teachers of these
madrasas to delivering content that
is relevant to the children, and it
will be easier to hold accountable
those who defy the rules through
evaluations."
The curriculum, which took three
years to develop, will also include
lessons on the values of tolerance
and the importance of nationhood,
he said.
"Apart from embracing Islam, we
need these children to remain
patriotic to their nation and love
other citizens irrespective of their
faiths when they grow up," he said.
"It is only through education that
they can acquire those skills, which
is the reason we have incorporated
[those lessons] in the curriculum.
That will make it hard for them to
fall prey to criminal elements like
terrorists."
The 90-day pilot programme was
rolled out February 6th in schools in
Mombasa, Nairobi and Garissa that
are participating voluntarily,
Abdulkarim said, adding that they
hope to adopt the curriculum
nationwide by January 2015.
Lawyer Ibrahim Lethome , who
helped write the new curriculum
and is now working to implement it,
told Sabahi there was an urgent
need to unify and standardise
Islamic studies in independent
religious schools since the Kenyan
Ministry of Education formally
recognised them.
"We have had a vacuum in this area,
and therefore this curriculum is a
step towards filling that vacuum and
having these institutions respond to
our teaching needs," said Lethome,
an expert on sharia law and member
of the Jamia Mosque Committee
based in Nairobi.
"What we are doing now is testing
the programme through the pilot
project," he said. "In the spirit of
public participation, during this
period we will be able to get the
opinions of parents and other
stakeholders on what the curriculum
should look like."
Promoting understanding
Before the curriculum is approved
for use nationwide, the pilot
programme will be evaluated and
subject to modifications, said Abdi
Kheir, a programme officer for KICD,
the government entity in charge of
evaluating and approving curricula
for Kenyan schools below university
level.
"All in all, this is a big leap in the
right direction and it will definitely
turn around how Islamic studies are
taught in the country," he told
Sabahi.
Having a known and approved
curriculum will help eliminate
undue suspicion from the general
public concerned with what goes on
in informal schools, he said. "This
will help promote understanding
and appreciation."
During the pilot evaluation, KICD
will continue to provide technical
assistance, he said. Once the final
curriculum is approved, madrasas
will be required to adopt it as a
precondition to receiving a license to
operate.
For his part, Sheikh Abu Hamzah,
imam of Mosque Huda in Mombasa,
praised the curriculum saying it is
bringing uniformity in content
delivery and will help communities
develop common religious
approaches to solving problems.
The new curriculum also provides
guidelines for educators on teaching
techniques, said Hamzah, whose
school is participating in the pilot.
"It has detailed teaching practices
for us educators, ranging from how
to arrange [lessons], and plan daily
teaching routines and curriculum
content for every age group, which
means we will be systematic in our
approaches, and thus avoid wasting
time," he told Sabahi.
Kenya launches Islamic studies
curriculum in madrasas -
Sabahionline.com
 
nitajaribu kufanya additional fact finding kuhusu mataifa haya ya Scandivania kama unavoshauri. Lakini nimewahi kusikia hata kama hawajatangaza rasmi kuwa mataifa ya Kikristo katiba zao zinaulinda Ukristo. Kwa lugha nyingine mila na desturi zao za zamani zimeweka katika katiba zao mambo ambayo yanalazimisha katiba hizo kuulinda Ukristo hata kama hilo la kuwa mataifa ya Kikristo halijatamkwa rasmi. Ni kama hali iliyopo Zanzibar. Katiba haijatamka kuwa Zanzibar ni nchi ya Kiislamu explicitly,lakini mila na desturi ya pale inalazimisha hivyo, na pengine vionjo ya kulinda mila hiyo vitakuwepo katika katiba yao au sheria ndogondogo za kuendesha visiwa hivyo. Hii ndo maana kule wana Masheha wakati hao hawapo bara.

Nadhani hoja iliyopo hapo Sweden na mataifa jirani ya Kidutch ipo hivyo. Anyway nitafanya additional fact finding kuthibitisha hili kama unavyoshauri.

Sasa kuhusu Vatican, ninachojua mimi ni kwamba hii ni City State. Wanayo ardhi na watu. Kwa hiyo ni kama taifa tu. Sasa nikuulize swali: OIC inayo ardhi? Hiyo ardhi ya OIC ipo wapi? Unawezaje kumpa mtu status ya Kibalozi hana Ardhi? Naomba nijibu hilo kwanza ndo tujue tunakwenda vipi kuanzia hapo.

ukitaka kitu cha kulinganisha na Vatican ni Iran. Zote ni theocracy. Wana ardhi, wana watu, na wametangaza wao ni mataifa ya kidini na kuchagua dini wanayoitaka. Si sahihi kulinganisha Vatican na OIC.

Highlander: Kwenye suala la OIC na VATICAN City hapo umemaliza kabisa sina neno. Ninaomba utusaidie pia kuwa elimisha Waislam wenzako huko misikitini kwamba wanapolinganisha OIC na Vatican city, wakati wanapojenga hoja za SMT kujiunga na OIC they are doing a terrible mistake. It is like comparing madafu na maembe. I was surprised hata learned Muslims like Prof Njozi kulinganisha Vatican city na OIC.

Last but not least ukimaliza "utafiti" wako kuhusu Scandinavian countries usione aibu kutupatia feedback (read MRISHO NYUMA)
 
Back
Top Bottom