SumadaVinci
Senior Member
- Dec 27, 2018
- 161
- 328
- Thread starter
- #21
✌️✌️🙏You are correct Sir..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
✌️✌️🙏You are correct Sir..
Kwani amesemaje etiKuna ka ukweli hapaa
a man can marry where he has no peace but sexIf SEX can make a man, marry you then all prostitutes would be married. A man commits where he has PEACE.
Be his PEACE & he'll run to you be his WAR & he'll run from you
dada yangu naomba unitumie namba yako kule PM.Kuna ka ukweli hapaa
Hapana kahaba yupo poa. Na ndio maana wengine wameoa lakini humkosi kwa makahaba. Coz mnamalizana bila bughudha.Kwani kahaba anakunyima Peace?
ukweli mtupua man can marry where he has no peace but sex
but
a man can never marry where he has all peace but no sex
a marriage is but sex!
Wewe kweli ni ndugu yangu wewe? Maana ndugu zangu wote wanajua mie sina simu natumia ya Uncledada yangu naomba unitumie namba yako kule PM.
mimi ni ndg yako wa damu nimeshakutafuta sana mpenz wang dada
fanya haraka sasa naisubiri
hahaaaaaaWewe kweli ni ndugu yangu wewe? Maana ndugu zangu wote wanajua mie sina simu natumia ya Uncle
Ss si umuoe huyo mana hana bughudha.,anakupa amani fullHapana kahaba yupo poa. Na ndio maana wengine wameoa lakini humkosi kwa makahaba. Coz mnamalizana bila bughudha.
daaaahh alafu siku nying,hv kumbe uncle naniliu hajamboo!!!.Wewe kweli ni ndugu yangu wewe? Maana ndugu zangu wote wanajua mie sina simu natumia ya Uncle
Nae ukimuweka ndani anachange anaanza kukupelekeshaSs si umuoe huyo mana hana bughudha.,anakupa amani full
Si unajua kile kiduka chake cha m-pesa?,, basi natumia lain yake ya m-pesa,,, siwezi kuigawa hata kwa ndugu nalinda kimtaji chake kisipoteedaaaahh alafu siku nying,hv kumbe uncle naniliu hajamboo!!!.
nitumie tu hata hyo maana na yeye siku nying kweli sijaongea naye
Mkuu, huelewi msingi wa Amani ya ndoa, umejaa mifano ya ndoa za "kawaida" Kichwani, ndio maana unajidanganya kusema "mtu ajidanganye."1.peace
2.Sex
Sasa mtu ajidangaje kwakuwa amekuwa wa kwanza eti wa pili hana umuhimu
Kama love relationship ingekuwa somo
Basi Peace angepata ufaulu wa 95%
Wakati Sex angepata ufaulu wa 90%
Hawa wote wana akili darasa ila peace kamzidi mwenzake kdg na always anakuwa kamzidi mwenzake kdg