Kama si kubebwa Yanga hata nafasi ya 4 hawapati


Jambo ambalo ni baya sana, hatutaki bingwa apatikane kwa kuunga unga, ni aibu kubwa. Hii haipaswi iwe kwa Simba au Yanga au Azam au kwa yeyote. Nimemsikiliza mdhamini Mbunge Mh Tarimba Abbas analalamika uchezeshaji wa kihuni hautusaidii kwa lolote
 
Yaani huyo jamaa hajitambui kabisa /angekuwa ndugu yangu ningebadilishana na gunia la ufuta
Hivi utaahira mtaacha lini ninyi ng'ombe? Yanga kabebwa kwenye tukio gani Jana? Hivi lile goli la Makambo wangefunga mbumbumbu au Biashara likakataliwa si ungevaa boxer kichwani wewe taahira? Simba ina mashabiki viazi mbatata sana aisee
 
Ubongo wako una kamasi
 
Na goli la Mayele kwenye mechi ya Geita vipi hukuliona?
 
Sare ya 1 kwa 1 kivipi? Kwahiyo Moloko ule mkono aliosukumwa sio faulo? Kama kusukumwa sio.faulo basi hata ya Geita wapewe goli lao kwenye mechi dhdi ya Simba. Mbona goli la makambo unalitoa wakati kwenye marudio inaonesha kabisa hakuna mgusano wowote kati ya makambo na kipa. Na pia kipa hakuukamata mpira. Acheni ushabiki na chuki za kitimu.
 
ni marudio gani hayo unayo yasema mkuu, imerudiwa mara kadhaa na imeonekana live kuwa makambo aliupiga ule mpira ukiwa mikononi mwa kipa. Ebu acheni ushabiki wa kipuuzi kwenye ukweli semeni ukweli.
 
Yanga ikifika dakika 75 ya mchezo, kama wamefungwa au Sare ya Aina yoyote.
Basi tegemea penati muda wowote.
Kama kuna mtu anabisha basi aendelee kuangalia mechi zao.

Atakuja kunishukuru.
 
Yanga ikifika dakika 75 ya mchezo, kama wamefungwa au Sare ya Aina yoyote.
Basi tegemea penati muda wowote.
Kama kuna mtu anabisha basi aendelee kuangalia mechi zao.

Atakuja kunishukuru.
Nitajie penalty za simba za chini ya 75 mins
 
Yule kocha Luc nae akashindilia zaidi " Mashabiki wa Yanga ni Manyani" Msukule ukamaliza ubishi kwa kusema "Usukuleni mwenye akili ni Sunday na JK tu" Mliobaki hamnazo . Mnafanana na wafuga mbwa tu. Siyo maneno yangu , niya Luc na Manara.
Kama tulivyowafuga nyie.
 
ni marudio gani hayo unayo yasema mkuu, imerudiwa mara kadhaa na imeonekana live kuwa makambo aliupiga ule mpira ukiwa mikononi mwa kipa. Ebu acheni ushabiki wa kipuuzi kwenye ukweli semeni ukweli.
Naomba ukaangalie hiyo video halafu screenshot sehemu ambapo umeona mpira upo mikononi mwa kipa halafu weka hapa
 
Unaongea upuuzi tu usio ujua
 
Bongo wajinga ni wengi....simba hawataki kuamini kama yanga zmebadilika....mbona epl, laliga na hata ligue 1 hakuna maneno ya hovyo kama haya....TANZANIA tubadilike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…