Kama sijawahi kukuomba hela yako na wewe usiniombe utamu wangu 2025

Safi sana shindikana , kumbe wewe ni mashirima kula pombe shindikana, ningekuwepo tungelewa tutukane humu tupigwe ban tuje na I'd mpya na mwaka mpyaπŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…
🀣🀣🀣🀣 tumtukane nani sasa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah wewe dada hebu nitue kumbe mnakopshaga na sijui
Ona sasa umeshaona ( Ni utani tu mamie )πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜‚,.
2025 ni hela sio tu kuliwa kwa maneno maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…