Kama sijawahi kukuomba hela yako na wewe usiniombe utamu wangu 2025

Nafikiri huyu kadogo atakuwa na undugu na Kasongo....kadogoo mbona wewo mombali nanga🎶
 
Mtakufa njaa nyie acheni kutunisha vifua wakati hamna.
 
Ona sasa umeshaona ( Ni utani tu mamie )[emoji1][emoji23][emoji23],.
2025 ni hela sio tu kuliwa kwa maneno maneno

[emoji1787][emoji1787] wanaume wa humu wananishambulia mno ila wao wakiombwa hela siku hiyohiyo wanafungua uzi kutunanga

Sasa 2025 hatuna nyege hatuna njaa na uchi hatuwapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…