balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Atakuwa kapiga mshononiMoja kati ya mfano wa kiboya sana tangu tuuanze mwaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa kapiga mshononiMoja kati ya mfano wa kiboya sana tangu tuuanze mwaka
Nothing lasts longer
Kwanini atasubiri sana, hebu fafanua?
Kila chenye mwanzo hakikosi mwisho!
Naomba niendelee kuheshimu mawazo yako, kwenye game ya football kuna kitu kinaitwa unpredictability kutokana na the playing field is level, lakini kwenye siasa zetu ni very predictable due to political dynamics za siasa zetu ukijumlisha na the political landscape ya political game yetu, the playing field is not level, hivyo kama kuna mtu anamatumaini kuwa kuna siku upinzani utashinda uchaguzi, mtu huyo atasubiri sana !.Nakuhakikishia hiyo siku yaja na hamtoamini.
Anguko la chama dola laja, tusichokijua kwa uhakika ni mazingira gani yatapelekea anguko hilo, au kwa maneno mengine, ni mazingira gani yatasababisha anguko hilo.
Pamoja nayote hayo mabadiliko yanawezekana🏃.Naomba niendelee kuheshimu mawazo yako, kwenye game ya football kuna kitu kinaitwa unpredictability kutokana na the playing field is level, lakini kwenye siasa zetu ni very predictable due to political dynamics za siasa zetu ukijumlisha na the political landscape ya political game yetu, the playing field is not level, hivyo kama kuna mtu anamatumaini kuwa kuna siku upinzani utashinda uchaguzi, mtu huyo atasubiri sana !.
Kwa Tanzania, determinant ya ushindi ingekuwa ni votes casted, labda hilo lingewezekana kutokea, lakini the determinant ya ushindi uchaguzi wetu sio votes casted but votes counted!, hivyo anayedetermini sio anayepiga kura, bali anayehesabu kura!.
P
Teh teh teh teh....huu mfano umekukera aisee....haaa haaaHoja ya kuhusu anguko la chama cha dola ni nzuri na hata mimi naiunga mkono ila kutumia mfano wa simba mchizi ni kama kakimbia sana kasifiwa hadi kapapita na kwao
CCM ishakufa tangu 2010 sema bado mazishi yakeMkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip, kwanza neheshimu mawazo yako hata kama sikubaliani na wewe!, pili hakuna ubaya wowote kwa mtu kuwa a wishful thinker, ila kama unasusubiri siku CCM ianguke, kiukweli, utasubiri sana!, kama fisi anavyonyemelea nyuma ya binadamu anayetembea kwa jinsi mikono inavyopishana, masikini fisi anaamini imelegea karibu itaanguka!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Bibi ushungi ndiyo kaja kuimalizia kabisa amejikita kuteua wapemba wenzake ambao hata huku bara hatuwajuiLeo tumeona jinsi Refa alivyojitahidi kuwabeba Simba lakini haikusaidia. Kama ilivyotokea kwa Simba, ndivyo itakuja kutokea kwa chama dola siku ikifika ambapo hata wakibebwa, mwisho wa siku waatanguka tu na kuachia madaraka.
Siku hiyo ikifika, itakuwa hivi:
Nguvu ya umma itakuwa kama wachezaji wa Mbeya City
Tume ya uchaguzi itakuwa kama Refa wa mchezo wa leo
Wasimamizi wa uchaguzi watakuwa kama wachezaji wa Timu ya Simba kwenye mechi ya leo
Watakaokuwa kwenye tallying center, watakuwa kama waliokuwa kwenye benchi la ufundi la Timu ya Simba leo
Dola itakuwa kama mabeki wa Simba kwenye mechi ya leo
Mashabiki wa chama cha kijani watakuwa kama wa Simba ya leo
Mashabiki wa upinzani watakuwa kama wale wa Mbeya city ya leo
Mabomu ya machozi na risasi za moto(kama zitatumika), zitakuwa kama ule mpira wa penati uliogonga mwamba
Maboksi ya kura yatakuwa kama nyavu za simba
Karatasi za kura zitakuwa kama ule mpira/mipira iliotumika kwenye mechi ya leo
Mwenyekiti wa Tume atakuwa kama mpiga penati wa Simba iliyocheza leo
Ukumbi wa kutangaza matokeo utakuwa kama uwanja wa Sokoine Mbeya siku ya leo.
Time will tell.
Kwasababu soka ina mashabiki wengi,naamini hata wale wasiofuatilia siasa ,watachungulia hapa japo kidogo(mashabiki wa Simba mtanisamehe kwani lengo ni ujumbe ufike bila chenga).
Mfungaji wa goli la leo(Paul John Nonga) katika ubora wake:
View attachment 2085502
View attachment 2085521
TrueP, ndugu kishina Cha mshahara amepata maono, na maono haya yapo dhahiri sana, Kaa tulia naamini katika kurejesha kwako kwa jamii , utayachambua upya maono ya ndugu Salary slip.
Kwani wewe siyo bavicha?Moja kati ya mfano wa kiboya sana tangu tuuanze mwaka
Job ameangukaje?Hata mashabiki wa Simba walikuwa hawaamini kuwa kilichotokea leo kinaweza kutokea.
Hata Lema wakati anatabiri anguko la Job, wengi walimuona kama anaota.
Nakuhakikishia hiyo siku yaja na hamtoamini.
Anguko la chama dola laja, tusichokijua kwa uhakika ni mazingira gani yatapelekea anguko hilo, au kwa maneno mengine, ni mazingira gani yatasababisha anguko hilo.
Mzee Pascal Mayalla, ulichosema ni kweli, Sisi watanzania tunaofutilia siasa ni wachache mno, tofauti na wenzetu kama Zambia, Kenya, hata Malawi tu wanatushinda. Kwa hiyo kuitoa CCM madarakani siyo kitu Rahisi hivyo tunatofauti kubwa sana na mataifa mengine ya Africa.Mkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip, kwanza neheshimu mawazo yako hata kama sikubaliani na wewe!, pili hakuna ubaya wowote kwa mtu kuwa a wishful thinker, ila kama unasusubiri siku CCM ianguke, kiukweli, utasubiri sana!, kama fisi anavyonyemelea nyuma ya binadamu anayetembea kwa jinsi mikono inavyopishana, masikini fisi anaamini imelegea karibu itaanguka!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Umenifurahisha sana kwa maelezo uliyotoa, Anayehesabu ndiye anajua mshindi, sasa hapo utashindaje?Naomba niendelee kuheshimu mawazo yako, kwenye game ya football kuna kitu kinaitwa unpredictability kutokana na the playing field is level, lakini kwenye siasa zetu ni very predictable due to political dynamics za siasa zetu ukijumlisha na the political landscape ya political game yetu, the playing field is not level, hivyo kama kuna mtu anamatumaini kuwa kuna siku upinzani utashinda uchaguzi, mtu huyo atasubiri sana !.
Kwa Tanzania, determinant ya ushindi ingekuwa ni votes casted, labda hilo lingewezekana kutokea, lakini the determinant ya ushindi uchaguzi wetu sio votes casted but votes counted!, hivyo anayedetermini sio anayepiga kura, bali anayehesabu kura!.
P
Hata makaburu wa SA walikuwa na kiburi cha hivyohivyo. Walikuwa na katiba ya hovyo hivyo hivyo. Wakawabana wengine hivyohivyo. Kwa hili hatukushangai wewe wala wakijani wenzio, wasomi na wasio wasomiMkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip, kwanza neheshimu mawazo yako hata kama sikubaliani na wewe!, pili hakuna ubaya wowote kwa mtu kuwa a wishful thinker, ila kama unasusubiri siku CCM ianguke, kiukweli, utasubiri sana!, kama fisi anavyonyemelea nyuma ya binadamu anayetembea kwa jinsi mikono inavyopishana, masikini fisi anaamini imelegea karibu itaanguka!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
CCM na Polisi ni chama kimoja, wanalindana.Kwanini atasubiri sana, hebu fafanua?
Mkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip, kwanza neheshimu mawazo yako hata kama sikubaliani na wewe!, pili hakuna ubaya wowote kwa mtu kuwa a wishful thinker, ila kama unasusubiri siku CCM ianguke, kiukweli, utasubiri sana!, kama fisi anavyonyemelea nyuma ya binadamu anayetembea kwa jinsi mikono inavyopishana, masikini fisi anaamini imelegea karibu itaanguka!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com