Kula tano.Ni mpumbavu pekee anaeweza kuamini Chama chetu kitadumu milele... Na mara nyingi kauli hizi hutolewa na wasaka fursa.
😆😆CCM na Polisi ni chama kimoja, wanalindana.
Mzee kuanguka kupo ila kwa kuwa bado anatafuta TEUZI lazima utetee na TEUZI HUTAPATA kwani hutoki Zile Koo zenye Tanzania yaoMkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip, kwanza neheshimu mawazo yako hata kama sikubaliani na wewe!, pili hakuna ubaya wowote kwa mtu kuwa a wishful thinker, ila kama unasusubiri siku CCM ianguke, kiukweli, utasubiri sana!, kama fisi anavyonyemelea nyuma ya binadamu anayetembea kwa jinsi mikono inavyopishana, masikini fisi anaamini imelegea karibu itaanguka!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Kwani we Pascal unaamini vp? Kuhusu CCM, kwamba akiwezi kutoka au kitatawala milele mpaka Yesu arudi kama wao wenyewe wanavyoamini.Mkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip, kwanza neheshimu mawazo yako hata kama sikubaliani na wewe!, pili hakuna ubaya wowote kwa mtu kuwa a wishful thinker, ila kama unasusubiri siku CCM ianguke, kiukweli, utasubiri sana!, kama fisi anavyonyemelea nyuma ya binadamu anayetembea kwa jinsi mikono inavyopishana, masikini fisi anaamini imelegea karibu itaanguka!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Kwanza mimi sio msomi!, pili mimi siwarubuni wananchi, ninachofanya ni kuwaeleza tuu ukweli mchungu kama huuwasomi akina pascal mayala kuacha na kukoma kuwarubuni wananchi!
Msomi ni nani sasa??Kwanza mimi sio msomi!, pili mimi siwarubuni wananchi, ninachofanya ni kuwaeleza tuu ukweli mchungu kama huu
PWenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla
Preamble!. "Ukiona mwenzako ananyolewa!" na "Ukiona kwa mwenzako kuna ungua!, kwako kunateketea!" Wale wote wenye matumaini na mategemeo kuwa kuna siku upinzani wa nchi hii, utakuja kushika dola!, hawa ni wishful thinkers na day dreamers, wanao ota ndoto za mchana, wasahau kabisa!. Lengo la...www.jamiiforums.com
Mkuu Pascal Mayalla; Salary Slip Yeye ametumia sanaa na ulinganifu wa anguko la Simba kueleza kuwa Siku 1 kama isivyokuwa imetegemewa sn Simba kufungwa mechi hiyo na yaliyotokea kwenye mechi, basi Siku 1 Chama tawala nacho kitapoteza kama hivyo. Sasa wewe unaposema hukubaliani naye unapaswa uwe wazi ni kipi hukubali? Je hukubali kuwa nchi hii siku 1 inaweza tawaliwa na chama nje ya kilichopo madarakani sasa? Kwamba unaamini hadi Kiama kinafika nchi hii daima milele itatawaliwa na CCM?Mkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip, kwanza neheshimu mawazo yako hata kama sikubaliani na wewe!, pili hakuna ubaya wowote kwa mtu kuwa a wishful thinker, ila kama unasusubiri siku CCM ianguke, kiukweli, utasubiri sana!, kama fisi anavyonyemelea nyuma ya binadamu anayetembea kwa jinsi mikono inavyopishana, masikini fisi anaamini imelegea karibu itaanguka!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Hapo hata mtt wako bd aliyepo kiunonii nayee atakuwaa hayupo au atakuwepo ilaa mzeee tyr daaaaNikweli hilo litatokea ila siyo chini ya mwaka 2099. Yaani bado miaka zaidi ya 80 kuja kutokea hilo. Mimi wewe na yule umuonae leo hatolishuhudia hilo
Pamoja na kutumika kwako na utabiri wako uchwala, haya sasa upinzani umekufa?Kwanza mimi sio msomi!, pili mimi siwarubuni wananchi, ninachofanya ni kuwaeleza tuu ukweli mchungu kama huu
PWenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla
Preamble!. "Ukiona mwenzako ananyolewa!" na "Ukiona kwa mwenzako kuna ungua!, kwako kunateketea!" Wale wote wenye matumaini na mategemeo kuwa kuna siku upinzani wa nchi hii, utakuja kushika dola!, hawa ni wishful thinkers na day dreamers, wanao ota ndoto za mchana, wasahau kabisa!. Lengo la...www.jamiiforums.com
Unajua siku za mwizi ni XL, hiyyo Lumumba na genge lake hawataendelea na wizi milele.Watanganyika ni wapole, lakini siyo wajinga Kama unavyozania. Watu hawana interest na kumchagua spika anayetokana na chama kilichoiba kuraMkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip, kwanza neheshimu mawazo yako hata kama sikubaliani na wewe!, pili hakuna ubaya wowote kwa mtu kuwa a wishful thinker, ila kama unasusubiri siku CCM ianguke, kiukweli, utasubiri sana!, kama fisi anavyonyemelea nyuma ya binadamu anayetembea kwa jinsi mikono inavyopishana, masikini fisi anaamini imelegea karibu itaanguka!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com