Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
Kuna watu wanakereka, na vijana wa habari pale Yanga wanajua sana kukera.yanga mnaikumbuka hii!
unamaanisha, imefutika akilini mwaoKuna watu wanakereka, na vijana wa habari pale Yanga wanajua sana kukera.
kwanini chief?Unamkejeli mzazi wako?.
Utapata laana utembee uchi jiji zima.
Tunaikumbukayanga mnaikumbuka hii!
Simba 5- 0 yanga. 2012
boya wewe. nachojua mvua ilinyesha pale taifakama una kumbukumbu kweli nambie siku 11 zilizopita pale kwa mkapa mishale ya saa 11 jioni mpk saa 1 usiku kilitokea nn?KUNA JERO LA VOCHA APA UKIKUMBUKA HIYO
Mvua ya maji au mvua ya magoli?boya wewe. nachojua mvua ilinyesha pale taifa
aiseeh mlitutandika mnooMvua ya maji au mvua ya magoli?
Aaahaaaaaiseeh mlitutandika mnoo
sio poa chiefhuu mwaka mpka uishe mashabiki wa simba tutakua tuko hoi sana
Mkitaka huu upepo ukate,mpigeni Asec Mimosahuu mwaka mpka uishe mashabiki wa simba tutakua tuko hoi sana
🤣🤣mtaani hatueleweki kabsa labda tukimfunga asec kidgo tutawafunga mdomo lakn sio kiwepesi hvoMkitaka huu upepo ukate,mpigeni Asec Mimosa
Ni kama siye kelele za Ihefu zilivyokata baada ya kuwafunga nyie
Ila muombe Yanga afungwe kule Uarabuni🤣🤣mtaani hatueleweki kabsa labda tukimfunga asec kidgo tutawafunga mdomo lakn sio kiwepesi hvo
Yanga ni mzazi wako ujue.kwanini chief?
yanga uarabuni atasuluhuIla muombe Yanga afungwe kule Uarabuni
Akishinda na nyie mkafa
Hapatakalika mkijin