Kama sio kutukimbia uwanjani siku ile, Yanga ingeambulia kipigo cha fedheha mno

Siku hiyo Musonye yule Rais wa Maisha wa CECAFA akaporomosha matusi live. SIjui jamaa ni bado Rais wa CECAFA au?
 
Na simba Mara 2 katika Miaka tofauti amewahi kukimbia na kutoendelea na mchezo kipindi cha pili dhidi ya Yanga akiwa tayari ameshafungwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…