Kama sio wakoloni (wazungu) na dini walizoleta Afrika tungekuwanyuma sana

Kama sio wakoloni (wazungu) na dini walizoleta Afrika tungekuwanyuma sana

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Ukiangalia kasi ya maendeleo kwa maeneo qmbayo yalifikiwa na wakoloni iko kasi kuliko kule ambako hapakufikiwa.

Wanjanja wengi ni matokeo ya kuanzishwa kwa shule na elimu za kikoloni.

Kuna vijiji ilikuwa mtu akinunua hata kioo tu anarogwa na kufa kwa wivu.

Kuna mambo ya maana mtu alikuwa hawezi kufanya kisha mzimu hauyaelewi au umemkataza.

Dini na wazungu wamesaidia sana sio tu Afrika bali dunia yote.

Ni hayo tu.
...
Niini maoni yako.
 
Kabla ya hapo tulikuwa na aina yetu ya maendeleo , Yeye mzungu alichotubadili ni kufikiri ya kwao ndio maendeleo natuache ya kwetu.
Maendeleo duni sana tukiwa wakweli. Tena wangesema watuache hadi sasa tungekuwa na gap ndogo sana na waadzabe wa maporini wanaokula matunda na kuvaa ngozi.

Mzungu amefanya kazi kubwa saana ambayo sisi tumeshindwa kuimalizia.
 
Ukiangalia kasi ya maendeleo kwa maeneo qmbayo yalifikiwa na wakoloni iko kasi kuliko kule ambako hapakufikiwa.

Wanjanja wengi ni matokeo ya kuanzishwa kwa shule na elimu za kikoloni.

Kuna vijiji ilikuwa mtu akinunua hata kioo tu anarogwa na kufa kwa wivu.

Kuna mambo ya maana mtu alikuwa hawezi kufanya kisha mzimu hauyaelewi au umemkataza.

Dini na wazungu wamesaidia sana sio tu Afrika bali dunia yote.

Ni hayo tu.
...
Niini maoni yako.

Nafikiri centralisation helps. Imagine kila mtu angekuwa anaabudu jiwe lake sasa. Mawe ya kujengea tungepata wapi?

Ukatili wa matambiko yetu pia. Chief akifa anazikwa na watu walio hai. Chief akisema mizimu imekasirika kuna shingo kadhaa zinaenda kutuliza mizimu, kama sio mifugo kadhaa.

Ule ustaarabu wa siku zile usingekuwa relevant mpaka leo. Ilibidi ubomolewe. Na sijui kesho kutakuwa na nini, ila kila zama na mambo yake. Ningependa generation yangu ya nne hata ya tano wawe na dini yangu ninayoiamini mimi.
 
Ukiangalia kasi ya maendeleo kwa maeneo qmbayo yalifikiwa na wakoloni iko kasi kuliko kule ambako hapakufikiwa.

Wanjanja wengi ni matokeo ya kuanzishwa kwa shule na elimu za kikoloni.

Kuna vijiji ilikuwa mtu akinunua hata kioo tu anarogwa na kufa kwa wivu.

Kuna mambo ya maana mtu alikuwa hawezi kufanya kisha mzimu hauyaelewi au umemkataza.

Dini na wazungu wamesaidia sana sio tu Afrika bali dunia yote.

Ni hayo tu.
...
Niini maoni yako.
Umeandika ukweli Mtupu
 
Back
Top Bottom