Baadhi ya vyombo vya habari kama ITV na UTV hapa nchini kila baada ya taarifa ya habari hutoa summary ya mwenendo wa maambukizi ya korona duniani.
Je kuna faida au madhara gani kwa wananchi kusikia taarifa ya mwenendo wa Korona kwa mataifa ya nje tu bila kujua kinachoendelea nchini?
Je, kwanini vyombo vya habari kama ITV au TBC haviandai vipindi maalumu kuonyesha vifo na namna wanavyozika waliokufa kwa korona nchi kama Brazil na Elqurdo badala ya kutangaza namba tu na kutangaza Corona ipo chukua tahadhali?
Kama kweli taarifa za korona hazina umuhimu na hazihitajiki hapa nchini kwanini viongozi wetu wakuu kwa nyakati tofauti wiki iliyopita walipotoa taarifa ya kupungua kwa korona walitaja takwimu/namba?
Je kuna faida au madhara gani kwa wananchi kusikia taarifa ya mwenendo wa Korona kwa mataifa ya nje tu bila kujua kinachoendelea nchini?
Je, kwanini vyombo vya habari kama ITV au TBC haviandai vipindi maalumu kuonyesha vifo na namna wanavyozika waliokufa kwa korona nchi kama Brazil na Elqurdo badala ya kutangaza namba tu na kutangaza Corona ipo chukua tahadhali?
Kama kweli taarifa za korona hazina umuhimu na hazihitajiki hapa nchini kwanini viongozi wetu wakuu kwa nyakati tofauti wiki iliyopita walipotoa taarifa ya kupungua kwa korona walitaja takwimu/namba?