Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Leo leo..Nataka kufaham ,mnaanza lini kumtupia madongo huyu mama kama kawaida yenu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo leo..Nataka kufaham ,mnaanza lini kumtupia madongo huyu mama kama kawaida yenu??
Tunampa mwezi mmoja,mwenzake alikuwa jeuri na sasa kapata kejeli
Dawa ya kiburi kaburi.Amepita madrasa twaamini atalimbuka
alibununi fununi=mjinga hajijuiNini na wewe ndio unazidi kunichanganya.
Tumia akili hata kidogo tu..Nataka kufaham ,mnaanza lini kumtupia madongo huyu mama kama kawaida yenu??
Tumia akili hata kidogo.Waliopita madrasa utuongoza vyema
Hao wengine huwa bize kusotesha namba watuTumia akili hata kidogo.
Mabhangi hayaa.mbwa nyie,kwahiyo ninyi ndo mmemuua jp?? Mbwa nyie mnamtisha nani kipimbavu ivo??
Ndio maana hujijui kama mjinga?alibununi fununi=mjinga hajijui
Ni kweli kiburi ndio kilimwangamiza mtangulizi wa Samia.Taifa letu lina katiba mbaya sana maana imemrundikia rais madaraka makubwa mno. Sioni umuhimu wa kutaja ibara zilizompa rais mamlaka makubwa. Lakini toka ibara ya kwanza mpaka ya mwisho rais wa JMT ana mamlaka makubwa sana. Anaweza kufanya chochota anachotaka na hakuna wa kumuuliza. Na hii huwa mbaya zaidi kama rais wetu akiwa na kiburi.
Tuna katiba ambayo imetamka wazi rais hawezi kushitakiwa kwa jinai yoyote akiwa madarakani. Sasa je kwa kutumia madaraka yake akifanya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa nini asishitakiwe?
Tumuombe Mungu rais wa sasa asiwe na kiburi, maana kama akiwa na kiburi, hata mtu akimtongoza binti yake tunaweza kusikia alitekwa na kufungwa jiwe zito kisha kutumbukizwa baharini. Na hakuna hatua zozote za kisheria dhidi yake zitachukuliwa.
Tulisha wazoea mnataka asiwe na kiburi ili muanze kumdhalau na kumtukana ovyo na kutaka afanye mnachokitaka nyie akifanye.makelele na majungu yenu hayana njia bado Kwa huyo mama.Taifa letu lina katiba mbaya sana maana imemrundikia rais madaraka makubwa mno. Sioni umuhimu wa kutaja ibara zilizompa rais mamlaka makubwa. Lakini toka ibara ya kwanza mpaka ya mwisho rais wa JMT ana mamlaka makubwa sana. Anaweza kufanya chochota anachotaka na hakuna wa kumuuliza. Na hii huwa mbaya zaidi kama rais wetu akiwa na kiburi.
Tuna katiba ambayo imetamka wazi rais hawezi kushitakiwa kwa jinai yoyote akiwa madarakani. Sasa je kwa kutumia madaraka yake akifanya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa nini asishitakiwe?
Tumuombe Mungu rais wa sasa asiwe na kiburi, maana kama akiwa na kiburi, hata mtu akimtongoza binti yake tunaweza kusikia alitekwa na kufungwa jiwe zituto kisha kutumbukizwa baharini. Na hakuna hatua zozote za kisheria dhidi yake zitachukuliwa.
Tunamzoom kwanza akipepesa macho tunaanza naeNataka kufaham ,mnaanza lini kumtupia madongo huyu mama kama kawaida yenu??
HakikaTaifa letu lina katiba mbaya sana maana imemrundikia Rais madaraka makubwa mno. Sioni umuhimu wa kutaja ibara zilizompa ais mamlaka makubwa. Lakini toka ibara ya kwanza mpaka ya mwisho rais wa JMT ana mamlaka makubwa sana. Anaweza kufanya chochota anachotaka na hakuna wa kumuuliza. Na hii huwa mbaya zaidi kama rais wetu akiwa na kiburi.
Tuna katiba ambayo imetamka wazi Rais hawezi kushitakiwa kwa jinai yoyote akiwa madarakani. Sasa je kwa kutumia madaraka yake akifanya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa nini asishitakiwe?
Tumuombe Mungu Rais wa sasa asiwe na kiburi, maana kama akiwa na kiburi, hata mtu akimtongoza binti yake tunaweza kusikia alitekwa na kufungwa jiwe zito kisha kutumbukizwa baharini. Na hakuna hatua zozote za kisheria dhidi yake zitachukuliwa.
Kwani yey anaongozea y'a lumumbaVIPI KATIBA YA PALE UFIPA INAFAA KUONGOZA NCHI?