Kama Tajiri "Bilionea' Diamond kakubali kuwa hata Yeye 'sometimes' huwa anachapiwa / anabanduliwa Mademu zake, Wewe ni nani ukatae kuwa husalitiwi?

Mkipendana kwa kumaanisha usaliti haupo, “UPENDO” hauhesabu “MAKOSA”
 
DIAMOND NI MALAYA NA MADEMU ZAKE NI MALAYA. KAMA MKE WAKO ANALIWA USIWAAMINISHE WATU KUWA NA WAKE ZAO WANALIWA, MTIMIZIE MKEO VIZURI HATACHEPUKA TENA
 
Ukidate na Slay Queens kugongewa ni asilimia kubwa sana. WEMA,zari,Hamisa pale hamna wanawake, ukiwa nao watu watakugongea tuu.
 
Hao watu wenye hela ndio rahisi kusaidiwa, maana muda mwingi wanakuwa busy kutafuta hela, hapo wahuni ndio wanatumia muda na mademu zao.
 
Kuweka angalizo ni dalili ya kuwa alochoandika ni upumbavu
 
Sasa kama anachukua malaya kwanini asitarajie hayo?

Yeye mwenyewe anajua madem wengi anaowagonga siyo kwamba wanampenda kwa dhati bali wanafata umaarufu na pesa zake tu.

So sample uliyotumia kama mfano mzee umepotea sana si kila mtu anachukua mke wake toka club au baa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…