Greataziz
Senior Member
- Feb 8, 2018
- 124
- 99
Hili huwa najiuliza mara kwa mara Sana Naombeni JamiiForums msilichanganye kule kwenye thread ya TANESCO macomment mengi sana huenda hata hawataona maana hii imekua kero sana kwa sisi Raia.
Waziri na wizara kwa ujumla sijui kama Wana Mkakati wowote wa kuondokana na Tatizo La Mgao wa Umeme naona wapo tu wanasubiria waamke waende ofisini warudi kulala Ukiachana na Mkakati walokua nao MAGUFULI na Waziri Wake.
Hii imekua kero sana kwa sisi Raia ambao Tunategemea Umeme ili tule na wapate pesa ya kutukata TOZO kila Siku kukatika umeme kuanzia asubuhi mpaka saa 1 jioni maeneo mengi mikoani ni kero Sana hususani Mbeya Wanakata sana ni miezi 2 sasa mkoani mbeya mgao unaendelea.
Mwaka uliopita kama sijakosea viongozi wengine walisingizia Mvua na kuwa huko nyuma walikuwa wanawalazimishwa kuwasha umeme kwenye miundombinu mibovu, Wakazima muda mrefu kuwa wanakarabati tukasema sawa sasa sijui mwaka huu wameandaa Sababu gani zingine najua fika watasema ni VITA ya UKRAINE maana mtu wa kumtupia tena lawama hayupo sidhani kama itawezekana kupata wa kumrushia lawama.
Swali langu kwanini wasiruhusu Makampuni mengine yatuuzie umeme kama ilivo simu Ttcl wameboresha sana Huduma baada ya kupata washindani zamani walikua wanaringa sana na huduma mbovu.
Na kama Waziri amekosa dira na mkakati wowote wa kuondokana na mgao anasubiria kila mwaka aandae sababu za kutuambia ndio chanzo cha mgao basi apishe wenye uwezo huo watekeleze.
Waziri na wizara kwa ujumla sijui kama Wana Mkakati wowote wa kuondokana na Tatizo La Mgao wa Umeme naona wapo tu wanasubiria waamke waende ofisini warudi kulala Ukiachana na Mkakati walokua nao MAGUFULI na Waziri Wake.
Hii imekua kero sana kwa sisi Raia ambao Tunategemea Umeme ili tule na wapate pesa ya kutukata TOZO kila Siku kukatika umeme kuanzia asubuhi mpaka saa 1 jioni maeneo mengi mikoani ni kero Sana hususani Mbeya Wanakata sana ni miezi 2 sasa mkoani mbeya mgao unaendelea.
Mwaka uliopita kama sijakosea viongozi wengine walisingizia Mvua na kuwa huko nyuma walikuwa wanawalazimishwa kuwasha umeme kwenye miundombinu mibovu, Wakazima muda mrefu kuwa wanakarabati tukasema sawa sasa sijui mwaka huu wameandaa Sababu gani zingine najua fika watasema ni VITA ya UKRAINE maana mtu wa kumtupia tena lawama hayupo sidhani kama itawezekana kupata wa kumrushia lawama.
Swali langu kwanini wasiruhusu Makampuni mengine yatuuzie umeme kama ilivo simu Ttcl wameboresha sana Huduma baada ya kupata washindani zamani walikua wanaringa sana na huduma mbovu.
Na kama Waziri amekosa dira na mkakati wowote wa kuondokana na mgao anasubiria kila mwaka aandae sababu za kutuambia ndio chanzo cha mgao basi apishe wenye uwezo huo watekeleze.