Mpondoshilla
Member
- Jul 4, 2022
- 36
- 132
Jana nikiwa nimetoka zangu katika mihangaiko mida ya saa nane hivi kufika pale uwanja wa ndege gari zikawa foleni tumekaa hapo weee nikaona madereva wanazima magari mara konda kakaa mlangoni miguu ikiwa chini ya lami tukawa tunajiuliza kuna nini?
Kama nusu saa hivi tukasikia
Wioo wiooo wiooo wiooo
Aa kudadeki kumbe ni kakiumbe kamoja tu kametoka zake sijui wapi huko kanatusimamisha maelfu ya watu ili kapite
Kwanini wasikae tu pamoja kwenye foleni na sisi?
Kama nusu saa hivi tukasikia
Wioo wiooo wiooo wiooo
Aa kudadeki kumbe ni kakiumbe kamoja tu kametoka zake sijui wapi huko kanatusimamisha maelfu ya watu ili kapite
Kwanini wasikae tu pamoja kwenye foleni na sisi?