hahha, duh! bloody hell
Malcom Lumumba what a bile are you spewing here? hizi akili ndio huwa zinawafanya watu mgeuke kuwa wachawi. hebu tuanzie kwenu Bukoba, marehemu Baba wa Taifa mwalimu Kambarage Nyerere asingeshinda leo hii we ungekuwepo hai? au maybe mngekuwa mnaitwa waganda? who knows[emoji2369]
hii mada imejaa ujinga mtupu, wivu, chuki, visasi, uchawi na kutojitambua.
what if Baba wa taifa asingekukomboa kutoka kwenye unyampala wa mkoloni? we si ungekuwa bado kolokoloni tu? mbona kuna mengi ya kujiuliza tuu... inakuwaje umeanzia matukio ya hivi karibuni? siku nyingine labda huwe unaanza tangu dunia ilivyoumbwa basi, tujue kabisa hauna agenda, just living the dream, mh? hizi mada za kijinga uwa zinaniuma sana even though sometimes huwa unaleta mada za kueleweka, hii mzee umeteleza kabisa.
yani kwa kifupi we unaona bora mngeshindwa na Amini kuliko wanyarwanda au waganda kuishi maisha bora ya kupeta leo hii? mi mbona sikuelewi
🙄
achana na mambo ya kizamani(shit mind) wewe... tupige hatua kaka, siku hizi umoja ndio nguvu.
hebu jiulize, kama yale manterahamwe na wasaliti wanaotia matumbo yao mbele wasingekuwa na upenyo wa kuja huko nje na kuwa wanarudi mara kwa mara kuleta vita za kijingajinga, unafikiri sie tungekuwa tunaenda kuwasaka nchi za watu kwa misingi ipi? very weird post.
Btw Mheshimiwa Magufuri kawafikisha wapi kwa kuwaburuza[emoji7] shenzitype, mtatia akili tu na maendeleo yatakuja hivyohivyo kinguvunguvu tu.