Kama TBC wameshatoa tamko wewe ni nani ubishe!?

Kama TBC wameshatoa tamko wewe ni nani ubishe!?

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
tbc_online_cc73aafc691542c7adee14e54ace8a6a.jpg
 
Mbona wameishatolewa tunachotaka kuhesabu ni katolewa kwa goli ngapi basi.
Huwezi jua labda wataifunga Yanga goli 5 maana msemaji wao kasema video analysis wamefika jana kutoka spain hahahaa kaniongezea nyama ninacho kiandika kuhusu yasiyo tarajiwa,(uncertainty), ambapo hakika yasiyo tarajiwa husababishwa kwa asilimia kubwa na binadamu kwa makusudi ama kwa kutokujua
 
Huwezi jua labda wataifunga Yanga goli 5 maana msemaji wao kasema video analysis wamefika jana kutoka spain hahahaa kaniongezea nyama ninacho kuandika kuhusu yasiyo tarajiwa,(uncertainty)
Deviation of reality from actual hyo itabi iwekwe kwenye tukio la mwaka.
 
Deviation of reality from actual hyo itabi iwekwe kwenye tukio la mwaka.
Iko hivi asilimia kubwa ya yasiyo tarajiwa,(changamoto), husababishwa na binadamu kwa makusudi ama kwa kutokujua asilimia ndogo sana hutokana na majanga, binadamu anaweza kusababisha changamoto kwa mtu mwingine ama kwake yeye mwenyewe, tumeona katika maisha yetu ya kawaida watu walio wengi wanajizima data hata tunao wapa dhamana
 
ila Yanga mmepiga hatua siyo siri. Wenye kumbukumbu nzuri wanakumbuka kuna kipindi hata hivi timu vidogo vilikuwa vinawasumbua. Leo mnavipigapiga hata mkiwa mmefumba macho.
Wakaze sasa ili waache kuanza kwe raundi za awali
 
Back
Top Bottom