Uchaguzi 2020 Kama TPSF ni wakweli, then, JPM, CCM itashinda ushindi wa kishindo cha ajabu! But for National Unity, TL ateuliwe Ubunge kuwafariji his sympathizers?

Uchaguzi 2020 Kama TPSF ni wakweli, then, JPM, CCM itashinda ushindi wa kishindo cha ajabu! But for National Unity, TL ateuliwe Ubunge kuwafariji his sympathizers?

Na kwa kinywa chake mwenyewe Tundu Lissu ametamka si mara moja wala mara mbili bali several times kwamba akishinda lazima atangazwe, iwe kwa heri au shari!

So, discussion ya "viti maalumu" imlenge zaidi JPM na si Lissu.
😀😀 Ni swala la muda tu,choroko na mbaazi vitakaa sehemu yake.
 
Alie kwambia Tundu Lissu wafuasi wake ni minority ni nani?
WEWE UMESIKIA WAPI. (Kwa sauti ya mbunge Bwege)
 
Juzi Magufuli analia kuwa vijana wamekosa ajira.... sasa kama sekta binafsi iko vizuri sana, mbona vijana hawana ajira?

Tatizo wanamsifu kwa uongo sana, wakati wananchi ndio tunaishi ukweli. October 28 watajua mbivu na mbichi
hIVI AKILI ZAKO ZINAKUAMBIA LISSU ATALETA AJIRA, KIJANA FUNGUA MACHO NA MSIMPACHIKE MGOMBEA WENU ZIGO ASILOWEZA KULIBEBA. KIJANA NI KAWAIDA KWENYE KAMPENI WANASIASA KUTOA AHADI 100 NA KUTIMIZA 10. KUPUNGUZA AJIRA TANZANIA KWA ASILIMIA 60, ITATUCHUKUA MIAKA KAMA 20 YA UCHUMI USIOPUNGUA 5-7% KILA MWAKA, NA LAZIMA KUWE NA MCHANGANYIKO WA UCHUMI WA BIASHARA, KILIMO, VIWANDA NA MADINI. TUKITEGEMEA BIASHARA ZA KUAGIZA VITU NA KUVIUZA TUU , TUTAZIDI KWENDA CHINI NA KUTEGEMEA NCHI KAMA CHINA KWA BIDHA
 
Pamoja na kutambua ushindi wa JPM upo wazi kabisa kutokana na ugeugeu na unafikir wa upinzani Ila bandiko lako limeegemea ktk kujipa promo na kujipendekeza zaidi.
Paskal tambua JPM anasifika kwa makubwa alofanya ndan ya muda mgupi lakini asifiwi kwa masifa ya mapambio ili mpate vyeo wengine.

Hebu safisha kalamu yako,Kuna mengi JPM kafanya unaweza kuyachambua kwa uweledi na kulinganisha awamu zilopita,Mnashindwa na Masanja mkandamizaji anayeonesha kinaga ubaga nchi ilivyojengwa!


Nataka=njaa isikuharibu kabisa akili,JPM haitaji sifa za kujipendekeza kwa maslahi ya mtu,yule Ni mzalendo na muumini wa uzalendo asili kabisaaa,na Sisi huku mtaani tunamkubali kinomaaaaaaaaaaaaa

Msigwa kamjaza uchafu huyu mzee Pascal, kuwa mzee Magu anaweza kumfikiria kwenye teuzi zake kama atalitukuza jina lake huku Jf.....

Asichokijua Pascal ni kwamba, the moment alikata tamaa ndio moment mageuzi makubwa ya kisiasa yanaenda kufanyika.....

Kwa Magu anakosa, na kwa Lissu anakosa.

Mkosi gani huu??????
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Well said Mayalla! Hi haijawahi kutokea katika chaguzi zote zilizopita. Haya mashirika binafsi yanaona juhudi, wako katika nafasi kubwa yakubaini utofauti wa kiuongozi kwakuwa wao ndio wadau wakubwa wa ujenzi wa nchi. Hapa kijijini kwetu vikundi mbalimbali vya wajasiliamali wametoa ahadi ya kura kwa JPM nadhani wao pia wamegundua tofauti ya kiungozi.
 
Hata mwanamke kila siku unamuhakikishia huna mwanamke mwingine na ni yy tu bt moyoni unajua so hao wanamzuga tu
 
Juzi Magufuli analia kuwa vijana wamekosa ajira.... sasa kama sekta binafsi iko vizuri sana, mbona vijana hawana ajira?

Tatizo wanamsifu kwa uongo sana, wakati wananchi ndio tunaishi ukweli. October 28 watajua mbivu na mbichi

Mkuu, una logic nzuri sana...
Wengi hawakufikiria hoja hii.
 
Lisu ni mpango wa Mungu, hao wote wanamhadaa ili asiendelee na kampeni, wanamdanganya kuwa ameshashinda, Safi Sana, lazima neno la mwalimu Nyerere litimie, kwamba, wakuiondoa ccm ni ccm wenyewe, kwasasa vituko vyote vinavyoonekana ni Mpango wa Mungu kuweka bayana chanzo Cha ccm kuangushwa kwa fedheha 28 October,
Kama dola ya RUMI ilianguka, ccm haitoshindikana pia
Kula zihesabiwe hadharani kama walivyofanya CCM kwenye kura za moani
 
Ndugu njaa paskali

Lissu ana kura zote za haya makundi....
1.Watumishi wote wa umma ikiwemo TISS na polisi
2.Wakulima
3.Machinga
4.Mama Ntilie
5.Vijana wasio na ajira maalumu
6.Wanafunzi wa elimu ya juu
7.Vijana waliokosa ajira kabsa
8.CCM wote wasiofadika na mfumo
9.Chadema wote
10.Viongozi wa dini zote
.
.
.
.
.
.
.20.Waislam
Maana ya Mayalla ni njaa
 
Ndugu yangu ID yako inaonyesha wewe ni mbabe kweli. Maana unajibu hoja kibabe. Wait and see time will tell. Mwezi wa 11 tutarudi tena hapa na story tofauti kabisaa.
 
28102020
29102020
30102020
Tukutane hapahapa kupongezana na kupeana pole

Maendeleo hayana vyama😍
 
Kwanza nilishaamua kakudharau siku nyingi kwasababu ya Mambo matatu.

1.Kusema Lissu alijipiga risasi mwenyewe.

2. Kumsnichi kabendera mpaka akapatwa na yaliyompata.

3. Kuwa muongo wa makusudi kabisa hasa kwenye siasa za Tanzania.

Pengine ndio maana waliokujua walikupa kura moja tu na hiyo ndio sample ya kweli yoyote anayejiambatanisha na magu anavuna mabua wewe ni mfano dhahiri.

Swali langu.

Kama wewe ulipata one vote je magu si ni replica na reflection ya kura zako/yako? Hiyo CCM yako itashindia wapi? Hakuna mtu timamu kwasasa anataka kusikia habari za Magufuli labda mtumie dola ila kihalali hamshindi na mtashindwa kwa Kishindo.

Mnachokifanya Sasa ni last kiks of a dying horse mnatapatapa na hao mnaowaita tpsf kwanza wanawanafikia tu mioyo Yao Wala haiko nanyi.

Mitano tuliyowapa mmelitesa na kulinyanyasa taifa Nani awape Tena kura nendeni zenu huko wauwaji wakubwa nyie.
Sasa ulishaona wapi mtu kapigwa risasi upande wa kushoto na kuumia upande wa kulia!




MAGUFULI4LIFE.
 
Back
Top Bottom