Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Mkuu kutokana na Jinsi ulivyoichambua habari then you got the Wrong Heading
Sababu katika hiyo Habari There are 4 parts in Question,na kwa mujibu wa wewe Karma inaweza mtafuna yeyote kati ya Mengi,Zitto,Ikulu ama Hao waandishi wa Magazeti pale tu ukweli utakapothibitika.Sasa Ukweli haujajulikana,pia kumbuka sio tu Zitto au Ikulu kutakiwa kukanusha bali pia Waliotoa hizo habari kutakiwa kuthibitisha.Sasa Umekurupuka na kuformat Haeding ya Habari yako kwa kutumia Jina la Zitto hali ya kuwa hujathibitisha kama ana hatia,Kwa nini usingetumia jina la Mengi hapo ulipomuweka Zitto kwenye heading?,sababu kwa mujibu wako mwenyewe Karma bado yaweza kumrudia hata Mengi,au kwa nini usitumie Ikulu? au Kubenea aliye initiate hiyo habari wote hao wapo katika poisition ya kutafunwa na Karma.Next time Punguza mhemko na Chuki ambayo unajaribu kuificha ila inajotokeza dhidi ya ZZK.
 
moshdar, TanzaniaLaw, kbosho, Bramo
Tunayo Amana Bank Sheikh wangu, kule Escrow haikupita wala hakuna pesa za masakata !.......uadilifu tu ! :yo:

'Hakika Mwenyezi Mungu anaamrisha kufanya uadilifu, na hisani, na kuwapa jamaa; na anakataza uchafu, na uoavu, na dhulma. Anakuwaidhini ili mpate kukumbuka'
Qur'an: 16:90.
Amana bank might be funding jihadists.
 
Wewe kahab.a wa Kikatoliki cencer09, mimi nilim quote huyo mjinga mwenzio hapo juu. Acha kihere here kama unapokea pesa za masakata !

Siwezi kukulaumu kwani imani yako haikupi amani,huna furaha umejaa hasira,chuki,angalia it shows katika lugha yako matusi,kashfa halafu unajiona unatetea iman kwa kutukana, kama wewe mfuasi wa huyo Mungu unatukana watu namna hiyoyeye mwenyewe yukoje? Si atakuwa anafanana na Lusifer? Anyway was just thinkingvaloud
 
Last edited by a moderator:
Tutegemee nini kutoka kwako unataka mjadala utoke huku uingie kwenye udini hapa Mungu, Zzk hawazungumziwi kwa dini zao kilaza wewe,kama huna la kuchangia pita kimya kimya kama wengine,au nenda kwenye jukwaa la dini linakufaa

Siwezi kukulaumu kwani imani yako haikupi amani,huna furaha umejaa hasira,chuki,angalia it shows katika lugha yako matusi,kashfa halafu unajiona unatetea iman kwa kutukana, kama wewe mfuasi wa huyo Mungu unatukana watu namna hiyoyeye mwenyewe yukoje? Si atakuwa anafanana na Lusifer? Anyway was just thinkingvaloud

...... kilaza hukuona kuwa ni tusi wewe mbuzi katoliki cencer09 !?
Kaanze kumkataza Gwajima kutukana watu !
 
Last edited by a moderator:
Pasco kuna new info kuwa mmiliki wa gazeti lililosema hayo yote ni JAMES Rugemalila....
sijui unajua hilo?
acha usanii weyee MZEE WA VIJISENTI aka MAKENGEZA anafanya uovu wa kukomba kodi zetu kila kukicha umeskia amepata hukumu ya KARMA?
 
...... kilaza hukuona kuwa ni tusi wewe mbuzi katoliki cencer09 !?
Kaanze kumkataza Gwajima kutukana watu !
Pole tena afadhali ya wewe unayetukana na kukashifu watu ukifikiri unaeneza iman lakini wenzako wanachinja shingo za binadamu,mtoto wa kike wa kipakistan alipigwa risasi kwa kutaka elimu,wewe kareti unachezea msikiti gani?
 
Last edited by a moderator:
Hii ya Mengi nzito.Nadhani Mengi kabla ya kuongea na press aliongea na ZZK na pia Kubenea na ukafanyika uchunguzi wa kina.Kwa mtazamo wangu kuna zaidi ya yale tunayoyasoma na hatuyajui.Lakini muda wake ukifika tutayajuwa.
 
NAona MEngi ni kama Baraba, Karma haimhusu.

Hivi kwamaana iyo Mengi ni Mungu anayeioshi dunaian ambaye kila mgusaye lazima ataharibikiwa??
Pasco nafkri ulikuwa unatafuta namna ya kuonyesha Zitto kakosea baada ya taarifa ya habari ya jana lkn pia ayo uliyounganisha wee hapa na wahanga wa matukio yaliyopita sio sahihi.

zito akishindwa atashhindwa kwa mengi wala sio aya ya Mengi.....................kwan huyu mengi anao usafi gani hasa??
 
Kwanza Una jazba(Sishangai thts is Chademaism)
1.JK huyu akisema maneno ambayo ni machungu kwa CDM mnamuita mpuuzi,mjinga,hana akili na kila aina ya matusi,akiongea mabaya kumhusu Zitto(kama kweli aliongea) basi ni shujaa na unamtumia kumnukuu Nyie Chadema watu gani msiopenda kuhimili yale yasiyowapendeza amsikioni?
2.Kila siku Zitto sifa zitamtokea Puani,HAZIMTOKEI.Maji aliyoingia ni kina kirefu atazama soon,HAZAMI muda unaenda tu.Inatakiwa ikifike kipindi ukubali Strengh ya huyu jamaa katika uanaharakati na upambanaji itakusaidia pia hata katika maisha yako binafsi.
3."Sasa amemwingia Mengi": Kwanza ujue hajamwingia Mengi na Mengi mwenyewe amelijua hilo sasa na nafikiri atatumia busara kulihandle hili swala,Habari ile Source ni -----------(KUBENEA) na Taifa Imara(RUGEMALILA),the names in Brackets tells it all about the news authenticity.Lakini hata kama inabidi kumwingia Mengi kama hayuko sawa ZZK ana uwezo huo na atapambana nae tu,sio hulka ya ZZK kumwogopa mtu hasa pale anaposimamia ukweli.
3.Puting aside Prof. Lipumba ambaye kwanza si Class ya hao wengine uliomuweka nao lakini ni Mtanzania mpumbavu tu atakayekubaliana na wewe kwamba Slaa,Mbowe na Mbatia wanamzidi uwezo ZZK(I know this is bitter truth)
Kumfananisha zitto kabwe na Dr. Slaa is understatement of the century. 1.kielimu tu, Dr slaa amemshinda, ni msomi anaeheshimika duniani, kama sikosei ni miongoni mwa wataalamu wasiozidi 6 duniani wa cannon law, narudia, duniani! 2.mafanikio ya kiutendaji wa kibunge walipokuwa wanahudumu bungeni kwa wakati mmoja bungeni, Dr. Slaa ndo mbunge alikuwa anaongoza kwa kuchangia mara nyingi bungeni kipindi chote yumo humo, hoja binafsi, kuuliza maswali ya msingi na na kuchangia, zitto kabwe hakuwemo hata kwenye tano bora, 3.Dr slaa amepata tuzo nyingi kutoka mashirika mbalimbali kwa kutambua mchango wake katika kutetea maslahi ya wananchi akiwa bungeni, zitto hana. 4.utendaji wa kibunge jimboni na miradi ya kijamii, data zinaonyesha kuwa Dr slaa ametekeleza miradi mingi akiwa mbunge na kuikamilisha, miradi ya maji, afya, elimu, Dr ametekeleza katika kila kijiji na sio kata, kavuka hadi lengo la serikali ambalo bado lipo bado katika level ya kata,zitto hajafika hizo level 5.usimamizi katika taasisi binafsi anazoziongoza, mwaka juzi CBRT ilipewa tuzo kama taasisi inayoongozwa kwa ufanisi wa hali ya juu. Hata profesa kitila mkumbo alipokuwa anawajadili watu wanaogombea urais kupitia raia mwema, alipokuwa anamzungumzia Dr slaa alimpa credit kama mwanasiasa muadilifu na mchapakazi ambae hajawahi kumuona, na ikumbukwe prof. Kitila alisema haya akiwa tayari ameisha fukuzwa chadema. Sasa ndugu yangu acha kupotosha watu na kumkweza zitto bila sababu wakati anajulikana kama msaliti na mnafiki. Unaweza nijibu kipindi kile alikuwa anaongea na rostam alikuwa anaongea nae nini wakati ndo kwanza kashfa za ufisadi papa zimeibuliwa? Alivyo kuwa anawasiliana na makamu mkurugenzi wa usalama wa taifa jack zoka walikuwa wanaongea nini? Alikana hamjui Andrea cordes wa ujerumani kule mabilioni yalikua yake yanapelekwa, sasa hivi wana ' laikiana' kwenye Facebook na ni marafiki, na huyo dada amewahi kuishi wilaya ya mwanga, imekuwaje? Mwisho nani anaetoa fedha za kuifadhili act sasaiv wakati hawana ruzuku? Acha kupotosha watu
 
Zitto mtoto wa kigoma kauingia mji kwa pupa,anaishi kwa kuuza maneno na kutaka madaraka makubwa.Tangu alipohongwa tsh 50m na DG wa CHC ili amtoe uwaziri wa fedha Mkulo ili CHC isivunjwe sina hamu naye,pia mwaka jana kwenda nyumbani kwa Membe kufanya kikao Nape na Kinana wakiwepo


Mambo ni mengi muda ni mchache
 
Wanabodi,

Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa "karma" ambayo ndio hukumu pekee ya haki hapa duniani!. Hii karma wakati wa kuhukumu, haina huruma kwa sababu hukumu zake ni za haki, unaweza kulipa mema, au kupigwa na mapigo ya kufidia uovu!.

Karma ni powers of 'cause and effects' ambapo ukitenda mema, utalipwa mema, na ukitenda uovu utaadhibiwa kwa uovu wako.

Pasco
3039709_Screenshot_20211219-210132.png
Hiki anachofanya Zitto, is not right at all, hata kama ni kweli, huwezi kumtuhumu mtu asiyeweza kujitetea kwa tuhuma nzito hivi, naona sasa Zitto anaitafuta karma fulani hivi.. ambayo... halafu ikitokea, bado watu watajifanya kushangaa kama ilivyotokea kwa naniliu !.
P
 
Hiki anachofanya Zitto, is not right at all, hata kama ni kweli, huwezi kumtuhumu mtu asiyeweza kujitetea kwa tuhuma nzito hivi, naona sasa Zitto anaitafuta karma fulani hivi.. ambayo... halafu ikitokea, bado watu watajifanya kushangaa kama ilivyotokea kwa naniliu !.
P
Zitto ni mwanasiasa niliyetokea kumchukia sana. Yupo kama mchawi.
 
Hiki anachofanya Zitto, is not right at all, hata kama ni kweli, huwezi kumtuhumu mtu asiyeweza kujitetea kwa tuhuma nzito hivi, naona sasa Zitto anaitafuta karma fulani hivi.. ambayo... halafu ikitokea, bado watu watajifanya kushangaa kama ilivyotokea kwa naniliu !.
P
kwahiyo hata kama ni kweli ulitaka zitto asiyaseme mazila aliyo yapata kutoka kwa bwana yule, na kwakua tu hayo asemayo hayaendani na sifa kadhaa kwny mapambio yako kwa bwana yule?

tuache unafiki, mbona tunawapamba marehemu kwa sifa nzuri, kwanini tusiwapambe sifa hizo wakiwa hai ili nao wajitetee?

Hitler, Idi Amin na wengine tunawaongelea kwa mabaya yao wakt tunajua hawawezi kujitetea, karma kwa hawa imeenda wapi?
 
Back
Top Bottom