Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Mengi raha zake ni kushindana na kila mtu ane cross his path, kuna mengi mengine.

Tanganyika Packers
Alibishana na waliopewa kihalali kiwanda hicho kilichokufa maiaka mingi sana kwa kufata kanuni zote, mwakilishi wa kampuni iliyopewa Tanganyika Packers, Sheikh Ismail wakati fulani aliwahi kuwa Mwenyekiti wa bodi ya korosho, kama sijakosea.

Nae nadhani yamemkuta yaliyomkuta.
 
Wakati Zitto anawasilisha ripoti ya PAC bungeni rais Kikwete alikuwa Marekani kwenye matibabu.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo orodha ya Mengi kuonyesha nguvu zake inatoa ushahidi kuwa aliyoambiwa JK ni kweli. Halafu kwa nini JK aliposema ata-deal nae, Mengi anawaambia watanzania kuwa anahofia kuuliwa na JK? (soma hapa Home)

Halafu hiyo orodha hapo juu kuonyesha Mengi ana nguvu sana, sijui ni ya pesa au nini, ni mtazamo tu wa mtu wala hakuna ushahidi wowote. Tuonyeshwe process ya Mengi kwa hayo matokeo kwenye hiyo orodha. Mengi ni type ya wale aliosema marehemu Nyerere kutaka kuiweka serikali mfukoni.
 
#Pasco ...ukishupalia vitu, unajitutumua kweli...!!!

=> Kwanza, Manji hajashindwa na Mengi...na kamwe hatakaa afilisiwe...stop narrating lies...!!!! Hata hakimu aliyekuwa anaendesha kesi ya Mengi na Manji, sidhani kama sbb iliyomwachisha kazi ni hiyo kesi...MAHAKIMU WANA KINGA YAO...ingekuwa hivyo wengi wangefukuzwa kazi sana..!!!

=> Kuhusu Masha, kilichomwangusha ni VITAMBULISHO VYA TAIFA....ile tender ya more than Tshs 324 bil + ndio ilimletea balaa kwani alikomaa achukue yeye kwani ilikuwa chini ya Wizara yake apige hela ndefu hapo...huku mkuu wa Kaya akiwa nae kakomalia, mwishoe Wenje alisapotiwa atoke ktk shitaka alilowekewa na Masha mahakamani, na Wenje alimshinda Masha...So tatizo kubwa la Masha ni hilo
..aliingilia maslahi ya mkuu wa kaya..

=> Kuhusu, Zitto, though I ALWAYS DISREGARDED HIM AS AN OPPORTUNIST...and not a LEADER AT ALL...only low IQ and short sighted will listen and follow him, MENGI HAWEZI KAMWE KUMLETEA MADHARA...!!! I hv reasons, kuhusu ESCROW ni KWELI KABISA...Mengi alipeleka fedha nyingi kumwangusha Prof. Muhongo...huo ni ukweli...

Ila pia, usisahau Zitto ana uadui na Prof Muhongo sana sana, na hata Rais anajua....Prof Muhongo alipopewa Wizara ya Nishati na Madini...Zitto alikuwa kila Mwezi anapokea not less than 800 milioni ya MAFUTA MAZITO YA IPTL....mchezo ulikuwa unachezwa wakati ule Ngeleja akiwa waziri, Serikali ilikuwa inatoa KILA MWEZI 15 BILIONI ZA MAFUTA MAZITO...kila mwezi..sasa ukikaribia mwisho wa mwezi wanakatakata umeme wakidai mafuta yameisha...na MAJI YAMEPUNGUA...NA HATA MSIMU WA MASIKA WANASEMA MAJI YAMEPUNGUA..ila MAJI WANA DIVERT ILI YAONEKANE MADOGO KTK DAMP...KISHA FEDHA ZIKITOLEWA MAJI YANARUHUSIWA.....SO WANAFORCE SERIKALI KUWAHI KULIPA HIZO 15 Bil....halafu Ngeleja, IPTL na Tanesco high rank officials ndio WANAKULA HAPO....na huu ulikuwa mchezo mchafu sana...SASA Prof. Muhongo kuingia, akina Zitto akawaumbua wooote..hadi Zitto alikimbia Bunge siku tuhuma zake zikisomwa..kwani Wakiongozwa na Ngeleja ndio waliiba sana sana....
So uadui wa Zitto na Prof. Muhongo ulianzia hapo...pia Mengi akawa anataka Vitalu vya gesi kwa mgongo wa wazawa, wakati hana uwezo huo...hawezi fanya utafiki au kuchimba visima vya gesi anataka kuleta UCHAGA TU HAPA aturudishe nyuma...So Mengi akaungana na Zitto na maadui wengine wa Prof. Muhongo kummaliza..


So mengine umeandika kweli kidogo...mengine UONGO MTUPU....so hata ww huna KARMA hiyo unayo isemea..

Uko half way right and half way WRONG...!!!!
 
Kama Taifa kwa nini tunatumia muda wetu wenye uthamani kujadili masuala ya watu ambao hata kwa akili ya kindergarten inatosha kuwa elewa nini ni wanataka katika Maisha yao.Kwa waleo mliosoma vitabu vya akina Henry Fayor na Maslow kuhusu tabia za binadamu zinavyobadilishwa na vipato mtaona mtagundua kile kinachowasumbua ZZK.
 
Mengi atamnyoosha huyu mtoto mnafiki, na sio kama mengi amekurupuka, amefanyia kazi hayo maneno na ameona sio ya kijiweni. Mengi ni mtu mwenye mambo lukuki ya kufanya na ana marafiki wengi kwenye system, wamemuhakikishia kuwa zitto kweli amepeleka unafiki kwa kikwete. Mengi ngoja amnyooshe huyu snitch
 
rafiki usimuamini zitto atavujisha habari kwa kiranja mkuu mana duuuu zitto kumbe unatabia hiii bro me nilikueshimu sana kama home boy tbt da.
 
Hahaha Pasco hivi kwani Zitto naye si kuna watu aliopishana nao kauli hali zao zikabadilika?

Kama kumbukumbu zangu zipo sahihi kuna wakati Zitto akiwa analipua sana maishu bungeni alipishana kauli na baadhi ya wabunge...

Mudhihir Mudhihir....huyu bwana aliishia kukatwa mkono wa kulia (Sikumbuki vizuri yale majibizano baina ya watu hawa).

Halafu kuna yule mama alikuwa waziri kama sio naibu waziri (jina limenitoka kidogo somebody Salome) ambaye alifariki katika ajali na ilikuwa ni siku chache baada ya kutifuana kikauli na Zitto.

Na mifano mingine mingi ifananayo na hiyo...

Je kwa mantinki hiyo naye Zitto si wa kuogopwa?
 
Last edited by a moderator:
#Pasco ...ukishupalia vitu, unajitutumua kweli...!!!

=> Kwanza, Manji hajashindwa na Mengi...na kamwe hatakaa afilisiwe...stop narrating lies...!!!! Hata hakimu aliyekuwa anaendesha kesi ya Mengi na Manji, sidhani kama sbb iliyomwachisha kazi ni hiyo kesi...MAHAKIMU WANA KINGA YAO...ingekuwa hivyo wengi wangefukuzwa kazi sana..!!!

=> Kuhusu Masha, kilichomwangusha ni VITAMBULISHO VYA TAIFA....ile tender ya more than Tshs 324 bil + ndio ilimletea balaa kwani alikomaa achukue yeye kwani ilikuwa chini ya Wizara yake apige hela ndefu hapo...huku mkuu wa Kaya akiwa nae kakomalia, mwishoe Wenje alisapotiwa atoke ktk shitaka alilowekewa na Masha mahakamani, na Wenje alimshinda Masha...So tatizo kubwa la Masha ni hilo
..aliingilia maslahi ya mkuu wa kaya..

=> Kuhusu, Zitto, though I ALWAYS DISREGARDED HIM AS AN OPPORTUNIST...and not a LEADER AT ALL...only low IQ and short sighted will listen and follow him, MENGI HAWEZI KAMWE KUMLETEA MADHARA...!!! I hv reasons, kuhusu ESCROW ni KWELI KABISA...Mengi alipeleka fedha nyingi kumwangusha Prof. Muhongo...huo ni ukweli...

Ila pia, usisahau Zitto ana uadui na Prof Muhongo sana sana, na hata Rais anajua....Prof Muhongo alipopewa Wizara ya Nishati na Madini...Zitto alikuwa kila Mwezi anapokea not less than 800 milioni ya MAFUTA MAZITO YA IPTL....mchezo ulikuwa unachezwa wakati ule Ngeleja akiwa waziri, Serikali ilikuwa inatoa KILA MWEZI 15 BILIONI ZA MAFUTA MAZITO...kila mwezi..sasa ukikaribia mwisho wa mwezi wanakatakata umeme wakidai mafuta yameisha...na MAJI YAMEPUNGUA...NA HATA MSIMU WA MASIKA WANASEMA MAJI YAMEPUNGUA..ila MAJI WANA DIVERT ILI YAONEKANE MADOGO KTK DAMP...KISHA FEDHA ZIKITOLEWA MAJI YANARUHUSIWA.....SO WANAFORCE SERIKALI KUWAHI KULIPA HIZO 15 Bil....halafu Ngeleja, IPTL na Tanesco high rank officials ndio WANAKULA HAPO....na huu ulikuwa mchezo mchafu sana...SASA Prof. Muhongo kuingia, akina Zitto akawaumbua wooote..hadi Zitto alikimbia Bunge siku tuhuma zake zikisomwa..kwani Wakiongozwa na Ngeleja ndio waliiba sana sana....
So uadui wa Zitto na Prof. Muhongo ulianzia hapo...pia Mengi akawa anataka Vitalu vya gesi kwa mgongo wa wazawa, wakati hana uwezo huo...hawezi fanya utafiki au kuchimba visima vya gesi anataka kuleta UCHAGA TU HAPA aturudishe nyuma...So Mengi akaungana na Zitto na maadui wengine wa Prof. Muhongo kummaliza..


So mengine umeandika kweli kidogo...mengine UONGO MTUPU....so hata ww huna KARMA hiyo unayo isemea..

Uko half way right and half way WRONG...!!!!


JF katika viwango vyake.. Sasa tunaanza kuconnect dot kuhusu hii kufuru ya pesa anazotumia kwa sasa katika chama chake... Maana nilikuwa ninajiulizwa hizi pesa zinatoka wapi hali huyu mtu account yake inasoma mil.18 tu? Kwa bahati mbaya sio yeye au si wapembe wake wameweza kujibu hilo swali.. Kumbe hela ya myonge ndo anatumbua.. Haki hii nchi inaliwa na wenye meno... Alisema Prof. Muhongo kuwa Zitto ni fisadi....
 
Jambo dogo hilo wacha wakazane na zitto lakin wajue huyu si kitoto kama wajuavyo wao, zitto kazana songeza uzalendo mbele, waache walio kalia matukio matukio
 
Tuhuma hizi zito tayari kakanusha toka jana na tweter yake na ataliongelea hili lesho kwa mapana zaidi shinyanga
Cdm wanalikuza sana lakini watashindwa tu
 
Mimi na wewe sijui nani uelewa wake duni.
Wewe ndio Una uelewa duni kuliko Wa kima maana umeshindwa define muda mfupi unaweza kuwa siku au masaa kadhaa....

Mwandishi hakuwa specific so muda mfupi au mrefu waweza kuwa kwa masaa au siku au miaka kutegemeneana na mazingira.......

Mtonyaji wangu katika Ikulu ya Rais Kikwete, ninaye muamini sana amenieleza kuwa Zitto alikutana na Kikwete muda mfupi baada ya kuwaslishwa bungeni ripoti ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ambayo yeye Zitto alikuwa mwenyekiti wake.
Muda mfupi waweza kuwa hata miaka kumi kulingana na hali au mazingira ya wakati

Ni lini walikutana wakati Kikwete kaondoka hiyo ripoti bado haijakamilika na amerudi bunge limeishamaliza kikao chake.

Ndio maana nikakwambia wewe ni jima coz huna IQ ya maana....

JK karejea TZ siku ambayo jioni yake bunge ndo lilihitimisha mjadala Wa ESCROW!!!

Muda aliowasili nchini ndio muda ambao kikao cha maridhiano kilikuwa kinafanyika Dodoma na baadae kufikia maamuzi ya pamoja na bunge kufanya maazimio....

Hata JK alisema "yanayoendelea Dodoma siyajui ntaongelea nikipata taarifa kamili"

Hivyo kauli yako yakusema JK karudi wakati bunge limeshamaliza vikao ni uongo na ujinga uliotopea!!!!
 
Mr.President. Ungeweza kujenga hoja yako vizuri tu bila hiyo chuki dhidi ya uchaga uliyoweka hapo. Post yako imekuwa sifuri prima facie.


Kuna watu wenye posutive energy kubwa kutokana na matendo au the give and take account. Mengi ni mmojawapo na ana ushawishi mkubwa kwa jamii. Zitto kusema aliyosema huku akijua anatengeneza uadui kati ya Rais na raia amejipatia negative energy kubwa sawa na wakubwa wenywewe anaowagonganisha.

Effect yake nayo itakuaa kubwa na hapa ndipo Posco anasema law of karma will manifest the effect.

Ikiwa kuna mfano ambao uliona sio wa kweli poa. Chukua yale uliyoona ya kweli. Ni hatari sana kuwa na mtu aina ya Ztto kwenye jamii hasa kwenye uongozi. Hivi TISS wako wapi hadi Zitto achukue nafasi yao? Hivi JK alimuamini Zitto?

What will happen if Ikulu congirms that Zitto alimwambia rais umbea? Wote tutashangaa iwapo Ikulu itasema Mengi ni mhaini kwa kuwa alichunguzwa na Zitto.

Zitto Kabwe is serioulsy sick in the head. Alifikiri anamtonya Rais kumbe loooh. No secret in bongo.
 
Mkuu pasco heshima mbele.mimi pia ni muumini mkubwa sana wa karma.pia ni muumini wa past and next life.kwamba what goes around comes around..kwamba ukifanya uovu lazima ule uovu ukurudie kwa njia yoyote ile na kama si kwenye maisha ya sasa basi ni kwenye next life..sasa ni karma effects zinafanya kazi yake,either kwa zitto au kwa baadhi ya viongozi wa chadema.mkuu pasco karma inalenga kwa kila binadamu mmoja mmoja na sio taasisi.chadema ni taasisi,hivyo huwezi kusema karma ina effect kwa chadema ila kama ndani ya chadema kuna kiongozi yoyote aliyemuone zitto basi karma itamshughulikia as an individual.peace be upon you(ami toufu)!
 
Back
Top Bottom