Ok, let me skip CHAGGA, it wasn't my main issue...
=> Issue kubwa MENGI ALITAKA KUTUFANYA SIE MAKENGE NA MAPIMBI eti apewe vitalu vya gesi wakati hana UWEZO WOWOTE ULE currently....UZAWA SIO UWEZO kabisa,....Gas kwa hizi initial stages za kuzalisha...INAHITAJI TECHNOLOGY, WATAALAM, FEDHA nyingi sana na VIFAA mfano meli za kuchimba gas, kuna helicopters za kuwapeleka engineers ktk meli na kuwarudisha....MENGI kamwe ASINGEWEZA KWA SASA, ALITAKA APEWE VITALU KWA KIGEZO CHA UZAWA KISHA afanye UDALALI AKATAFUTE wawekezaji nje huko waje waanze kuchimba, TAIFA LISINGEPATA CHOCHOTE....jua Mengi ana vitalu vya madini kadhaa...yeye ni mtu wa 3 Tanzania kuwa na maeneo mengi ya madini, ila HAJAENDELEZA KWA MIAKA, HATA MAENEO MENGI HAJALIPIA TU KODI....madini yamemshinda kuchimba....sembuse gesi...Mengi is a big crook as well...!!! atataka kutuletea giza tu ktk gesi, yeye abaki atengeneze juice na soda, aachane na uzalishaji wa gesi hawezi, PIA PALE TPDC, kuna nafasi ya mtu yeyote mwenye uwezo wa kuwekeza ktk gas alikidhi TERMS and CONDITIONS, but MENGI hana hata hizo sifa...na anajua....so MENGI asubiri gas ikianza kuuzwa, ANUNUE SHARE...awe na share ktk uuzwaji wa gas kama ana pesa...BUT NOT PRODUCTION....he can't...!!!
Prof. Muhongo alimkomesha...
#Zitto fikiria, for almost 2 solid years, ktk MAFUTA MAZITO YA IPTL....pamoja na akina Ngeleja, Mhando (Former Tanesco CEO), Mboma ( Former CDF & Tanesco board Chairman) na wengineo.. walikuwa wa
wakishirikiana na IPTL...kila mwezi Serikali inatoa Tshs 15 Bil....wanagawana...
IPTL inachukua chake, then hao akina Zitto, Ngeleja, Mhando, walikuwa wanavuta hela ndefu sana, for 2 solid years, Ngeleja alikuwa ndio anaongoza, anavuta 2 Bil + each month.....na wanachofanya kila mwisho wa mwezi WANACHEZA NA MAJI TU, WANA DIVERT KWENYE SOURCE.....UMEME UNAANZA MGAO KILA MWISHO WA MWEZI, wakisingizia IPTL generators ate running out of FUEL....sasa serikali inawahi peleka hizo 15 bil.....THEN WANAWASHA GENERATOR MOJA TU....KISHA WANARUDISHA MAJI KIAINA....SO HATA HELA Z A MAFUTA mazito wanatumia kiduchu sana sana....sbb MGAO ULIKUWA WA KUTENGENEZWA ILI KU FORCE SERIKALI KILA MWEZI KUTOA HIZO FEDHA...!!!
So Prof Muhongo alidhibiti huu upuuzi....imagine Zitto kama kila mwezi anavuta 800 mil for 2 yrs....meaning 800,000,000 x 24 months....= Tshs 19.2 Billions ..roughly 20 bil...!!!!
So Prof. Muhongo aliwadhibiti wote hao....Zitto na Mengi waliungana kumtoa Prof. Muhongo...now wamerudiana kumalizana wenyewe kwa wenyewe...
I am happy, wamalizane, sbb WOTE MENGI NA ZITTO NI MAFISI NA MAFISADI...!!!!