Ktk mfumo Wa capitalism wenye fedha ndio hushika au kutawala kila kitu ktk jamii.....
Ndio maana hata Marekani inaongozwa na familia tajiri fulani ambazo yeyote atakayekwenda kinyume nazo anakwisha!!!!
Hiyo ndiyo dunia sasa huyo mpuuzi wenu amewaingia wenye kushika hatamu soon atavuna alichopanda!!!!!
Kama aliyempelekea umbeya JK mbona mwisho Wa siku alimwondoa Muhongo baada ya kujiapiza Sana atasimama naye mpaka mwisho??
Angekua na akili mnazosema anazo asingekubali kutumika Kama condom kizembe hivyo ila kwakuwa anaamini yeye ni jembe Sana asubiri watu wamuonyeshe ulimwengu ulivyo!!!!
Anahangaika kuwasiliba akina Slaa lkn hakuna aliyemjibu sasa subiri wakati Wa wanaume kujibu mapigo ufike!!!!
na wanaume hawa kwa kawaida huzungumza na vibaraka hao katika lugha wanayoielewa vizuri hao vibaraka, in their own language.