Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Wanabodi,

Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa "karma" ambayo ndio hukumu pekee ya haki hapa duniani!. Hii karma wakati wa kuhukumu, haina huruma kwa sababu hukumu zake ni za haki, unaweza kulipa mema, au kupigwa na mapigo ya kufidia uovu!.

Karma ni powers of 'cause and effects' ambapo ukitenda mema, utalipwa mema, na ukitenda uovu utaadhibiwa kwa uovu wako.

Chadema walipomtimua Zitto kwa tuhuma za usaliti, nilisema humu kama kweli Zitto ni msaliti, then 'karma itamshughulikia Zitto na kumuadhibu, lakini kama Chadema haikumtendea haki Zitto, then Chadema itaadhibiwa kwa hukumu kali ya 'karma'.

Ni muda mrefu kumekuwa kukitolewa tuhuma mbalimbali kumhusu Zitto na zote kwa sababu ni tuhuma tuu, ama hukanushwa, au kupanguliwa kisha maisha yanaendelea.

Sasa kuna hii tuhuma mpya nimeisoma kumhusu Zitto.


Mpaka sasa, tuhuma hii, haijakanushwa na Zitto mwenyewe, wala haijakanushwa Ikulu, na huku hilo gazeti lilitochapisha tuhuma hiyo, likiachwa kuendelea kupeta!. ----------- lilipochapisha tuhuma kama hiyo, kesho yake tuu Ikulu iliiytisha press conference kukanusha na haikupita wiki, ----------- lilifungwa kifungo cha milele hadi leo!.

Sasa kama tuhuma hii ni kweli, then kwa mujibu wa reference ya 'karma', Zitto ni kweli atakuwa ni msaliti, na sasa kiuhakika kabisa bila kupepesa macho, wala kumung'unya maneno, "Huu sasa ndio mwisho rasmi wa Zitto Zuberi Kabwe!".

Nimesema huu ndio mwisho rasmi wa Zitto kwa sababu kuna watu kwanye jamii yetu, wamejaaliwa karama mbalimbali hivyo kuwa ni watu very powerful kwa nguvu ya 'karma' ya mema yao!. Sasa inapotokea mtu akatofautiana nao kwenye public, hadi kufikia kunyoosheana nao vidole kwenye media!, kama tuhuma hizo alizomsingizia Mengi ni kweli, then atasalimika, lakini kama sii kweli, that is the end of him!.

Kitendo cha Zitto kumsingizia Mengi, jambo kubwa kama hili (if he really did this), then this is the end of Zitto.

Hakuna hata mtu mmoja ambaye aliwahi kukorofishana na Mengi publicly akabaki salama!.

This is the list ya watangulizi wa Zitto angalia walifanya nini na nini kiliwatokea!.



  1. Alipishana kauli na wamiliki wa DTV na CTN kuhusu haki za kuonyesha kombe la dunia, vituo hivi vyote vimekufa.
  2. Alipishana kauli na Shabir Dewji kuhusu wahindi kupendelewa, Shabir Dewji aliswekwa lupango na sijui siku hizi yuko wapi?!.
  3. Alipishana kauli na Katibu Mkuu, Mambo ya Ndani, Silvanus Adel alipomtoa Dewji lupango, Adel alimwaga unga wake!.
  4. Alipishana kauli na mmiliki wa Gazeti la Mtanzania, Generali Ulimwengu, kwa gazeti hilo kutoa siri kuwa Mengi anadaiwa na mabenki. Generali alifutiwa uraia na gazeti la Mtanzania likafilisika hadi kuuzwa!.
  5. Alipisha kauli na Lowasa, Mengi akiwa Mwenyekiti wa NEMCI, Lowasa akang'oka!.
  6. Alipishana kauli na Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Shamin Khan, shamim aling'olewa!.
  7. Alipishana kauli na Waziri wa Utawala Bora, Wilson Masilingi, kuhusu "mchezo mchafu" wa ubinafsishaji wa Kilimanjaro Hotel, Masilingi aling'olewa!.
  8. Alipishana kauli na Iddi Simba kwenye mambo ya Uzawa, Iddi Simba alimwagwa!.
  9. Alipishana kauli na Basil Mramba akiwa waziri wa fedha kuhusu kodi ya Jack Pot Bingo, Mramba aling'oka!.
  10. Alipishana kauli na Adam Malima, almanusura Adam, yangemkuta, Sitta akamuombea msamaha!, ndio salama yake!.
  11. Alipishana kauli na Tido kuhusu TV inayolipwa na kodi za wananchi kugombea matangazo na TV binafsi!, Tido aling'oka!.
  12. Alipishana kauli na Waziri wa Mambo ya ndani, kuhusu 'mademu!', Masha, Masha kang'olewa!.
  13. Alipishana kauli na Mmiliki wa Channel Ten, Franco Tramontano, kugombea mademu fulani mamiss, Franco alikamatwa na kutupwa selo akisubiri deportation ya interpol
  14. Hakimu mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Sabas kiwango, alizuia Tramontano asiwe deported, Kiwanga akamwaga unga!.
  15. Akapishana kauli na Rostam Aziz, kwenye issue ya 'fisadi papa na fisadi nyangumi', Rostam alitimuliwa ubunge na sasa ameikimbia nchi!,
  16. Alipishana kauli na Balozi wa Uingereza kwenye kashfa ya Silvadale!, Balozi wa Uingerezwa aliondoshwa!.
  17. Alipishana kauli na Yusuph Manji, kuhusu Manji kuifilisi mifuko ya hifadhi za jamii, sasa soon Manji atafilisiwa!.
  18. Manji alipomfungulia Mengi kesi ya kumdai shilingi 1!, Wakili wa Manji, Sabas Kiwango alipishana kauli na Mengi, Kiwango akasitishwa uwakili!.
  19. Akapishana kauli na Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Muhondo kuhusu wawekezaji wazawa kwenye issue ya gesi asilia, Prof. Muhongo katimuliwa uwaziri.
  20. Alipishana kauli na Mkurugenzi Mkuu, TPDC, Yona Kilaghane kuhusu kuweka masharti nafuu wazawa kumiliki vitalu vya gesi, Kilaghane ametimuliwa TPDC!.
  21. Alipishana kauli na wandeshaji wa Kipindi cha "Kiti Moto", Kiti Moto kilikufa.
  22. Alipishana kauli na 'mtangazaji mmoja maarufu' ambaye Mengi alimtaka ajiunge na ITV, huyo mtangazaji akagoma, mpaka leo huyo mtangazaji ni 'majalala', hoin bin taaban na hajawahi kupata tena ajira popote!.
  23. Alipishana kauli na mrembo Madam Ritta kuhusu mambo binafsi, sijui kwa sasa Madam Ritta ana hali gani?!.
  24. Alipishana kauli na Mrembo Madam Lily, katika mambo binafsi!, sijui majaaliwa ya huyu mrembo kwa sasa!.
  25. Sasa ndio amepishana kauli na Ziito Kabwe, tusubiri nini kitamtokea Zitto and it is soon!

NB. NB. Kama yote yanayosemwa kumhusu Zitto sii kweli kuwa ni msaliti, na haya Zitto aliyoyasema kumhusu Mengi ni kweli, then Zitto ataendelea kudunda na ACT yate itazidi kuja juu 'karma' sasa itaishughulikia Chadema hali kadhalika itamshughulikia tena Mzee Mengi kama ilivyokwisha mshughulikia kwa mengine kule nyuma!.

Uzuri wa karma, ikikushughulikia na kuanguka chini, ukimaliza kukulipa deni la adhabu ya karma ambayo huwa ni kupata mapigo, then unaweza kusimama tena, kunyanyuka na kuendelea kung'ara!.

Pasco
Vipi kuhusu RPC wa Simiyu Mkumbo naye tuambie hali yake kwa sasa?
 
Kweli nimekubali kuna majembe humu. Watu mnafuatilia mambo kweli kweli. Salute kwako Pasco kwa thread poa na safi
 
Wanabodi,

Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa "karma" ambayo ndio hukumu pekee ya haki hapa duniani!. Hii karma wakati wa kuhukumu, haina huruma kwa sababu hukumu zake ni za haki, unaweza kulipa mema, au kupigwa na mapigo ya kufidia uovu!.

Karma ni powers of 'cause and effects' ambapo ukitenda mema, utalipwa mema, na ukitenda uovu utaadhibiwa kwa uovu wako.

Chadema walipomtimua Zitto kwa tuhuma za usaliti, nilisema humu kama kweli Zitto ni msaliti, then 'karma itamshughulikia Zitto na kumuadhibu, lakini kama Chadema haikumtendea haki Zitto, then Chadema itaadhibiwa kwa hukumu kali ya 'karma'.

Ni muda mrefu kumekuwa kukitolewa tuhuma mbalimbali kumhusu Zitto na zote kwa sababu ni tuhuma tuu, ama hukanushwa, au kupanguliwa kisha maisha yanaendelea.

Sasa kuna hii tuhuma mpya nimeisoma kumhusu Zitto.


Mpaka sasa, tuhuma hii, haijakanushwa na Zitto mwenyewe, wala haijakanushwa Ikulu, na huku hilo gazeti lilitochapisha tuhuma hiyo, likiachwa kuendelea kupeta!. ----------- lilipochapisha tuhuma kama hiyo, kesho yake tuu Ikulu iliiytisha press conference kukanusha na haikupita wiki, ----------- lilifungwa kifungo cha milele hadi leo!.

Sasa kama tuhuma hii ni kweli, then kwa mujibu wa reference ya 'karma', Zitto ni kweli atakuwa ni msaliti, na sasa kiuhakika kabisa bila kupepesa macho, wala kumung'unya maneno, "Huu sasa ndio mwisho rasmi wa Zitto Zuberi Kabwe!".

Nimesema huu ndio mwisho rasmi wa Zitto kwa sababu kuna watu kwanye jamii yetu, wamejaaliwa karama mbalimbali hivyo kuwa ni watu very powerful kwa nguvu ya 'karma' ya mema yao!. Sasa inapotokea mtu akatofautiana nao kwenye public, hadi kufikia kunyoosheana nao vidole kwenye media!, kama tuhuma hizo alizomsingizia Mengi ni kweli, then atasalimika, lakini kama sii kweli, that is the end of him!.

Kitendo cha Zitto kumsingizia Mengi, jambo kubwa kama hili (if he really did this), then this is the end of Zitto.

Hakuna hata mtu mmoja ambaye aliwahi kukorofishana na Mengi publicly akabaki salama!.

This is the list ya watangulizi wa Zitto angalia walifanya nini na nini kiliwatokea!.



  1. Alipishana kauli na wamiliki wa DTV na CTN kuhusu haki za kuonyesha kombe la dunia, vituo hivi vyote vimekufa.
  2. Alipishana kauli na Shabir Dewji kuhusu wahindi kupendelewa, Shabir Dewji aliswekwa lupango na sijui siku hizi yuko wapi?!.
  3. Alipishana kauli na Katibu Mkuu, Mambo ya Ndani, Silvanus Adel alipomtoa Dewji lupango, Adel alimwaga unga wake!.
  4. Alipishana kauli na mmiliki wa Gazeti la Mtanzania, Generali Ulimwengu, kwa gazeti hilo kutoa siri kuwa Mengi anadaiwa na mabenki. Generali alifutiwa uraia na gazeti la Mtanzania likafilisika hadi kuuzwa!.
  5. Alipisha kauli na Lowasa, Mengi akiwa Mwenyekiti wa NEMCI, Lowasa akang'oka!.
  6. Alipishana kauli na Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Shamin Khan, shamim aling'olewa!.
  7. Alipishana kauli na Waziri wa Utawala Bora, Wilson Masilingi, kuhusu "mchezo mchafu" wa ubinafsishaji wa Kilimanjaro Hotel, Masilingi aling'olewa!.
  8. Alipishana kauli na Iddi Simba kwenye mambo ya Uzawa, Iddi Simba alimwagwa!.
  9. Alipishana kauli na Basil Mramba akiwa waziri wa fedha kuhusu kodi ya Jack Pot Bingo, Mramba aling'oka!.
  10. Alipishana kauli na Adam Malima, almanusura Adam, yangemkuta, Sitta akamuombea msamaha!, ndio salama yake!.
  11. Alipishana kauli na Tido kuhusu TV inayolipwa na kodi za wananchi kugombea matangazo na TV binafsi!, Tido aling'oka!.
  12. Alipishana kauli na Waziri wa Mambo ya ndani, kuhusu 'mademu!', Masha, Masha kang'olewa!.
  13. Alipishana kauli na Mmiliki wa Channel Ten, Franco Tramontano, kugombea mademu fulani mamiss, Franco alikamatwa na kutupwa selo akisubiri deportation ya interpol
  14. Hakimu mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Sabas kiwango, alizuia Tramontano asiwe deported, Kiwanga akamwaga unga!.
  15. Akapishana kauli na Rostam Aziz, kwenye issue ya 'fisadi papa na fisadi nyangumi', Rostam alitimuliwa ubunge na sasa ameikimbia nchi!,
  16. Alipishana kauli na Balozi wa Uingereza kwenye kashfa ya Silvadale!, Balozi wa Uingerezwa aliondoshwa!.
  17. Alipishana kauli na Yusuph Manji, kuhusu Manji kuifilisi mifuko ya hifadhi za jamii, sasa soon Manji atafilisiwa!.
  18. Manji alipomfungulia Mengi kesi ya kumdai shilingi 1!, Wakili wa Manji, Sabas Kiwango alipishana kauli na Mengi, Kiwango akasitishwa uwakili!.
  19. Akapishana kauli na Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Muhondo kuhusu wawekezaji wazawa kwenye issue ya gesi asilia, Prof. Muhongo katimuliwa uwaziri.
  20. Alipishana kauli na Mkurugenzi Mkuu, TPDC, Yona Kilaghane kuhusu kuweka masharti nafuu wazawa kumiliki vitalu vya gesi, Kilaghane ametimuliwa TPDC!.
  21. Alipishana kauli na wandeshaji wa Kipindi cha "Kiti Moto", Kiti Moto kilikufa.
  22. Alipishana kauli na 'mtangazaji mmoja maarufu' ambaye Mengi alimtaka ajiunge na ITV, huyo mtangazaji akagoma, mpaka leo huyo mtangazaji ni 'majalala', hoin bin taaban na hajawahi kupata tena ajira popote!.
  23. Alipishana kauli na mrembo Madam Ritta kuhusu mambo binafsi, sijui kwa sasa Madam Ritta ana hali gani?!.
  24. Alipishana kauli na Mrembo Madam Lily, katika mambo binafsi!, sijui majaaliwa ya huyu mrembo kwa sasa!.
  25. Sasa ndio amepishana kauli na Ziito Kabwe, tusubiri nini kitamtokea Zitto and it is soon!

NB. NB. Kama yote yanayosemwa kumhusu Zitto sii kweli kuwa ni msaliti, na haya Zitto aliyoyasema kumhusu Mengi ni kweli, then Zitto ataendelea kudunda na ACT yate itazidi kuja juu 'karma' sasa itaishughulikia Chadema hali kadhalika itamshughulikia tena Mzee Mengi kama ilivyokwisha mshughulikia kwa mengine kule nyuma!.

Uzuri wa karma, ikikushughulikia na kuanguka chini, ukimaliza kukulipa deni la adhabu ya karma ambayo huwa ni kupata mapigo, then unaweza kusimama tena, kunyanyuka na kuendelea kung'ara!.

Pasco

nashawishika kumsikiliza Zitto kwa mambo yanayoendelea. Anaoneka huyu jamaa ni jasiri na tishio kwa siasa za Tanzania.
maziku masunga Jr, kama ni kwa siasa za kinafiki na kindumilakuwili nakubaliana nawe kwa asilimia mia moja kinyume cha hapo nafikiri utakuwa ni mvivu wa kusoma kuchambua na kutafakari mambo...!
Pasco bado nakumbuka tulivyoshiriki pamoja post za meditation karma na psychic powers! Ulichokinena kuhusu Zitto ndicho kitakachotokea, kwenye CAUSE N EFFECT kuna kitu katikati kinaitwa CONDITIONS hiki ndicho anachokifanya zito kwasasa ana hamu ya kuwa juu ya wengine, apendwe, aheshimike, awe maarufu anyenyekewe na kuabudiwa
Sasa katika kupita njia yake hii kufikia hamu ya malengo yake haangalii anamuumiza nani na kwa njia gani na anaacha makovu gani nyuma....! Hili kwake si tatizo LAKINI watu wa jinsi hii hawana mwisho mwema kwake binafsi na kwa jamii
 
Last edited by a moderator:

  • Tuhuma nyingine kumuhusu Mengi zinaweza kuwa sawa lakini hili la Tido Muhando ni ule MCHAKATO MAJIMBONI kiasi cha kuwapotezea WABUNGE WA CCM ushawishi majimboni.



    1. Alipishana kauli na Tido kuhusu TV inayolipwa na kodi za wananchi kugombea matangazo na TV binafsi!, Tido aling'oka!



 
Jambo LA ajabu ni kuwa hili ni tatizo binafsi LA Zitto lakini hawa ACT wanataka kulifanya kama LA chama chao kwa mini? Kama alienda kwa JK kupiga fitna alienda kama Zitto na sio CEO wa Act .
Mbona wanajivesha kila jambo LA Zitto kama ni lao? Mwacheni ajitetee mwenyewe kwani hill lilifanyika kwa siri na anajua kuwa hao walioandika wanaweza kutoa zaidi ya hilo. Ikulu yaweza kumtosa kwa kukaa kimya kudhihiriasha kuwa kweli jamaa alikuja kujikomba na anasaliti wenzake kwani Rais hana kosa kumsikiliza yeyote

Wana Act waliopo mitandaoni Siasa bado sana,na kwa style waliyonayo wakipigwa Counter Attack kwishney!
 
Pasco mwaka jana ulimchambua Zito kwa undani na mwishowe ulimsifia leo unasemaje?
 
Pasco mungu huwa hawapi karma watu wanafiki hata siku moja huyo mzee ni mnafki na anawahonga wabunge ili kufanikisha mambo yake.

Huyo mzee unaweza mdai 20000 asikupe akaita waandishi akatoa msaada wa milioni 20 ukitaka kujua hayo waulize wafanyakazi wake wa ipp utajua mengi yakumuhu.
 
Facilitator;Poor mind of an academic dwarf... do u think being ureasonably circumlocutios underlines your dexterity?? Only the lower primary school kids will be mesmerized and flabbargasted by ur hoolabaloo!!

..... don't try to stonewall what i believe. I say it again PLUTOCRACY is common syndrome turning this country into a cesspool.
..... Whatever these oligarchs do it goes against the common precepts of decency.

Now listen very careful DAMSEL, grade inflation is my personal problem;so don't patronize me.
I am a bastion of my own beliefs and this is a free world. So don't manicured my lawn with these glitzy words.
.....rather than being brusque with me work hard to improve your own savvy.
.....and for the record you are NEITHER SMART AT ALL; you are just knowing fool who attended college.


 
Pasco kuna new info kuwa mmiliki wa gazeti lililosema hayo yote ni JAMES Rugemalila....
sijui unajua hilo?

.....ninacho jiuliza, taasisi zoote hizo alizona Mh JK, leo atengemee umbea kutoka kwa Zito !? :noidea:
Kuna watu bado wako kazini !? .....:noidea: Pasco
 
Last edited by a moderator:
kwa hili la Mengi kuhonga wabunge ni la kweli kwa muda mrefu amekuwa akiwapa pesa ili kusiwe na miswada itakayoruhusu watu toka nje waanzishe na kumiliki vyombo vya habari kwa asilimia mia moja, lakini amekuwa akienda mbali na kutumia vyombo vyake vibaya ila tatizo amekuwa akiangaliwa.
Kabla ya uchaguzi wa marudio mwaka 95 ambao ulivurugwa alitumia vyombo vyake kuwatisha wananchi juu ya mauaji yaliyotokea rwanda kwa kisingizio cha kulinda amani ya nchi wakati ukweli miongoni mwa vyombo vilivyochangia mauaji ya kimbali ni vyombo vya habari
Aliwahi kuingia mgogoro na vyombo vya dini kwa kuwaita wauaji kwa sababu wanazuia waumini wao kutumia kondomu ingawa ama kwa kujua au kutokujua watu wa dini wamesimama kwenye maadili bahatu nzuri baraza la maaskofu lilimjibu na askofu mkuu wa jimbo loa dar es salaam alitoa hotuba kali na kuwataka watu wawasikilize watu kwa hekima zao wala sio kwa utajiri walionao waziri wa afya wakati huo Anna Abdalah ilibidi aingilie kati na kusema watu wa dini na serikali kila mmoja ana njia zake za kupambana na ugonjwa wa ukimwi
Bila kuhitaji ushahidi ilionekana dhahiri Mengi alimpania aliyekuwa waziri wa nishati aondoke ukiangalia vyombo vyake vya habari vilivyokuwa vinatoa uzito kwa kila mtu aliyekuwa ama anamsema vibaya au kushinikiza Muhongo ajiuzulu
Mengi amefanya hayo kwa sababu ya udhaifu wa serikali ilionano bila hivyo ingekuwa serikali imara leo hii vyombo vyake vingekuwa vimeshafungiwa na yeye kuwa kizuizini kwani mengi huyohuyo alitaka kuonyesha nguvu zake nje ya tanzania na kufungua kesi uingereza lakini akashindwa
kuhusu karma kwa mengi haikwepeki sasa hivi anajipendekeza kwa lowasa kwa sababu anafikiri labda ndie atakuwa raid wa awamu ijayo lakini ikitokea tofauti sijui atashikia wapi
 
You harlot...!!! wtf...!!? u wanna tell me to follow chaggas way of life...!!? Ur idiot of PhD order...ur in nightmares....!!!!

Do you know me...!!? You, kuku to advice me...!!? You are sick of poverty and mental retardation & stagnation...!!!

Most chaggas are THIEVES, just like Mengi and many like you...!!! I am well ahead for everything, wealth, healthy, Academically, IQ...well established, JUST FIGHT URSELF to come out of poverty and mental slavery KWA NJIA HALALI...sio ujanja ujanja wa uwizi wizi...ur kuku..!!!

Zitto ni mwizi, as well Mengi ni mwizi, na Wachaga wengi sanaa ni WEZI, like you...!!!

Tht is the OPEN TRUTH, no correction...bastard...!!!
ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa!!!! mbavu zangu jaman.

well, i am remaining silent so that people may notice the difference by pinpointing the foolish idiot!!

basi kama hutaki kufuata ushauri wa kuuza nyanya, well, kufa na ulofa wako, wenzako kina mangi wanachanja tu mbuga. utabakia tu eti weziiii wezi, maghorofa yanapanda tu kariakoo....kalaghabao!!
 
maziku masunga Jr, kama ni kwa siasa za kinafiki na kindumilakuwili nakubaliana nawe kwa asilimia mia moja kinyume cha hapo nafikiri utakuwa ni mvivu wa kusoma kuchambua na kutafakari mambo...!
Pasco bado nakumbuka tulivyoshiriki pamoja post za meditation karma na psychic powers! Ulichokinena kuhusu Zitto ndicho kitakachotokea, kwenye CAUSE N EFFECT kuna kitu katikati kinaitwa CONDITIONS hiki ndicho anachokifanya zito kwasasa ana hamu ya kuwa juu ya wengine, apendwe, aheshimike, awe maarufu anyenyekewe na kuabudiwa
Sasa katika kupita njia yake hii kufikia hamu ya malengo yake haangalii anamuumiza nani na kwa njia gani na anaacha makovu gani nyuma....! Hili kwake si tatizo LAKINI watu wa jinsi hii hawana mwisho mwema kwake binafsi na kwa jamii
Mtatunga Uwongo wa kujipa FARAJA Mwaka huu mpaka BASI!Nyoyo zenu zimejaa CHUKI,VISASI,UBABE,FUJO then Mnategemea maombi yawe ni kweli.Are these BAVICHA drunkards serious and sane?
 
Last edited by a moderator:
Ya Mbowe na Slaa yamekujaje hap,Hee,this is too Childishly yani.
Sasa Pinga kwa kuja na the other facts,otherwise utaonekana Mshabiki,hence ule uungu wa ZZK kwenu kujidhihirisha,tutakutofaitisha vp sasa na akina Mwl Kaijage ?

Dr Slaah-upadrisho.JPG

Msaliti ni huyu hapa, aliyesaliti Kanisa na ndoa yake ! :yo:
 
Pasco mungu huwa hawapi karma watu wanafiki hata siku moja huyo mzee ni mnafki na anawahonga wabunge ili kufanikisha mambo yake.

Huyo mzee unaweza mdai 20000 asikupe akaita waandishi akatoa msaada wa milioni 20 ukitaka kujua hayo waulize wafanyakazi wake wa ipp utajua mengi yakumuhu.
pesa haigawagwi hovyo hovyo wewe. tatizo lako wewe bado upo kwenye usingizi wa uchumi wa kijamaa. huu ni uchumi wa kibepari, market driven economy...kamuombe warren buffet au aliko dangote hata sillingi 200 (mia mbili) uone kama watakupa. hata kama unawadai si ni lazima u-justify den? au wamekuambia wanagawa hela wao ni misikiti?
 
Back
Top Bottom