Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

...ahahahaaa, ama kweli siku ya kufa nyani.......
leo hii cdm ndo ilisema cuf ni chama cha kidini na kigaidi, si ccm tena??!! loh...
hivi zile shehena za majambia ccm mlizotutangazia kuwa zimepenyezwa nchini na chama cha kigaidi cuf mlishaziangamiza au mmezihifadhi wapi?

yan nyie chichiem kila chama kinachopata nguvu ya kisiasa nchini mnakitafutia jina!!!

ok, ngoja sasa kije kile cha wasaliti ict...tunasubiri mtakipa jina gani.

chichiem mnatawala kwa hila lakini mtangoka tu, mpende msipende.

Hakuna mshabiki wa ccm hapa.

Tatizo lenu wengi wenu mnapoona watu wanakipiga vita hiko chama cha kidin na kikabila chadema basi mnadhani ni wafuasi wa ccm.

Hata hivyo ukweli utabakia kuwa hivyo.

Chadema na kanisa katoliki ni dam dam.

Hatuwezi rudia fanya kosa kama hilo tena.
 
1,Najiuliza wakati zzt anaonga na jk ikulu aliyekuwepo akikuwa kama mshiriki au nae alikuwa anatoa habari?
2,Je inawezeka katika kutoa siri kama hii wakawepo watu zaidi ya wawili?
3,Je hao wafanyakazi wa ikulu wanaotoa siri kama hizo wanalenga nini?
4,Kama kweli list iliyotolewa ya watu alio wasambaratisha mengi ni ya kweli basi hiyo tuhuma inaweza ikawa ya kweli kama amewaweza hao atashidwaje hilo.

ZZT maadui wako ni wengi kaa tayari huyo mzee hafai anafanya kazi za watu.
 
.....ninacho jiuliza, taasisi zoote hizo alizona Mh JK, leo atengemee umbea kutoka kwa Zito !? :noidea:
Kuna watu bado wako kazini !? .....:noidea: Pasco

na shangaa!!!Pasco nimemuelewa sana ktk hitimisho......angalia act ilivyo sasa......gt tu ndo watamuelewa pasco.
 
Last edited by a moderator:
Huwa namuuliza siku zote Kama CCM au JK wanamweshimu Sana kwanini hawakumwachia jimbo apite bila kupingwa?? Jamaa alipata upinzani Mkali toka CCM almanusura aangukie pua....

Huyo MTU kichefu chefu tupu!!!

Alikuwa anajifananisha na Lema na kumdharau sijui kiburi ya elimu au nini akijinadi ndo aliyejenga chama,Lema alipita kwa kura ngapi unajua,Zitto aliponea chupuchupu kwa kura 1000,wakati huo hajaanza usaliti na usaliti,kasoma ramani ndo maana anakimbia jimbo hagombei tena kaona dalili
 
Alikuwa anajifananisha na Lema na kumdharau sijui kiburi ya elimu au nini akijinadi ndo aliyejenga chama,Lema alipita kwa kura ngapi unajua,Zitto aliponea chupuchupu kwa kura 1000,wakati huo hajaanza usaliti na usaliti,kasoma ramani ndo maana anakimbia jimbo hagombei tena kaona dalili

Zitto agegombea kwao asingeshinda!!!

Ndio maana anajihami na asithubutu kwenda kawe au Ubungo atavuna aibu....
 
Thats why nakuambia ka.fi.ri huna akili.

Ungesema kutumika kwa Dau as Dau na ungeweka ushahid hapo ungeonekana haunuki mavi.

Sasa siyo unakuja na mavi yako eti mnasema Dau anaitumia Nssf kuifadhili ACT ndiyo nawaambia ushahid uko wapi??

Kila shirika la umma lina Annual financial year audit ya mapato na matumiz.

Kuwa mkurugenz wa shirika flan siyo turufu ya kutumia pesa za shirika kqa kadir ya utashi wake unavyotaka.

Lakin kwa kuwa most of nyinyi ma.ka.firi mmejaa chuki na huyo jamaa basi mnaropoka tuh kama mnaimba kwaya zenu zile.

Au kama mnatolewa mapepo.

ingekuwa hivyo na sisi Tanzania si tungekuwa nchi kati ya nchi!!??? unayafahamu mashirika ya umma Tanzania wewe?!! unajua yalikuwa mangapi wakati yanaanzishwa na wazalendo wa nchi hii na sasa yamebakia mangapi baada ya kufisadishwa na ccm? na hayo machache yaliyobakia kwa kulindwa na vijana wachache wazalendo dhidi ya ufisadi wenu unajua performance yake yalipoanzishwa ilikuwaje ukilinganisha na sasa?
nani asiyejua ccm ndo imeua mashirika ya umma kwa kuyaendesha kisiasa badala ya kibiashara, kuchota humo pesa za kufisadisha nchi na kuajiri humo unprofessional people ambao ni ndugu na wajomba zao? mashirika ya umma tanzania yalikuwa wakati wa mwalimu, haya ya sasa ni vichaka vya wezi. everyone knows. Tanesco eti nalo ni shirika la kibiashara!!!!!

kwa hiyo CRDB ndo unapopaona kuwa mkurugenz wake ana turufu ya kutumia pesa za shirika kqa kadir ya utashi wake unavyotaka? udin utakuua wewe. halafu hata uislam wala huujui wewe. kula kitimoto wewe upate akili
 
babu anatafuta kick,ngoja jion utaskia mwanaume atakavyojibu kiuungwana,babu chezea wote sio huyu nyerere wa pili utauza had huyo mjukuu wako uliemuoa juzi.
Mtakatif JULIUS NYERERE hawezi linganishwa na hawa waganga njaa bi Nasmapesa futa kauli yako.Kama wewe ni mwislamu haram na halali sio sawa
 
Pasco something is illogical, ZZK alishirikiana na Mengi kumng'oa Muhongo(claimed from you) ,Gazeti lilotoa hii habari ya udaku ni la Rugemalira, Escrow account Rugemalira alihusika (find something there kweenye sentensi zangu) kwanini ZZK asichonganishwe na Mengi?hii ishu inawezekana Mengi na Zitto mwenyewe wanajua jinsi ya kui solve
 
Last edited by a moderator:
Zitto agegombea kwao asingeshinda!!!

Ndio maana anajihami na asithubutu kwenda kawe au Ubungo atavuna aibu....

Kama hii habari niya kweli sasa tusubiri ligi yake Mengi nani atanyoosha mikono
 
Utangulizi wa tuhuma zenyewe umejionyesha wazi kabisa..Mwandishi kaanza na kusema hivi;- Zitto Kabwe, anayejitapa kutetea wazalendo wa nchi hii, Kisha anasema:- Mtonyaji wangu katika Ikulu ya Rais Kikwete, ninaye muamini sana.

Haya yote mawili yanaonyesha chuki na kwamba habari hii imepikwa... End of story...
 
1,Najiuliza wakati zzt anaonga na jk ikulu aliyekuwepo akikuwa kama mshiriki au nae alikuwa anatoa habari?
2,Je inawezeka katika kutoa siri kama hii wakawepo watu zaidi ya wawili?
3,Je hao wafanyakazi wa ikulu wanaotoa siri kama hizo wanalenga nini?
4,Kama kweli list iliyotolewa ya watu alio wasambaratisha mengi ni ya kweli basi hiyo tuhuma inaweza ikawa ya kweli kama amewaweza hao atashidwaje hilo.

ZZT maadui wako ni wengi kaa tayari huyo mzee hafai anafanya kazi za watu.
uzalendo wa kulinda maslahi mapana ya nchi badala ya kulindi kundi moja.
 
Pasco uko well informed na ni hazina hapa JF. Safi sana. Ila nawe ukitumia kipaji hiki vibaya 'karma' itakuhukumu

Mpwa mbona unamtisha [MENTION=23314]pasco?
 
Last edited by a moderator:
Alikuwa anajifananisha na Lema na kumdharau sijui kiburi ya elimu au nini akijinadi ndo aliyejenga chama,Lema alipita kwa kura ngapi unajua,Zitto aliponea chupuchupu kwa kura 1000,wakati huo hajaanza usaliti na usaliti,kasoma ramani ndo maana anakimbia jimbo hagombei tena kaona dalili
Lema zaidi ya Arusha hamna anayemsikiliza labda wachaga wenzake.

Hauwezi kumfananisha Zitto na Lema Zitto yupo kitaifa Lema yupo na maandamano ya Arusha.
 
Lema zaidi ya Arusha hamna anayemsikiliza labda wachaga wenzake.

Hauwezi kumfananisha Zitto na Lema Zitto yupo kitaifa Lema yupo na maandamano ya Arusha.

Tofauti ni kwamba Zitto ni mnafki na haaminiki ila Lema ana msimamo
 
Hakuna mshabiki wa ccm hapa.

Tatizo lenu wengi wenu mnapoona watu wanakipiga vita hiko chama cha kidin na kikabila chadema basi mnadhani ni wafuasi wa ccm.

Hata hivyo ukweli utabakia kuwa hivyo.

Chadema na kanisa katoliki ni dam dam.

Hatuwezi rudia fanya kosa kama hilo tena.
kwa hiyo cuf mmeshaitakatifutisha? cuf si chama cha waislam na wala si chama cha magaidi tena?!!!!!! machichiem bana!! ndo maana mamvi anawapa za uso.
 
Pasco something is illogical, ZZK alishirikiana na Mengi kumng'oa Muhongo(claimed from you) ,Gazeti lilotoa hii habari ya udaku ni la Rugemalira, Escrow account Rugemalira alihusika (find something there kweenye sentensi zangu) kwanini ZZK asichonganishwe na Mengi?hii ishu inawezekana Mengi na Zitto mwenyewe wanajua jinsi ya kui solve
Usichoelewa ni nini? Pasco anasema 'kama ni kweli' inamaana Zitto ana kiwango cha juu cha undumila kuwili na unafiki.

Na sisi tulioenda mbali zaidi kumsoma Pasco katikati ya mstari ni kuwa Mzee Mengi hajakurupuka kuja na ile statement kwenye public. Mengi naye ana ka-system kake kanako link na wanene. Ni sawa na ile kauli ya mwanawe kuwekewa unga airport.

Mtiririko wa ile stori ya Taifa imara hata mimi unanipa shida lakini content inaweza kuwa na ukweli. Pasco kwa sababu ya urafiki wake na Zitto anajua kitu...
 
Last edited by a moderator:
Hi stori in fact ni kinyume.
Na mengi kakuruouka tu au wanajuana na mchapishaji wa hilo gazeti.
Kawaida mengi alitakiwa alikomalie gazeti lakini yeye ameenda kwa kumtaka kikwete akanushe. Kitu ambacho hakiwezekani .
Yeye anatakiwa alishtaki gazeti ila hakufanya hivo .
Sasa hapa labda mengi anatumiwa na chadema au Rugemalira. Tukumbuke bado Ruge anazoo centi za Escrow .
Leo zitto atazungumza hili hivo tusubiri
 
Mengi atamnyoosha huyu mtoto mnafiki, na sio kama mengi amekurupuka, amefanyia kazi hayo maneno na ameona sio ya kijiweni. Mengi ni mtu mwenye mambo lukuki ya kufanya na ana marafiki wengi kwenye system, wamemuhakikishia kuwa zitto kweli amepeleka unafiki kwa kikwete. Mengi ngoja amnyooshe huyu snitch

Mbona nyerere wa pili ameishafunga ukurasa.anaeweza kumdelete ajaribu.Kafulila ndio alitumiwa na mengi kumdelete Muhongo.Acha wivu wa kijinga
 
Back
Top Bottom