Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
#Pasco ...ukishupalia vitu, unajitutumua kweli...!!!
=> Kwanza, Manji hajashindwa na Mengi...na kamwe hatakaa afilisiwe...stop narrating lies...!!!! Hata hakimu aliyekuwa anaendesha kesi ya Mengi na Manji, sidhani kama sbb iliyomwachisha kazi ni hiyo kesi...MAHAKIMU WANA KINGA YAO...ingekuwa hivyo wengi wangefukuzwa kazi sana..!!!
=> Kuhusu Masha, kilichomwangusha ni VITAMBULISHO VYA TAIFA....ile tender ya more than Tshs 324 bil + ndio ilimletea balaa kwani alikomaa achukue yeye kwani ilikuwa chini ya Wizara yake apige hela ndefu hapo...huku mkuu wa Kaya akiwa nae kakomalia, mwishoe Wenje alisapotiwa atoke ktk shitaka alilowekewa na Masha mahakamani, na Wenje alimshinda Masha...So tatizo kubwa la Masha ni hilo
..aliingilia maslahi ya mkuu wa kaya..
=> Kuhusu, Zitto, though I ALWAYS DISREGARDED HIM AS AN OPPORTUNIST...and not a LEADER AT ALL...only low IQ and short sighted will listen and follow him, MENGI HAWEZI KAMWE KUMLETEA MADHARA...!!! I hv reasons, kuhusu ESCROW ni KWELI KABISA...Mengi alipeleka fedha nyingi kumwangusha Prof. Muhongo...huo ni ukweli...
Ila pia, usisahau Zitto ana uadui na Prof Muhongo sana sana, na hata Rais anajua....Prof Muhongo alipopewa Wizara ya Nishati na Madini...Zitto alikuwa kila Mwezi anapokea not less than 800 milioni ya MAFUTA MAZITO YA IPTL....mchezo ulikuwa unachezwa wakati ule Ngeleja akiwa waziri, Serikali ilikuwa inatoa KILA MWEZI 15 BILIONI ZA MAFUTA MAZITO...
Ama kweli muongo ni wewe, Zitto tunamjua vizuri sana, Hakuwemo kwenye huo mgao. na hiyo narration yako ni hekaya za Alf leila u leila; umesahau kilichomgoa Ngeleja na Jairo, kama zito alikuwa anashirikiana na Ngeleja na akapewa 800 m kila mwezi , kwanini alimuandama sana ngeleja bungeni mpaka akaondolewa. Jamani mbona tumekuwa watungaji dhaifu na tunawapotosha umma. Jee sisi tukiwa waongo na wanafiki kiasi hiki tuna haki ya kumsimanga mtu yoyote na kumtukana. Inasikitisha sana namna tunavyoligeuza hili jukwaa kuwa the rumours tabloid
Jikite kwenye Mada.
Haya ya usaliti na ndoa za wanamume yanakujaje,au wewe ulitaka uolewe wewe ?
Hata akikuoa wewe kwan si fesh tuh au??
Teh teh teh
Mnapeeeenda Kuolewa.
Teh teh teh
Hivi dompo inalewesha??mbn ni kama juisi?
DR. Dau ni mfadhili number moja wa ACT.
Nssf inatumiwa vibaya sana.
Teh teh teh
Ally kombo umenifurahisha sana.
Hivi huyu jamaa laana ya usaliti wa kanisa na mke wake itamuacha kweli??
Lione kwanza na gauni lake hilo nani ampe Urais wa nchi hii??
Teh teh teh
Majungu na Fitna.Utakuwa na Undugu na mzee Yusufu!
Kama Dr Kimei anavyo itumia CRDB kuneemesha Kanisa ! kbosho :shocked:
Teh teh teh
Makafiri shida sana.
Mmehangaika sana kumtafutia fitna Dr Dau ili mumuondoe Nssf mmegonga mwamba.
Teh teh teh
Nssf i shirika la taifa la hifadhi ya jamii linaweza vip tumia pesa za wanachama wake kufadhili chama cha siasa??
Au wewe ------ na akili yako finyu unadhani kama mtu akiwa mkurugenz wa shirika basi ana haki tu ya kutoa maagizo ya matumiz ya fedha za shirika kadir ya utashi wake unavyomtuma??
Hujui kuwa shirika lolote huwa linafanyiwa ukaguz wa matumiz ya fedha zake na mkaguz mkuu wa hesabu za umma??
Teh teh teh
------ utakufa na chuki zako.
Hizo mimba zenu za chuki mwaka huu mtazaaa tuh.
mkulu sku hizi utandawazi umefungua sana akili za watu. hata nyanya yangu wa miaka 98 kule kijijini nanjilinji anamilik mtandao kupitia simu yake ya mkonon na tv zipo almost kila mahali. usisahau na shule za kata, vijana wamefunguka sana. miaka ya nyuma, wakati sehemu kubwa ya nchi hasa vijijini ikiwa bado gizan, strategy hii ya udini iliwasaidia sana wakati ule CUF mkikiita chama cha waislam na magaidi.
imekuja CDM mnasema ni chama cha wakristu na wachaga.
sasa chama cha waislam na magaidi kimeungana na chama cha wakristu na wachaga...tuone,,,, ndo yale yale ya siku ya kufa nyani....
kama taasisi za Taifa kama polisi, tume ya Taifa ya uchaguzi vinatumika kwa maslahi ya wadhalimu itakuwa huyo Dau? cha kushangaza sku hizi ccm inataka kuitumia hata TISS eti dhidi ya wananchi wa Tanzania wasio ccm??!!! bahati nzuri kule TISS si wote maboya. vijana wengi wazelendo mle, wanaijua kazi yao na wanajuaga cha kufanya
Kweli Zitto ni mnafki kama JK alisema hivo basi si mnafki tu inaonekana anapenda kujikomba,sasa alikuwa analalimika nini na kuhitaji ushahidi kwamba kasingiziwa kwamba anapeleka taarifa za CHADEMA kwa TISS.Mlio karibu na Zitto mwambieni Sifa anazozipenda Sana kuwazidi wanawake zitamtokea puani!!!!
Si Mara moja hata JK mwenyewe amewahi lalamika ingali Zzk akiwa CDM kwamba huyo kijana ni mnafiki na anamfwata fwata Sana.... JK alisema, "huyu kijana anamatatizo gani? si ajenge chama chake?"
Zitto ni mnafiki na ndumilakuwili Wa viwango vya juu Sana!!! maji aliyoyaingia ni kina kirefu Sana kwake soon atazama!!!
Watu Kama akina Mbowe....Lipumba.... Mbatia..... Dr. Slaa Zitto si saizi yake kabisa ila kwakuwa anapewa Sifa za kijinga na wapuuzi wenzie anaamini anaweza pambana na yeyote na sasa amemwingia Mengi!!!!
Huyo dogo malezi na jamii aliyokulia inaonekana ni yakitumwa iliyokosa nidhamu na adabu.....
Very soon ataona outcome ya Upuuzi wake......
...ahahahaaa, ama kweli siku ya kufa nyani.......Siyo dawa hiyo.
Kwani hata vikiungana ndiyo inaaondoa hoja ya kwamba kwenye chadema kuna uchaga na ukristo??
Nyinyi mna akili timamu?
Si ni nyinyi mlikuwa mnasema kwamba cuf ni ccm b na cuf ni chama cha waislam ili mpoze joto ya jiwe ya huo udin ma ukabila ndan ya chadema??
Ma.---- ndiyo hawajui.
Ila waerevu tunaijua michezo yenu.
Kweli Zitto ni mnafki kama JK alisema hivo basi si mnafki tu inaonekana anapenda kujikomba,sasa alikuwa analalimika nini na kuhitaji ushahidi kwamba kasingiziwa kwamba anapeleka taarifa za CHADEMA kwa TISS.
Sidhani hata CCM walikuwa wanamfuata ila kwa unafki wake atakuwa aliwafuata kwamba yeye ni mtu wa ndani atapewe chochote atasababisha madhara.
Huyu dogo tusubiri tu hafiki popote