Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Wayahudi wepi hao. Acha kudanywa na walokole. Don't be brain washed.Stori za vijiweni. Wayahudi ndio wameipaisha Marekani kwenye teknolojia. Iran ni kidagaa na Israel ni papa, usiwalinganishe.
Jielimishe kijana, wayahudi wengi sana wanaishi Marekani na wamejaa kwenye makampuni ya silicon valley.Wayahudi wepi hao. Acha kudanywa na walokole. Don't be brain washed.
Mashoga ni waarabu na watu wa mwambao wa Afrika mashariki walioletewa huo uovu na waarabu kwenye biashara yao haramu ya utumwa wakawahasi watumwa wote wanaume.Mi nikiona mashoga wanapigwa roho inasuuzika sana
Hao pia waarabu?Mashoga ni waarabu na watu wa mwambao wa Afrika mashariki walioletewa huo uovu na waarabu kwenye biashara yao haramu ya utumwa wakawahasi watumwa wote wanaume.
Waarabu bure kabisa, eti nao wanajifanya kuleta dini na eti wengine wanafuata. Dotards.
Unadhani Putin ni Mwigulu?Mossad wakiingiza mguu hata ayatollah anaweza kujiuzulu uraisi na putin atakimbia urusi.
VIGAIDI vilikua vinabembea vikaripuliwa visije kusumbua DUNIAOct 16 kwani si ndio mlikua mnapiga bembea za watoto kwa drones.
Iran ni mnyonge wa Israel, sasa huyo Iran kiongozi wenu wavaa kobaz angetoa msaada kwa Urusi kimya kimya, majibu atapata sasa, ndio maana alikua anakana hizo drones.
Hao pia waarabu?View attachment 2393726
Hao wa Israel nao edit katoka vitani kaenda kupokelewa na mume wakeKuweka bendera ya Marekani ndiyo wawe Marekani?Je ikiwa edited?Lakini wote tunajua wataalamu wa Michezo hiyo ni hao Ndugu zeta wa Mashariki ya Kati!!