Kama tumefikia hatua ya kuachia watuhumiwa kwa sababu za kisiasa, Taifa letu linaelekea pabaya sana

Kama tumefikia hatua ya kuachia watuhumiwa kwa sababu za kisiasa, Taifa letu linaelekea pabaya sana

kwa hiyo wajameni waendelee kutuhumiwa maisha???!!!?? miaka tisa unatuhumu tu!! noo hiyo ni uonevu huenda na wewe ni muonevu sanasana, kama kwa miaka tisa tote ushahidi haujapatikana wewe ungependa wakae ndani mpaka lini??!!!??
 
Ni wazi kuwa ofisi ya Dpp inatumika kisiasa na haifanyi kazi zake kwa weledi.

Kama watuhumiwa wa makosa ya kijinai wanaachiwa ili kufurahisha umma ni jambo baya sana kwa muktadha wa taifa letu.

Watuhumiwa wa ugaidi walikabiliwa na makosa mabaya sana. Mbaya zaidi waziri wa mambo ya ndani wakati huo Emmanuel Nchimbi alipointi wazi kuwa walihusika na umwagiaji watu tindikali huko Zanzibar.

Mimi binafsi nina hakika kuwa Emmanuel Nchimbi alikuwa na info za kutosha na za ukweli.

Ok achana na watuhumiwa wa ugaidi, kuna wapigaji na wabadhirifu nao wanaachiwa ili kufurahisha umma.

Hii ni hatua mbaya sana kwa taifa letu. Na haifai maana ni kama kukubaliana na kuunga mkono uhalifu

Zaidi, soma:

1).Uamsho wakana kuhusika na vurugu za Zanzibar

2). CCM yataka Uamsho Zanzibar ifutwe; Yataka Waziri wa Sheria ajiuzulu

3). Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar
Miaka yote ushahidi hawana ? Maana yake Nini ? Naomba unijuze !!!
 
Nahisi nawe hoja unaiinua kisiasa.Ushindwe.Mpo wengi wenye mtizamo wa kipuuzi juu ya uongozi uliopo sasa.Udikiteta wenu umeisha nguvu.Tuinue taifa linalozingatia haki. Hamtaki ? Mungu keshaamua na iwe.Tumepitia mengi unanitia uchungu kwa bandiko lako hili.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Bwana wao aliwaachia walawiti wa watoto wadogo waliokutwa na hatia mahakamani, walikaa kimya! Leo hii Samia kuachia watu ambao makosa yao imeshindikana kuthibitisha mahakamani ni nongwa! Hawa watu ni kama marehemu anayetembea
 
Bwana wao aliwaachia walawiti wa watoto wadogo waliokutwa na hatia mahakamani, walikaa kimya! Leo hii Samia kuachia watu ambao makosa yao imeshindikana kuthibitisha mahakamani ni nongwa! Hawa watu ni kama marehemu anayetembea
Umeishia darasa la ngapi we pimbi?
 
Umeishia darasa la ngapi we pimbi?
sab.jpg
 
Nahisi nawe hoja unaiinua kisiasa.Ushindwe.Mpo wengi wenye mtizamo wa kipuuzi juu ya uongozi uliopo sasa.Udikiteta wenu umeisha nguvu.Tuinue taifa linalozingatia haki. Hamtaki ? Mungu keshaamua na iwe.Tumepitia mengi unanitia uchungu kwa bandiko lako hili.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile ap
No crime without a law.
 
Mleta mada una roho mbaya wewe ni sadist
hapana mleta mada hana roho mbaya bali rais mwana mama ndio ana roho mbaya.
Katika jambo la uwamsho wale mashehe walistahili kupata haki yao kwa walicho kitenda mama pale ameleta udini na uzanzibar kitu ambacho kama taifa litatutesa mbele akitokea mwingine kama yeye.
 
Were convicted prisoners. Tofautisha hii iliyotokea jana.

..unaamini kwa dhati kabisa kwamba Babu Seya na Papii Kocha, walawiti watoto, walistahili kutolewa jela, na kupewa heshima ya kufika Ikulu kuonana na Raisi?
 
Kama kesi zao za kubambikia, hazina ushahidi unaoeleweka, zilikuwa na mlengo wa kisiasa basi acha ziishe tu kisiasa ili nchi iwe na mshikamano wa kitaifa
 
Mtoa maada kama una ushahidi peleka kwa Dpp acha kulalamika hapa,
 
Back
Top Bottom