Kama tumefikia hatua ya kuachia watuhumiwa kwa sababu za kisiasa, Taifa letu linaelekea pabaya sana

Umesema mwenyewe wanaachiwa ili kufurahisha umma, wewe unafikiri kwanini umma ufurahie kuachiwa kwao? Na hata ivo kiongozi anatakiwa afurahishe umma maana ndio anaouongoza.
Wewe uko kundi gani? La umma au viongozi?
Pambania familia yako maana hata hao watu wakinyongwa haitakusaidia chochote na afterall wapo wengi tu wanaofanya madudu ila wanakula bata mtaani.
 
Issue inakuja, je walikuwa na kesi ya kujibu? Kama haipo kwanini waendelee kuwa mahabusu, hii sio dhulma kwao? Kama waliachiwa wakati wana kesi ya kujibu basi hapo ni shida kubwa
 
Kama una uhakika kwa hao mashehe kwanini hukupeleka ushahidi wako kwa DPP miaka yote hiyo waliyo kaa ndani?
Magaidi huwa hayapelekwi mahakamani ni kuwekwa kuzuizini tuuu... hata marekani uko wanafanywa hivyo wanawapeleka gwantamano......
Hawa mashekh walisababisha vifo vya watu, mapadri, masheikh na watalii walipigwa risasi na kumwagiwa tindikali na makanisa kuchomwa.
Hawa walitakiwa kutandikwa risasi za vichwa tuuu si kukamatwa,,, dawa ya majambazi na magaidi ni kutandikwa risasi tuuu hakuna namna.....
Hawa magaidi hawato acha ugidi
 
..walawiti watoto walipoachiwa kwa sababu za kisiasa.

View attachment 1822059

Umenikumbusha jambo chungu sana lakini ni muafaka kabisa kama mfano. Bado sielewi wafungwa hawa ambao walisamehewa sawa na wengine maelfu - walifika mpaka ikulu. Hii ilikuwa ni siasa chafu!! Ililenga kumdhalilisha kiongozi fulani wa juu. Kama ilikuwa wameonewa ilikuwa ni sawa waachiwe. Mashehe wa uamsho kama walionewa, ni sawa pia waachiwe huru. Ubaya ni kufanya mambo kwa hila za kisiasa!!
 
..unaamini kwa dhati kabisa kwamba Babu Seya na Papii Kocha, walawiti watoto, walistahili kutolewa jela, na kupewa heshima ya kufika Ikulu kuonana na Raisi?
Hoja sio wao kwenda ikulu bali ni walikuwa wafungwa tofauti na hawa mahabusu. Hilo la kwenda ikulu ni ishu nyingine
 
Rais ambaye hakuchaguliwa anaonyesha kutokuwa na msimamo, anafanya kazi na mitandao ya kijamii. Soon tutaanza kuona tena vituko vya muslim terrorism, ni swala mda tu
 
Rais ambaye hakuchaguliwa anaonyesha kutokuwa na msimamo, anafanya kazi na mitandao ya kijamii. Soon tutaanza kuona tena vituko vya muslim terrorism, ni swala mda tu
Kesi ilikuwa High Court inaendelea.
 
Naona ushahidi ulikosekana, hata wakikaa mahabusu muda gani usinge patikana, hata kama ni kweli walihusika kwa namna yeyote Ile, busara inaongoza kuwaachia huru na kuangalia mienendo yao, uenda wamejirekebisha, pia si busara wakae mahabusu milele!
 
Kama ni za kisiasa furahi kwa kuwa nae rafiki yako saa baya ataachiwa vivo hivyo.
 
Yaani tumeachia magaidi bila hata kakovu yaani wako lainiii.
Walitakiwa kunyongwa hawa magaidi. Yaani tutavuna mabua muda si mrefu.
 
nawaza Mchungaji KAGANGA wa TANZANIA ASSEMBLISE OF GOD ZANZIBAR, CATHOLIC na makanisa ya anglikan wakianza kuwindwa, nawaza tu.
 
Msinge kuwa mnabambikia watu,kesi tungeunana na wewe na wote wenye mawazo kama yako ,ila kwa hili nakukataa.Tena acha roho mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…