Kama tumeshindwa kuiondoa CCM kwa kura sasa tufanyeje?

Kama tumeshindwa kuiondoa CCM kwa kura sasa tufanyeje?

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Baada ya kuishinda CCM katika kura na matokeo kuwa mazuri kwa upinzani na yaliyojaa ushindi,bado CCM wametumia uchaguzi huo huo kujitangaza washindi?

Je, kuna ushauri wowote ,maana uchaguzi wapinzani waliudhibiti kisawasawa na ushindi ukawepo mezani imebaki kutangazwa tu ,Lakini bado CCM akatumia mwanya wa utangazaji kutangazwa mshindi .

Tukachwa na kauli CCM sio mshindi halali wa uchaguzi kauli hadi leo imo vinywani kwa wapinzani.
Je kifanywe nini ili hata hili pengo laUtangazaji nalo lizibwe?
 
Upinzani haujawahi kushinda uraisi hata kidogo, labda mwaka 2015 ndio kidogo walikaribia kushinda baada ya CCM hiyo hiyo kuwasimamisha wagombea uraisi wawili katika vyama tofauti yan Magufuli CCM original na Lowasa Chadema (CCM mikakati)
 
Katiba mpya ndani yake ipo tume huru ya uchaguzi. Hapo akina msajili, neck/vishingo , wale wa pgo.Hawatakuwa na nafasi kutuletea upupu na chafuzi kama walivyozoea.
 
Upinzani haujawahi kushinda uraisi hata kidogo, labda mwaka 2015 ndio kidogo walikaribia kushinda baada ya CCM hiyo hiyo kuwasimamisha wagombea uraisi wawili katika vyama tofauti yan Magufuli CCM original na Lowasa Chadema (CCM mikakati)
Tunaomba uyaseme maneno hayo ukiwa chini ya kiapo Dudumizi.upo tayari?.
 
Kwa tume ya mahela cjui mapesa milele haiwez kushinda
Upinzani haujawahi kushinda uraisi hata kidogo, labda mwaka 2015 ndio kidogo walikaribia kushinda baada ya CCM hiyo hiyo kuwasimamisha wagombea uraisi wawili katika vyama tofauti yan Magufuli CCM original na Lowasa Chadema (CCM mikakati)
 
Kitu kizuri cha kujivunia nchi hii ni misitu tuliyonayo.naimani kama tutaitumia vizuri basi tunaweza tukajikomboa kutoka kwenye mikono ya kina Mahita na Kingai.kama tutamua kujitoa kwa moyo mmoja na kwa ushirikiano basi awa watu mapema tu watakuwa wame rest in peace.

* Robert Gabriel Mugabe -Zimbambwe
*Ibrahim Boubacar Keïta-Mali
*Alpha Condé-Guinea
*Yahya Jammeh-Gambia
*Laurent Gbagbo-Ivory coast
*Abdelaziz Bouteflika-Algeria
*Omar al-Bashir-Sudan

Awa wote wamewezaje alafu sisi tushindwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuishinda CCM katika kura na matokeo kuwa mazuri kwa upinzani na yaliyojaa ushindi,bado CCM wametumia uchaguzi huo huo kujitangaza washindi ?
Je kuna ushauri wowote ,maana uchaguzi wapinzani waliudhibiti kisawasawa na ushindi ukawepo mezani imebaki kutangazwa tu ,Lakini bado CCM akatumia mwanya wa utangazaji kutangazwa mshindi .
Tukachwa na kauli CCM sio mshindi halali wa uchaguzi kauli hadi leo imo vinywani kwa wapinzani.
Je kifanywe nini ili hata hili pengo laUtangazaji nalo lizibwe ?
Tangu mwaka 2010 CCM haijawahi kushinda uchaguzi kwa ngazi zote!

Kuepuka huu ujambazi wa uchaguzi,suluhu ni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi,hii ndo sumu ya ujambazi wa CCM
 
Baada ya kuishinda CCM katika kura na matokeo kuwa mazuri kwa upinzani na yaliyojaa ushindi,bado CCM wametumia uchaguzi huo huo kujitangaza washindi ?
Je kuna ushauri wowote ,maana uchaguzi wapinzani waliudhibiti kisawasawa na ushindi ukawepo mezani imebaki kutangazwa tu ,Lakini bado CCM akatumia mwanya wa utangazaji kutangazwa mshindi .
Tukachwa na kauli CCM sio mshindi halali wa uchaguzi kauli hadi leo imo vinywani kwa wapinzani.
Je kifanywe nini ili hata hili pengo laUtangazaji nalo lizibwe ?
Hata vyovyote mtakavyo fanya hamuwezi kuiondoa isipo kuwa itajiondoa yenyewe wakati wake ukifika.
 
Kilichobaki ni mtutu wa bunduki tu,Hawa wanajua utamu wa kushika Ikulu,hawawezi kuiacha nchi kwa makaratasi,nji pekee ya kuwatoa ni shaba tu,tukitaka njia ya Kenya,itabidi watu wengi wafe kwanza.
 
Baada ya kuishinda CCM katika kura na matokeo kuwa mazuri kwa upinzani na yaliyojaa ushindi,bado CCM wametumia uchaguzi huo huo kujitangaza washindi ?
Je kuna ushauri wowote ,maana uchaguzi wapinzani waliudhibiti kisawasawa na ushindi ukawepo mezani imebaki kutangazwa tu ,Lakini bado CCM akatumia mwanya wa utangazaji kutangazwa mshindi .
Tukachwa na kauli CCM sio mshindi halali wa uchaguzi kauli hadi leo imo vinywani kwa wapinzani.
Je kifanywe nini ili hata hili pengo laUtangazaji nalo lizibwe ?
Tuwaloge tu
 
Baada ya kuishinda CCM katika kura na matokeo kuwa mazuri kwa upinzani na yaliyojaa ushindi,bado CCM wametumia uchaguzi huo huo kujitangaza washindi ?
Je kuna ushauri wowote ,maana uchaguzi wapinzani waliudhibiti kisawasawa na ushindi ukawepo mezani imebaki kutangazwa tu ,Lakini bado CCM akatumia mwanya wa utangazaji kutangazwa mshindi .
Tukachwa na kauli CCM sio mshindi halali wa uchaguzi kauli hadi leo imo vinywani kwa wapinzani.
Je kifanywe nini ili hata hili pengo laUtangazaji nalo lizibwe ?

Acheni kulalamikia siasa za nyuma ya keyboard kuweni wakweli na nafsi zenu👇

 
Baada ya kuishinda CCM katika kura na matokeo kuwa mazuri kwa upinzani na yaliyojaa ushindi,bado CCM wametumia uchaguzi huo huo kujitangaza washindi ?
Je kuna ushauri wowote ,maana uchaguzi wapinzani waliudhibiti kisawasawa na ushindi ukawepo mezani imebaki kutangazwa tu ,Lakini bado CCM akatumia mwanya wa utangazaji kutangazwa mshindi .
Tukachwa na kauli CCM sio mshindi halali wa uchaguzi kauli hadi leo imo vinywani kwa wapinzani.
Je kifanywe nini ili hata hili pengo laUtangazaji nalo lizibwe ?
Acheni propaganda ya uongo. Ccm hua inashinda na kutangazwa. Pale wakishinda wapinzani wanatangazwa. Rudia rudia uongo hadi watu watakuamini. Ndio mkakatati wanatumia upinzani. Taratibu za uchaguzi ziko wazi. Kuna wawakilishi wa kila chama kwenye vituo vya kupigia kura na watazamaji. Wapinzani pale wamedhulumiwa huenda mahakamani na haki tumeona ikitendeka huko nyuma.
 
Tangu mwaka 2010 CCM haijawahi kushinda uchaguzi kwa ngazi zote!

Kuepuka huu ujambazi wa uchaguzi,suluhu ni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi,hii ndo sumu ya ujambazi wa CCM
Kwakuwa uamuzi wa uwepo au isiwepo katiba ni wa kwao, hiyo si njia sahihi. Naunga mkono hoja ya kuitumia vizuri misitu tuliobarikiwa kwa wingi katika hii nchi. ...... Wenzetu wameweza wananini,
Na sisi tushindwe tunanini.
 
Baada ya kuishinda CCM katika kura na matokeo kuwa mazuri kwa upinzani na yaliyojaa ushindi,bado CCM wametumia uchaguzi huo huo kujitangaza washindi ?
Je kuna ushauri wowote ,maana uchaguzi wapinzani waliudhibiti kisawasawa na ushindi ukawepo mezani imebaki kutangazwa tu ,Lakini bado CCM akatumia mwanya wa utangazaji kutangazwa mshindi .
Tukachwa na kauli CCM sio mshindi halali wa uchaguzi kauli hadi leo imo vinywani kwa wapinzani.
Je kifanywe nini ili hata hili pengo laUtangazaji nalo lizibwe ?
Yana mwisho
Screenshot_20210906-160134.jpg
 
Mimi nadhani bado Kama taifa tuna nafasi ya kujaribu Tena Ila kupitia tume huru na katiba mpya ikishindikana na wakafanya Kama alivyofanya magufuli Basi matumizi ya misitu na uoto wa asili itakuwa nihalali na haki.
 
Upinzani haujawahi kushinda uraisi hata kidogo, labda mwaka 2015 ndio kidogo walikaribia kushinda baada ya CCM hiyo hiyo kuwasimamisha wagombea uraisi wawili katika vyama tofauti yan Magufuli CCM original na Lowasa Chadema (CCM mikakati)
Acha uongo na ujinga
 
Back
Top Bottom