Kama tunaaminishwa kuwa Mungu hakosei inakuwaje hakuna kiumbe mkamilifu chini ya jua?

Kama tunaaminishwa kuwa Mungu hakosei inakuwaje hakuna kiumbe mkamilifu chini ya jua?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kiimani na hata mahala pengi tu utawasikia Watu wakisema kwamba Mwenyezi Mungu hakosei, hajakosea na kwamba huwa hakosei na wengi wetu ama Kiuwoga au ' Kimbumbumbu ' tu au kwa kuwa wa ' hovyo hovyo ' katika Kufikiri tayari tumeshaaminishwa hivyo.

Sawa kama kweli Mungu hakosei sasa inakuwaje kila mara huwa tunaisikia hii Kauli ambayo nainukuu hapa " Hakuna Binadamu aliyekamilika chini ya Jua, Mwezi au Dunia hii ". Je hapa tushike lipi au tuelewe lipi?

Na kama Wote tunakiri kwamba Mwenyezi Mungu hakosei katika ' Uumbaji ' wake na Sisi Wanadamu ni mfano wake tosha iweje tena leo tunasema hadi kwa msisitizo kabisa kwamba Binadamu wote hatujakamilika?

Tujadili na Karibuni katika huu ' mjadala ' ambao nawahitaji tu wale ambao wamebarikiwa Critical Thinkig na Logical Reasing ya kutosha wachangie na nimetahadharisha mapema tu katika ' Headline ' kama unajijua au kujihisi huna huo uwezo tafadhali tusichoshane na pita zako tu mia.

Nawasilisha.
 
Kiimani na hata mahala pengi tu utawasikia Watu wakisema kwamba Mwenyezi Mungu hakosei, hajakosea na kwamba huwa hakosei na wengi wetu ama Kiuwoga au ' Kimbumbumbu ' tu au kwa kuwa wa ' hovyo hovyo ' katika Kufikiri tayari tumeshaaminishwa hivyo.

Sawa kama kweli Mungu hakosei sasa inakuwaje kila mara huwa tunaisikia hii Kauli ambayo nainukuu hapa " Hakuna Binadamu aliyekamilika chini ya Jua, Mwezi au Dunia hii ". Je hapa tushike lipi au tuelewe lipi?

Na kama Wote tunakiri kwamba Mwenyezi Mungu hakosei katika ' Uumbaji ' wake na Sisi Wanadamu ni mfano wake tosha iweje tena leo tunasema hadi kwa msisitizo kabisa kwamba Binadamu wote hatujakamilika?

Tujadili na Karibuni katika huu ' mjadala ' ambao nawahitaji tu wale ambao wamebarikiwa Critical Thinkig na Logical Reasing ya kutosha wachangie na nimetahadharisha mapema tu katika ' Headline ' kama unajijua au kujihisi huna huo uwezo tafadhali tusichoshane na pita zako tu mia.

Nawasilisha.
Unataka kum challenge Mungu? unashindwa kuli challenge jiwe linavyoboronga na kufukarisha watu unakuja mbio kum challenge Mungu?
 
Hakuna binadamu aliekamilika hiyo kauli ni sawa na hii ya "mgaa gaa na upwa hali wali mkavu" zote hizi ni kauli za wahenga tu.Hivyo zipuuze tu!

Mungu katuumba kwa ukamilifu mkubwa saana maana kama matako angeyaweka kifuani tungesema kakosea sababu hatuwezi kukaa comfortably but akayaweka pale nyuma yakiwa na nyama nyama mfano wa spongy sehemu sahihi kabisa ili tukae comfortably na tukiona anayo mbebe tunamsifu kwa kuyaita "Neema za Allah " tuyaite msambwanda kwa lugha za majanki.

God is the best designer ever.
 
Hahaha eti kama huna critical thinking!!

Anyway, naona maelezo yako ki mtaani zaidi na sio kimaandiko matakatifu.

Majibu yako wazi haswa kwenye Bible ila kwasababu unaongelea general view za walimwengu, acha nipite pembeni.
 
Unataka kum challenge Mungu? unashindwa kuli challenge jiwe linavyoboronga na kufukarisha watu unakuja mbio kum challenge Mungu?

Nadhani nilionya mapema tu kwamba kama unajijua Wewe Kichwani ' hazipo ' na ' hazikutoshi ' tafadhali usichangie huu ' Uzi ' matokeo yake naona umeleta ' pua ' yako hapa. Siku za Jumapili huwa sipendi kuwajibuni vibaya ila nadhani utanilazimisha niuvunje rasmi huu utaratibu halafu hutofurahia. Shauri yako!
 
Mungu hapatikani kwenye logical and critical thinking Mungu anapatikana kwenye spiritual awakening.

Maana yeye ni roho na sio physical being. Sasa sisi binadamu tunamtafuta na kumquestion in a physical being ambako hayupo huko. Muhimu ni kuingia rohoni na kumsaka zaidi, anapatikana huko sababu yeye ni omnipresent. He is divine energy.

Ndio maana kiranga anawagaraza watu wa Dini sababu yeye ana argues akibase zaidi kwenye physical kwenye facts, logic and rational rather than spiritual realms the truest of all truth.
 
Acheni Mwenyezi Mungu aitwe Mwenye Enzi Mungu!
Unazaliwa hujui ulikotoka na unakufa hujui unako enda!
Wanaomuamini well and gr8!
Wasio mwamini nao pia gr8!
Dini kuu ni AMANI, BUSARA NA UPENDO thats all!
 
Acheni Mwenyezi Mungu aitwe Mwenye Enzi Mungu!
Unazaliwa hujui ulikotoka na unakufa hujui unako enda!
Wanaomuamini well and gr8!
Wasio mwamini nao pia gr8!
Dini kuu ni AMANI, BUSARA NA UPENDO thats all!

Hii ndiyo Critical Thinking na Logical Reasoning ambayo ninaitaka?
 
Kiimani na hata mahala pengi tu utawasikia Watu wakisema kwamba Mwenyezi Mungu hakosei, hajakosea na kwamba huwa hakosei na wengi wetu ama Kiuwoga au ' Kimbumbumbu ' tu au kwa kuwa wa ' hovyo hovyo ' katika Kufikiri tayari tumeshaaminishwa hivyo.

Sawa kama kweli Mungu hakosei sasa inakuwaje kila mara huwa tunaisikia hii Kauli ambayo nainukuu hapa " Hakuna Binadamu aliyekamilika chini ya Jua, Mwezi au Dunia hii ". Je hapa tushike lipi au tuelewe lipi?

Na kama Wote tunakiri kwamba Mwenyezi Mungu hakosei katika ' Uumbaji ' wake na Sisi Wanadamu ni mfano wake tosha iweje tena leo tunasema hadi kwa msisitizo kabisa kwamba Binadamu wote hatujakamilika?

Tujadili na Karibuni katika huu ' mjadala ' ambao nawahitaji tu wale ambao wamebarikiwa Critical Thinkig na Logical Reasing ya kutosha wachangie na nimetahadharisha mapema tu katika ' Headline ' kama unajijua au kujihisi huna huo uwezo tafadhali tusichoshane na pita zako tu mia.

Nawasilisha.
Akosei ndio na ameamua kutokumkamilisha binadamu kwa makusudi
 
Mungu hapatikani kwenye logical and critical thinking Mungu anapatikana kwenye spiritual awakening.

Maana yeye ni roho na sio physical being. Sasa sisi binadamu tunamtafuta na kumquestion in a physical being ambako hayupo huko. Muhimu ni kuingia rohoni na kumsaka zaidi, anapatikana huko sababu yeye ni omnipresent. He is divine energy.

Ndio maana kiranga anawagaraza watu wa Dini sababu yeye ana argues more physical than spiritual realms.
Kiranga
 
Kiimani na hata mahala pengi tu utawasikia Watu wakisema kwamba Mwenyezi Mungu hakosei, hajakosea na kwamba huwa hakosei na wengi wetu ama Kiuwoga au ' Kimbumbumbu ' tu au kwa kuwa wa ' hovyo hovyo ' katika Kufikiri tayari tumeshaaminishwa hivyo.

Sawa kama kweli Mungu hakosei sasa inakuwaje kila mara huwa tunaisikia hii Kauli ambayo nainukuu hapa " Hakuna Binadamu aliyekamilika chini ya Jua, Mwezi au Dunia hii ". Je hapa tushike lipi au tuelewe lipi?

Na kama Wote tunakiri kwamba Mwenyezi Mungu hakosei katika ' Uumbaji ' wake na Sisi Wanadamu ni mfano wake tosha iweje tena leo tunasema hadi kwa msisitizo kabisa kwamba Binadamu wote hatujakamilika?

Tujadili na Karibuni katika huu ' mjadala ' ambao nawahitaji tu wale ambao wamebarikiwa Critical Thinkig na Logical Reasing ya kutosha wachangie na nimetahadharisha mapema tu katika ' Headline ' kama unajijua au kujihisi huna huo uwezo tafadhali tusichoshane na pita zako tu mia.

Nawasilisha.
We jamaa unafurahisha sana Kwa kujiona your to intelligence kumbe hakuna kitu kichwani ,Ila Kwa kukusaidia tu mungu aliseme hakuna mtimilifu isipokua yeye tu na hata watakatifu walisema hivyo kumuusu mungu kuwa wewe pekee ndiyo mtimilifu hakuna mwingine kama wewe sasa ukitaka mungu afanye kiumbe kitimilifu basi itabidi amuumbe mungu sawa sawa na yeye
 
Mungu hapatikani kwenye logical and critical thinking Mungu anapatikana kwenye spiritual awakening.

Maana yeye ni roho na sio physical being. Sasa sisi binadamu tunamtafuta na kumquestion in a physical being ambako hayupo huko. Muhimu ni kuingia rohoni na kumsaka zaidi, anapatikana huko sababu yeye ni omnipresent. He is divine energy.

Ndio maana kiranga anawagaraza watu wa Dini sababu yeye ana argues more physical than spiritual realms.
Sasa mbona wanaoamini wanatolea mifano physically mfano viumbe,nk watoe spiritually ili watu wacriticise spiritually not otherwise
 
Sas mbona hili swali hao ma critical thinkers hawataweza kukujibu coz wata base kweny physical logic while "God " yupo more "spiritual" so yu can't explain God in logical instead in spiritual ways so lazima upate people with holly spirit kufanya nao mahojiano,,. Bt nnachoamin we are not perfect coz every thing happens for a reason
 
Back
Top Bottom