Kama tunaaminishwa kuwa Mungu hakosei inakuwaje hakuna kiumbe mkamilifu chini ya jua?

Kama tunaaminishwa kuwa Mungu hakosei inakuwaje hakuna kiumbe mkamilifu chini ya jua?

Kiimani na hata mahala pengi tu utawasikia Watu wakisema kwamba Mwenyezi Mungu hakosei, hajakosea na kwamba huwa hakosei na wengi wetu ama Kiuwoga au ' Kimbumbumbu ' tu au kwa kuwa wa ' hovyo hovyo ' katika Kufikiri tayari tumeshaaminishwa hivyo.

Sawa kama kweli Mungu hakosei sasa inakuwaje kila mara huwa tunaisikia hii Kauli ambayo nainukuu hapa " Hakuna Binadamu aliyekamilika chini ya Jua, Mwezi au Dunia hii ". Je hapa tushike lipi au tuelewe lipi?

Na kama Wote tunakiri kwamba Mwenyezi Mungu hakosei katika ' Uumbaji ' wake na Sisi Wanadamu ni mfano wake tosha iweje tena leo tunasema hadi kwa msisitizo kabisa kwamba Binadamu wote hatujakamilika?

Tujadili na Karibuni katika huu ' mjadala ' ambao nawahitaji tu wale ambao wamebarikiwa Critical Thinkig na Logical Reasing ya kutosha wachangie na nimetahadharisha mapema tu katika ' Headline ' kama unajijua au kujihisi huna huo uwezo tafadhali tusichoshane na pita zako tu mia.

Nawasilisha.
Hebu angalia tu..ndugu mliozaliwa na wazazi wamoja lakini mmoja no professor mwingine ni mwl wa shule ya msingi..je hapo kuna mlinganyo?

Hivyo hapa mungu amempa kila mja watu baraka zake kulingana na uwezo wa malaika mlinzi wake aliyepewa jukumu la kuwa naye hadi amalize safari yake hapa duniani..

Tungekuwa tumekamilika ama wote tungekuwa kama bill gates au Ronald au trump au matonya au mrema au G jelly..madhara yake sasa kusingekuwa na wakumsaidia mwenzake yaani bwana na mtumwa wasingekuwepo.

Na siyo wanadamu tu hata wanyama na mimea ya jamii moja siyo saw a..hebu angalia kule Serengeti dume moja la simba linavyojimilisha mademu kibao na ikiwezekana kuyapiga madume mengine..cc.chibu D.
 
Fafanua kwanza maana ya umri nijue unasemea umri upi? [emoji23] [emoji23]
Alaaaa kumbe huu ni mwezi wa sita ,ndio maana basi watoto mmejaa humu ,ngoja shule zifunguliwe tu tupumzike kidogo na utoto wenu.

Kingine nilichogundua unaona raha niki ku quote ,utaota leo kwa ku kwotiwa na Hance Mtanashati.
 
Alaaaa kumbe huu ni mwezi wa sita ,ndio maana basi watoto mmejaa humu ,ngoja shule zifunguliwe tu tupumzike kidogo na utoto wenu.

Kingine nilichogundua unaona raha niki ku quote ,utaota leo kwa ku kwotiwa na Hance Mtanashati.
Na kweli ngoja niendelee na kawaida Mimi mwanafunzi wa secondary maana Leo nimemquoti mtoto wa shetani live mtanamashati.. Sio siri nitaota ndoto mbaya sana.
 
Mungu hapatikani kwenye logical and critical thinking Mungu anapatikana kwenye spiritual awakening.

Maana yeye ni roho na sio physical being. Sasa sisi binadamu tunamtafuta na kumquestion in a physical being ambako hayupo huko. Muhimu ni kuingia rohoni na kumsaka zaidi, anapatikana huko sababu yeye ni omnipresent. He is divine energy.

Ndio maana kiranga anawagaraza watu wa Dini sababu yeye ana argues more physical kwenye facts, logic and rational than spiritual realms the truest of all truth.
Hongera sana.Nimependa udadavuaji wako.Wigo wako wa fikra ni mpana sana.

"Mungu ni suala la imani".
 
Hapa ndipo wengi mnapochengana na Mungu maana mnataka maswali yenu ya physical yajibiwe spiritually wakati hivi vitu vya physically vinaanzia rohoni kwanza. Je mnafahamu chochote juu ya spiritual revelation? Maana kabla ya kuja mwilini mna lolote mnalolijua juu ya supernatural world? Au mmeng'ang'ania tu kwenye physical world kwenye malogic na facts ya akina Aristotle kusiko na ukweli wowote kuhusu maisha ya rohoni?

Ni sawa na yai la kuku linapovunjika na nguvu ya kulivunja ikatokea nje basi huo ndio utakuwa mwisho wa uhai wa hilo yai..lakini nguvu la kulivunja hilo yai ikitokea ndani basi ndio mwanzo wa uhai na kifaranga utotolewa na maisha huanzia hapo. Je unaelewa kwanza nguvu ya ndani ya binadamu? Spiritual awakening? Huwezi kuelewa ndio maana unatumia logic and facts za physical world zisizo Na ukweli wala uhalisia.

Kwa vile huko mwilini zaidi... Nakushauri ujifunze spiritual arguments ili tutembee barabara moja.

Kiranga kawaharibu sana! Mnafuata tu mkumbo....mnakuwa wabishi na wajuaji msiojielewa.
Ubarikiwe sana_tena sana..!

Una nishati ya kutosha kabisa kuweza kushift_Hapakustahili Hapa.

We Duniani ni bahati Mbaya Tu.
 
Hongera sana.Nimependa udadavuaji wako.Wigo wako wa fikra ni mpana sana.

"Mungu ni suala la imani".
Shukrani mkuu!

Tusisite kuelimishana tukizungumzia zaidi the truest of all truth ambayo ni spiritual awakening. Tukijichanganya na kufuata zile ancient way of argument za akina Socratic method of argument tutachengana na Mungu maana Mungu hapatikani kule.

Viumbe wengine wote wanaishi rohoni isipokuwa sisi binadamu pekee ambao hadi tufe ndio officially tunaishi rohoni..hii inatupa shida maana tayari tumejilimit huku mwilini na kushindwa kufahamu mengi ya rohoni. Sasa zaidi tukiweka Na yale masocratic questioning method ndio tunavurugana kweli juu ya ukweli kuhusu Mungu.

But God is watching us in HD.
 
Ubarikiwe sana_tena sana..!

Una nishati ya kutosha kabisa kuweza kushift_Hapakustahili Hapa.

We Duniani ni bahati Mbaya Tu.
Umebarikiwa pia mkuu.

Binadamu sijui tumekuwaje zama hizi...sijui tunapata wapi ujasiri na haki ya kumock God this way?

Kweli Duniani panakaribia kunishinda hakyamungu..! Bora nitoke huku mwilini niwe nishati ya Upendo huko Kwenye universe pwenye peace and eternal blissful state.
 
Ukuu wa Mungu hauhojiki.Mungu hakosei.Ata ukizaliwa ni kilema bado huo ndio ulikuwa mpango wake katika uumbaji.

Tunaposema binadamu si kamili hatuzungumziii maumbile au itilafu katika uumbaji.Tunamaanisha udhaifu wa binadamu katika matendo yake.Kwamba binadamu ata uwe mcha Mungu kiasi gani kuna siku utamkwaza Mungu.Tunaposoma biblia agano la kale tu tunaona ata Musa pamoja na kuaaminika na Mungu ila mwisho wa siku alikuja kumkosea Mungu na ndio maana hakuruhusiwa nchi ya ahadi.
 
Binadamu sijui tumekuwaje zama hizi...sijui tunapata wapi ujasiri na haki ya kumock God this way?

Haya maneno siyapendi basi tu ivi ni kwnini conclusion zenu mara nyingi waga zinaishia ivi na kwa staili hii vip kama mkitoa elimu na kuelewesha vizuri wale wanao wachallenge ili nao waelewe kama nyinyi hamuoni kama mtakuwa mmefanya la maana zaidi
 
Binadamu sijui tumekuwaje zama hizi...sijui tunapata wapi ujasiri na haki ya kumock God this way?

Haya maneno siyapendi basi tu ivi ni kwnini conclusion zenu mara nyingi waga zinaishia ivi na kwa staili hii vip kama mkitoa elimu na kuelewesha vizuri wale wanao wachallenge ili nao waelewe kama nyinyi hamuoni kama mtakuwa mmefanya la maana zaidi
Usiseme kiujumla binaadamu tumekuaje chunguza vizuri aina hao watu wana kitu kimoja chenye kufanana,ukishalijua hilo pengine utapata pa kuanzia kujua tatizo linaanzia wapi?
 
Usiseme kiujumla binaadamu tumekuaje chunguza vizuri aina hao watu wana kitu kimoja chenye kufanana,ukishalijua hilo pengine utapata pa kuanzia kujua tatizo linaanzia wapi?
Mkuu mimi nimequote mtu ndo mana nimetenganishavizo pragraph ukifatiloa vizuri utaelewa broo
 
Umebarikiwa pia mkuu.

Binadamu sijui tumekuwaje zama hizi...sijui tunapata wapi ujasiri na haki ya kumock God this way?

Kweli Duniani panakaribia kunishinda hakyamungu..! Bora nitoke huku mwilini niwe nishati ya Upendo huko Kwenye universe pwenye peace and eternal blissful state.
Ni amnisia Tu.

Mtazamo kama wako ni nishati iliyo LuLu sana katika ulimwengu huu

Na ni faraja sana kwa walio mfano kama wako.

'Usivunjike Moyo Tupo Wengi'

Na bado na Ndugu zetu wengine wengi wanapambania hilo

Endelea kuwaimara na kuwaimarisha.

Kwasababu ni zawadi iliyo ya pekee sana_Ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom