Kama tunaaminishwa kuwa Mungu hakosei inakuwaje hakuna kiumbe mkamilifu chini ya jua?

Kama tunaaminishwa kuwa Mungu hakosei inakuwaje hakuna kiumbe mkamilifu chini ya jua?

Ni amnisia Tu.

Mtazamo kama wako ni nishati iliyo LuLu sana katika ulimwengu huu

Na ni faraja sana kwa walio mfano kama wako.

'Usivunjike Moyo Tupo Wengi'

Na bado na Ndugu zetu wengine wengi wanapambania hilo

Endelea kuwaimara na kuwaimarisha.

Kwasababu ni zawadi iliyo ya pekee sana_Ubarikiwe.
Mkuu una uhakika gani na haya unayoyasema na unaweza kukidhihirisha hiki ukisemacho ili na wengine wapate kusadiki au ndo ule ule mwendelezo wa vitisho tu!!!!
 
Ukuu wa Mungu hauhojiki.Mungu hakosei.Ata ukizaliwa ni kilema bado huo ndio ulikuwa mpango wake katika uumbaji.

Tunaposema binadamu si kamili hatuzungumziii maumbile au itilafu katika uumbaji.Tunamaanisha udhaifu wa binadamu katika matendo yake.Kwamba binadamu ata uwe mcha Mungu kiasi gani kuna siku utamkwaza Mungu.Tunaposoma biblia agano la kale tu tunaona ata Musa pamoja na kuaaminika na Mungu ila mwisho wa siku alikuja kumkosea Mungu na ndio maana hakuruhusiwa nchi ya ahadi.
Mkuu ivi Mungu anaitaji asihojike ndo awe Mungu yani watu msijiulize ndo anakuwa Mungu kwa iyo Mungu akihojika uyo si Mungu aseeeh very interested story

Kwamba Mungu anaitaji asihojike asifikiriwe asiulizwe ndo anakuwa Mungu and vice versa is true
 
Mkuu una uhakika gani na haya unayoyasema na unaweza kukidhihirisha hiki ukisemacho ili na wengine wapate kusadiki au ndo ule ule mwendelezo wa vitisho tu!!!!
Mmeshaanza mambo yenu ya kutaka uthibitisho kwa manjia yenu ya mafalsafa ya wale wa kale waliokuwa wanataka hadi wapeane mkono na Mungu ndio waamini yupo.

Na kwa vile umebase more physically ndio maana unauliza maswali yako ya physical yanayotaka uthibitisho wa kimwili but God works in spiritual realm..Mungu ni nishati. Ili uweze kumthibitisha sharti uwe mtu wa rohoni sana. Ulishawai kufanya deep meditation and yoga before?

Apparently, sidhani kama unaweza kupewa uthibitisho wa rohoni kirahisi na mtu humu JF..juhudi zako zinahitajika sana kufikia level ya spiritual awakening..uyaone mengi yatayokuthibitshia uwepo na uweza wa Mungu. Unless shikilia msimamo wako tu ulionao sasa.
 
Mmeshaanza mambo yenu ya kutaka uthibitisho kwa manjia yenu ya mafalsafa ya wale wa kale waliokuwa wanataka hadi wapeane mkono na Mungu ndio waamini yupo.

Na kwa vile umebase more physically ndio maana unauliza maswali yako ya physical yanayotaka uthibitisho wa kimwili but God works in spiritual realm..Mungu ni nishati. Ili uweze kumthibitisha sharti uwe mtu wa rohoni sana. Ulishawai kufanya deep meditation and yoga before?

Apparently, sidhani kama unaweza kupewa uthibitisho wa rohoni kirahisi na mtu humu JF..juhudi zako zinahitajika sana kufikia level ya spiritual awakening..uyaone mengi yatayokuthibitshia uwepo na uweza wa Mungu. Unless shikilia msimamo wako tu ulionao sasa.
Nakuelewa sana humble african ila kuna kitu kimoja unakosea sana Mungu in spritual way sawa, bt viumbe wake anaotaka wamuabudu katuweka ini phsical way je huoni ukakasi apo mkuu kisha binaadamu ndo mfano wa Mungu yani alimuumba kwa kujifananisha na yeye??? dadafua apa bwana Humble!!!
 
Mkuu una uhakika gani na haya unayoyasema na unaweza kukidhihirisha hiki ukisemacho ili na wengine wapate kusadiki au ndo ule ule mwendelezo wa vitisho tu!!!!
Uhakika wa haya ni mpaka uzaliwe mara ya pili_we unaweza?
 
Nakuelewa sana humble african ila kuna kitu kimoja unakosea sana Mungu in spritual way sawa, bt viumbe wake anaotaka wamuabudu katuweka ini phsical way je huoni ukakasi apo mkuu kisha binaadamu ndo mfano wa Mungu yani alimuumba kwa kujifananisha na yeye??? dadafua apa bwana Humble!!!
Mkuu ankai kama kuna viumbe ambao hata malaika walikuwa wanatuonea donge ni sisi binadamu maana sisi ndio viumbe pekee tuliobarikiwa kuishi mwilini na rohoni kwa wakati mmoja. Ila hakuna malaika aliwahi kuonja mwili huu wa damu na nyama. Kwa hiyo kuhisi in physical form ni Baraka kwetu sisi binadamu.

Pia anaposema ametuumba kwa mfano wake ni kwa sababu yeye ni nishati na sisi ni nishati. Hivyo sisi tumebarikiwa maana tuna source of our energy ambae ni yeye master of the people. Hakuna maana nyingine zaidi ya hapo.

Let's give him thanks and praises mkuu.
 
Mkuu ankai kama kuna viumbe ambao hata malaika walikuwa wanatuonea donge ni sisi binadamu maana sisi ndio viumbe pekee tuliobarikiwa kuishi mwilini na rohoni kwa wakati mmoja. Ila hakuna malaika aliwahi kuonja mwili huu wa damu na nyama. Kwa hiyo kuhisi in physical form ni Baraka kwetu sisi binadamu.

Pia anaposema ametuumba kwa mfano wake ni kwa sababu yeye ni nishati na sisi ni nishati. Hivyo sisi tumebarikiwa maana tuna source of our energy ambae ni yeye master of the people. Hakuna maana nyingine zaidi ya hapo.

Let's give him thanks and praises mkuu.
Kwa iyo sisi tuna nguvu na akili kuliko hawa kina malaika na kina shetani mkuu??
 
Mkuu nazan humble african anaweza kutusaidia jibu la apa
Swali lako kwangu lina majibu katika maelezo mengi tu aliyoitoa Humble.

Nawe pia umekiri unamuelewa sana Humble_na tena ukaendelea kuniuliza na mimi.! Uhakika wa haya niyasemayo.! kama labda yalikuwa Hoja.....Nikashangaa!
 
In Reasoning. We have natural science und we have meta science. In these two we never see God but The BEING ITSELF. THE UNCAUSER CAUSE, THE OMNIPOTENT. OMNIPRESENT, THE I AM WHO IAM.

So with faith and revelation we now talk about this „THE OMNIPRESENT „ as God. When we see creation we look for the Creator who himself is not created. Rom:1:20. the one created can never be the creator but in a human language „co creator“ . This created being live and die. But he has been given will and intelligence as differentiated to other living animals. Our will and mind give us licence and freedom to choose, the choosing ....... itaendelea. Ila msisahau Imani tu Imani tu Yaelewaaaaa
 
Kwa iyo sisi tuna nguvu na akili kuliko hawa kina malaika na kina shetani mkuu??
Its not about power....Hao malaika hawajahi kuishi mwilini. Huu ndio uspecial wetu sisi binadamu, wao hawajawahi kuonja food wala emotions ya body excitement.

Kuna kitu hujaelewa mkuu..au ndio unataka tubishane tu for no reasons?
 
Hakuna binadamu aliekamilika hiyo kauli ni sawa na hii ya "mgaa gaa na upwa hali wali mkavu" zote hizi ni kauli za wahenga tu.Hivyo zipuuze tu!

Mungu katuumba kwa ukamilifu mkubwa saana maana kama matako angeyaweka kifuani tungesema kakosea sababu hatuwezi kukaa comfortably but akayaweka pale nyuma yakiwa na nyama nyama mfano wa spongy sehemu sahihi kabisa ili tukae comfortably na tukiona anayo mbebe tunamsifu kwa kuyaita "Neema za Allah " tuyaite msambwanda kwa lugha za majanki.

God is the best designer ever.
Best designer wakati viumbe vyake ni vidhaifu kupitiliza? Baada ya kuumba alisema"tazama kila kilichoumbwa ni chema", all of a sudden hicho kitu chema kimekuwa dhaifu kuliko maelezo.
 
Swali lako kwangu lina majibu katika maelezo mengi tu aliyoitoa Humble.

Nawe pia ukakiri unamuelewa sana Humble_na tena ukaendelea kuniuliza na mimi.! Uhakika wa haya niyasemayo.! kama labda yalikuwa Hoja.....Nikashangaa!
Uyu Humble nimemwambia namuelewa kwa maneno uake mengi anayoyasema yani maandishi meeengi lkn fact zinakosekana ndo mana nikamuuliza kama anaweza kuthibitisha aakshindwa akaishia kuniambia kuwa inabidi niingie kwenye imagnation ndo ntamuona mungu sasa wewe ulivyo changia ndo nkakuuliza mkuu unaweza kuyadhihirisha yale uliyo yasema???
 
Best designer wakati viumbe vyake ni vidhaifu kupitiliza? Baada ya kuumba alisema"tazama kila kilichoumbwa ni chema", all of a sudden hicho kitu chema kimekuwa dhaifu kuliko maelezo.
Humble african vip apa mkuu
 
Mkuu ivi Mungu anaitaji asihojike ndo awe Mungu yani watu msijiulize ndo anakuwa Mungu kwa iyo Mungu akihojika uyo si Mungu aseeeh very interested story

Kwamba Mungu anaitaji asihojike asifikiriwe asiulizwe ndo anakuwa Mungu and vice versa is true
Suala la Mungu ni la kiimani.Ama uchague kuamini uwepo wake ama uchague kuamini vitu unavyopenda wewe.

Ukianza kuhoji masuala ya Mungu utaishia kuchanganyikiwa kama Kiranga.Mungu alikuwepo kabla yako na ata ukifa ataendelea kuwepo.
 
Kiimani na hata mahala pengi tu utawasikia Watu wakisema kwamba Mwenyezi Mungu hakosei, hajakosea na kwamba huwa hakosei na wengi wetu ama Kiuwoga au ' Kimbumbumbu ' tu au kwa kuwa wa ' hovyo hovyo ' katika Kufikiri tayari tumeshaaminishwa hivyo.

Sawa kama kweli Mungu hakosei sasa inakuwaje kila mara huwa tunaisikia hii Kauli ambayo nainukuu hapa " Hakuna Binadamu aliyekamilika chini ya Jua, Mwezi au Dunia hii ". Je hapa tushike lipi au tuelewe lipi?

Na kama Wote tunakiri kwamba Mwenyezi Mungu hakosei katika ' Uumbaji ' wake na Sisi Wanadamu ni mfano wake tosha iweje tena leo tunasema hadi kwa msisitizo kabisa kwamba Binadamu wote hatujakamilika?

Tujadili na Karibuni katika huu ' mjadala ' ambao nawahitaji tu wale ambao wamebarikiwa Critical Thinkig na Logical Reasing ya kutosha wachangie na nimetahadharisha mapema tu katika ' Headline ' kama unajijua au kujihisi huna huo uwezo tafadhali tusichoshane na pita zako tu mia.

Nawasilisha.
Ni kweli hatujakamilika, na siyo makosa kwamba hatujakamilika, bali kwa makusudi kabisa Mungu ametuumba hivyo. Na hill limethibitishwa katika Zaburi 8 hususan 8:4-5.
 
God is the best designer ever.
Hivi kwa nini aliamua tundu mbili za pua zetu zielekee chini wakati tumesimama huku akijua kabisa chini kuna vumbi na kwa 'bouyancy rule' hewa inayopanda inaweza kuingiza vumbi hilo kwenye pua? (Hapa si kosoi uumbaji hata kidogo, na mimi nakubaliana na Humble African kuwa Mungu ni fundi sanifu mzuri kuliko kila kitu kuwahi kuwepo). Hili ni swali la udadisi tu...! Hivyo intel walioitwa hapa nisadie nielewe hili katika 'engineering design perspective' ama namna nyingine inayofaa bila kuhoji Uwezo wa Mungu.
 
Mimi sibishanagi huyu ni wazi anataka tubishane kwa Yale malogic na ma rhetoric ya akina Aristotle na Socratic wa kale.

Let's rest this case mkuu.
Mkuu si kubishana tunatakiwa kueleweshana sasa apo pana mdau kauliza huoni kuwa ni vyema kama ukilijibu swali lake Humble african
 
Back
Top Bottom