Kama tunaaminishwa kuwa Mungu hakosei inakuwaje hakuna kiumbe mkamilifu chini ya jua?

Kama tunaaminishwa kuwa Mungu hakosei inakuwaje hakuna kiumbe mkamilifu chini ya jua?

Tujadili na Karibuni katika huu ' mjadala ' ambao nawahitaji tu wale ambao wamebarikiwa Critical Thinkig na Logical Reasing ya kutosha wachangie na nimetahadharisha mapema tu katika ' Headline ' kama unajijua au kujihisi huna huo uwezo tafadhali tusichoshane na pita zako tu mia.

Kwa paragraph hii umefunga watu wenye hoja zenye mashiko kwa kujinasibu kuwa unahitaji hoja zinazofanana na jinsi ambavyo mara nyingi umekuwa ukijiuza. Utafiti mzuri haubagui, bali hujikita kwenye kuchambua hoja zinazotoka vyanzo mbalimbali wakati mwingine bila kujali ni nani katoa hoja.


Pia, kumbuka some of the great philosophers and inventors ktk dunia hii, waliwahi kuwa "reject" somewhere else.
 
Aristotle baba wa logic, alishindwa na hakusema Mungu kakosea katika uumbaji, waliosoma metaphysics katika "teleology "principle of design Mungu hajakosea ila ni maupunguvu tu ya binadamu na uhuru wake
 
Kukosea ni utashi wa mwanadamu, sio suala la muumba.
Ndio maana binadamu tuna tabia tofauti, Mungu alimuumba mtu na kumpa rational mind aamue kufanya jema au baya. Binadamu hawajawa programmed kufanya matendo yanafanana na hapo ndipo mapungufu yanapokuja. Tawaweza hoji mapungufu ya kuzaliwa nayo ambayo huathiri tabia ya mhusika.

Siwezi mlaumu mtengeneza compyuta kisa komputa yangu imepata virus, kwa sababu virus wameingia kutokana na maamuzi yangu ya kupendelea software au data fulani!
 
Mungu hapatikani kwenye logical and critical thinking Mungu anapatikana kwenye spiritual awakening.

Maana yeye ni roho na sio physical being. Sasa sisi binadamu tunamtafuta na kumquestion in a physical being ambako hayupo huko. Muhimu ni kuingia rohoni na kumsaka zaidi, anapatikana huko sababu yeye ni omnipresent. He is divine energy.

Ndio maana kiranga anawagaraza watu wa Dini sababu yeye ana argues more physical kwenye facts, logic and rational than spiritual realms the truest of all truth.
Kila nikisoma biblia nabaki na maswali mengi kuliko majibu!
 
Kila nikisoma biblia nabaki na maswali mengi kuliko majibu!
Kana kumbuka "God has no religion" the issue is to believe on its existence only.

Sio biblia tu hata ukisoma Quran au Shinto holy book zina mianya mingi wanayoitumia akina kiranga kugaragazia watu.

Be God centred-person and not religious oriented.

The truth is God exist.
 
UWEZO NA UKUU WA MUNGU
Kwakua umeniuliza mimi ambaye ni binadamu na ambaye nina mipaka katika ufahamu na ukashindwa kumuuliza Mungu kwakua unahisi yupo mbali au labda Hayupo.

Basi acha nikujibu Tu kwa ufupi kuwa_'swali lako ni Gumu'.

Na ugumu wake si katika kulijibu bali ni katika 'wewe kupokea' Jibu.

Unajua nikwambie kitu..ambacho hata walio wengi wa wapinga uwepo wa Mungu(maana si wote) wanakosea,

Ni kumuuliza mtu mwenye kuamini Mungu juu ya ukuu na uweza wa Mungu..!

Yaani Ni kama kumuuliza Njiwa, hivi wewe ndege..'unawezaje kuruka'. sijui utategemea akijibu vipi.!?

Kwakuwa kila kimzungukacho mwenye kuamini Mungu ni udhihirisho wa ukuu na uweza wake.

Hivyo ni lazima yeye akushangae wewe unashindwaje kuliona Hilo.! Na astaajabie kiwango cha uelewa wako.

Si kwamba nakutusi,najaribu tu kueleza kile kinachotokea kwa upande wetu sisi tunaoamini.

Kwakua pia ndio msingi kwa wapinga Mungu kwenye kupima uelewa wetu na kutuona tu wavivu na tunaoridhishwa Ovyo tu na vitu tuvionavyo.

Hivyo unaona ni kama watu tunaoishi sayari mbili tofauti.

Na pia la kuongezea_Ni kuwa swali ulipolijenga Tu Tayari lisha eleza pia kiwango chako cha ufahamu wa mambo ya kiroho

Ni swali linaloulizwa na watoto wachanga kiroho mapema sana katika kujifunza kwao juu Mungu

'Yaani ni kama wewe ulivyo na mimi na nikuulize..ivi raisi wa awamu ya kwanza ivi ni nani vile'..? Kwa umri ulionao

Halafu nitegemee jibu kutoka kwako bila shaka kuwa labda nakupima uelewa wako_na lazima uwe shuku juu ya uelewa wangu au sio.

Na mwenye kukujibu inatakiwa awe na Moyo sana kwakuwa linakatisha tamaa.si kwamba jibu hamna ila namna ya kujibu na mshangao wa mtu kushindwa kulijua hilo

NB_Nimetoa maelezo machache kwa kuwa nimependa tu kujaribu kuelezea bila kujali kama unauliza kwa kuwa hujui Tu au ni Dhihaka ya kuangalia ni kiasi gani Tunaneng'eneka kwenye ufafanuzi.!
 
TENA ZAIDI ZAIDI NI UKUU NA UPENDO
Upendo.!? Labda ungefafanua zaidi kama vile labda unavyoona mabaya ni Mengi

Hivyo una wasiwasi juu ya upendo wa Mungu au ni vipi kivingine!?
 
Kana kumbuka "God has no religion" the issue is to believe on its existence only.

Sio biblia tu hata ukisoma Quran au Shinto holy book zina mianya mingi wanayoitumia akina kiranga kugaragazia watu.

Be God centred-person and not religious oriented.

The truth is God exist.
Trust me, I'm not an atheist!

Ninaamini uwepo wa Mungu kama nguvu kubwa iliyo umba ulimwengu na vilivyomo.

Tatizo ni pale ninapofungua vitabu vitakatifu vinavyosemekana kua neno la Mungu then nakutana na vitu vyenye kuleta mkanganyiko kuliko suluhu!

Mkuu, naamini Mungu ana mfumo wake (DINI) ambao anaendesha mambo yake kwa taratibu zake, na ni muhimu binadamu kufuata mfumo huo. Kama vile software kwenye kifaa cha kielektroniki.

Sasa sijaelewa unaponiambia nisiwe religion centred mkuu!
 
Mungu hapatikani kwenye logical and critical thinking Mungu anapatikana kwenye spiritual awakening.

Maana yeye ni roho na sio physical being. Sasa sisi binadamu tunamtafuta na kumquestion in a physical being ambako hayupo huko. Muhimu ni kuingia rohoni na kumsaka zaidi, anapatikana huko sababu yeye ni omnipresent. He is divine energy.

Ndio maana kiranga anawagaraza watu wa Dini sababu yeye ana argues more physical kwenye facts, logic and rational than spiritual realms the truest of all truth.
mkuu nilikua sina uhakika kama nimeku-follow but today nimehakikisha nikakuta sijakufollow so soon utaona notification yangu....keep it up...you're a truly G.THINKER
 
Trust me, I'm not an atheist!

Ninaamini uwepo wa Mungu kama nguvu kubwa iliyo umba ulimwengu na vilivyomo.

Tatizo ni pale ninapofungua vitabu vitakatifu vinavyosemekana kua neno la Mungu then nakutana na vitu vyenye kuleta mkanganyiko kuliko suluhu!

Mkuu, naamini Mungu ana mfumo wake (DINI) ambao anaendesha mambo yake kwa taratibu zake, na ni muhimu binadamu kufuata mfumo huo. Kama vile software kwenye kifaa cha kielektroniki.

Sasa sijaelewa unaponiambia nisiwe religion centred mkuu!
Kwa hiyo kwa ujumla msimamo wako ukoje mkuu juu ya Dini na Mungu?
 
Kwakua umeniuliza mimi ambaye ni binadamu na ambaye nina mipaka katika ufahamu na ukashindwa kumuuliza Mungu kwakua unahisi yupo mbali au labda Hayupo.

Basi acha nikujibu Tu kwa ufupi kuwa_'swali lako ni Gumu'.

Na ugumu wake si katika kulijibu bali ni katika 'wewe kupokea' Jibu.

Unajua nikwambie kitu..ambacho hata walio wengi wa wapinga uwepo wa Mungu(maana si wote) wanakosea,

Ni kumuuliza mtu mwenye kuamini Mungu juu ya ukuu na uweza wa Mungu..!

Yaani Ni kama kumuuliza Njiwa, hivi wewe ndege..'unawezaje kuruka'. sijui utategemea akijibu vipi.!?

Kwakuwa kila kimzungukacho mwenye kuamini Mungu ni udhihirisho wa ukuu na uweza wake.

Hivyo ni lazima yeye akushangae wewe unashindwaje kuliona Hilo.! Na astaajabie kiwango cha uelewa wako.

Si kwamba nakutusi,najaribu tu kueleza kile kinachotokea kwa upande wetu sisi tunaoamini.

Kwakua pia ndio msingi kwa wapinga Mungu kwenye kupima uelewa wetu na kutuona tu wavivu na tunaoridhishwa Ovyo tu na vitu tuvionavyo.

Hivyo unaona ni kama watu tunaoishi sayari mbili tofauti.

Na pia la kuongezea_Ni kuwa swali ulipolijenga Tu Tayari lisha eleza pia kiwango chako cha ufahamu wa mambo ya kiroho

Ni swali linaloulizwa na watoto wachanga kiroho mapema sana katika kujifunza kwao juu Mungu

'Yaani ni kama wewe ulivyo na mimi na nikuulize..ivi raisi wa awamu ya kwanza ivi ni nani vile'..? Kwa umri ulionao

Halafu nitegemee jibu kutoka kwako bila shaka kuwa labda nakupima uelewa wako_na lazima uwe shuku juu ya uelewa wangu au sio.

Na mwenye kukujibu inatakiwa awe na Moyo sana kwakuwa linakatisha tamaa.si kwamba jibu hamna ila namna ya kujibu na mshangao wa mtu kushindwa kulijua hilo

NB_Nimetoa maelezo machache kwa kuwa nimependa tu kujaribu kuelezea bila kujali kama unauliza kwa kuwa hujui Tu au ni Dhihaka ya kuangalia ni kiasi gani Tunaneng'eneka kwenye ufafanuzi.!
Nadhani utakuwa umeelewa kwanini nimekupa like
 
Kwakua umeniuliza mimi ambaye ni binadamu na ambaye nina mipaka katika ufahamu na ukashindwa kumuuliza Mungu kwakua unahisi yupo mbali au labda Hayupo.

Basi acha nikujibu Tu kwa ufupi kuwa_'swali lako ni Gumu'.

Na ugumu wake si katika kulijibu bali ni katika 'wewe kupokea' Jibu.

Unajua nikwambie kitu..ambacho hata walio wengi wa wapinga uwepo wa Mungu(maana si wote) wanakosea,

Ni kumuuliza mtu mwenye kuamini Mungu juu ya ukuu na uweza wa Mungu..!

Yaani Ni kama kumuuliza Njiwa, hivi wewe ndege..'unawezaje kuruka'. sijui utategemea akijibu vipi.!?

Kwakuwa kila kimzungukacho mwenye kuamini Mungu ni udhihirisho wa ukuu na uweza wake.

Hivyo ni lazima yeye akushangae wewe unashindwaje kuliona Hilo.! Na astaajabie kiwango cha uelewa wako.

Si kwamba nakutusi,najaribu tu kueleza kile kinachotokea kwa upande wetu sisi tunaoamini.

Kwakua pia ndio msingi kwa wapinga Mungu kwenye kupima uelewa wetu na kutuona tu wavivu na tunaoridhishwa Ovyo tu na vitu tuvionavyo.

Hivyo unaona ni kama watu tunaoishi sayari mbili tofauti.

Na pia la kuongezea_Ni kuwa swali ulipolijenga Tu Tayari lisha eleza pia kiwango chako cha ufahamu wa mambo ya kiroho

Ni swali linaloulizwa na watoto wachanga kiroho mapema sana katika kujifunza kwao juu Mungu

'Yaani ni kama wewe ulivyo na mimi na nikuulize..ivi raisi wa awamu ya kwanza ivi ni nani vile'..? Kwa umri ulionao

Halafu nitegemee jibu kutoka kwako bila shaka kuwa labda nakupima uelewa wako_na lazima uwe shuku juu ya uelewa wangu au sio.

Na mwenye kukujibu inatakiwa awe na Moyo sana kwakuwa linakatisha tamaa.si kwamba jibu hamna ila namna ya kujibu na mshangao wa mtu kushindwa kulijua hilo

NB_Nimetoa maelezo machache kwa kuwa nimependa tu kujaribu kuelezea bila kujali kama unauliza kwa kuwa hujui Tu au ni Dhihaka ya kuangalia ni kiasi gani Tunaneng'eneka kwenye ufafanuzi.!
Waga nafurahi tunapofikia sehemu tukakubaliana kama ivi ndo mana nimekupa like
 
Back
Top Bottom