Kama tunaaminishwa kuwa Mungu hakosei inakuwaje hakuna kiumbe mkamilifu chini ya jua?

Kama tunaaminishwa kuwa Mungu hakosei inakuwaje hakuna kiumbe mkamilifu chini ya jua?

Kwa ufahamu huu, tayari umekili ukamilifi ambao unatakiwa kuwepo. Yaani Mungu mwenyewe aliye mkamilifu. Basi Mungu ndiye.
 
Kiimani na hata mahala pengi tu utawasikia Watu wakisema kwamba Mwenyezi Mungu hakosei, hajakosea na kwamba huwa hakosei na wengi wetu ama Kiuwoga au ' Kimbumbumbu ' tu au kwa kuwa wa ' hovyo hovyo ' katika Kufikiri tayari tumeshaaminishwa hivyo.

Sawa kama kweli Mungu hakosei sasa inakuwaje kila mara huwa tunaisikia hii Kauli ambayo nainukuu hapa " Hakuna Binadamu aliyekamilika chini ya Jua, Mwezi au Dunia hii ". Je hapa tushike lipi au tuelewe lipi?

Na kama Wote tunakiri kwamba Mwenyezi Mungu hakosei katika ' Uumbaji ' wake na Sisi Wanadamu ni mfano wake tosha iweje tena leo tunasema hadi kwa msisitizo kabisa kwamba Binadamu wote hatujakamilika?

Tujadili na Karibuni katika huu ' mjadala ' ambao nawahitaji tu wale ambao wamebarikiwa Critical Thinkig na Logical Reasing ya kutosha wachangie na nimetahadharisha mapema tu katika ' Headline ' kama unajijua au kujihisi huna huo uwezo tafadhali tusichoshane na pita zako tu mia.

Nawasilisha.
Wanadamu hawajakamilika kutokana na choices..... Mungu amewapa uhuru wa kufanya mema au mabaya.... kwa upande mwingine sisi tunakuwa na weakness ambazo zinatufanya tusikamilike..
 
Kwa hiyo mkuu unataka tujadili mapungufu ya Mungu ama mapungufu ya binadamu ambao ndiyo wanasema sisi binadamu tuna mapungufu...
Kwanza kama kuna maandiko maandiko yoyote yale ambayo yanasema sisi binadamu tuna mapungufu ningependa kushirikishwa..
Pili kama una amini katika biblia na maandiko yake jibu ni rahisi tu. Binadamu wa kwanza aikuwa ni Adamu pekee ambaye Mungu alimuumba bila mapungufu yoyote.. Hawa aliyefuatia alitoka kwa huyu Adamu na wengine wote tukafuatia kutoka kwa binadamu wenzetu..
Kumbuka pia Hawa kwa sababu hakuwa na 100% kutoka kwa Muumba alidanganyika kwa yule nyoka pale Eden kuanzia hapo kila kitu kilibadilika na Muumba alituacha tuwe na uwezo wa kutambua mema na mabaya na ndipo dhana ya mapungufu yetu inakotoka.
 
Kiimani na hata mahala pengi tu utawasikia Watu wakisema kwamba Mwenyezi Mungu hakosei, hajakosea na kwamba huwa hakosei na wengi wetu ama Kiuwoga au ' Kimbumbumbu ' tu au kwa kuwa wa ' hovyo hovyo ' katika Kufikiri tayari tumeshaaminishwa hivyo.

Sawa kama kweli Mungu hakosei sasa inakuwaje kila mara huwa tunaisikia hii Kauli ambayo nainukuu hapa " Hakuna Binadamu aliyekamilika chini ya Jua, Mwezi au Dunia hii ". Je hapa tushike lipi au tuelewe lipi?

Na kama Wote tunakiri kwamba Mwenyezi Mungu hakosei katika ' Uumbaji ' wake na Sisi Wanadamu ni mfano wake tosha iweje tena leo tunasema hadi kwa msisitizo kabisa kwamba Binadamu wote hatujakamilika?

Tujadili na Karibuni katika huu ' mjadala ' ambao nawahitaji tu wale ambao wamebarikiwa Critical Thinkig na Logical Reasing ya kutosha wachangie na nimetahadharisha mapema tu katika ' Headline ' kama unajijua au kujihisi huna huo uwezo tafadhali tusichoshane na pita zako tu mia.

Nawasilisha.
Wewe na wale wliosema binadamu ametokana na nyani, hamna utofauti, kiukweli kiburi cha uzima ni mbaya sna.
 
Hakuna binadamu aliekamilika hiyo kauli ni sawa na hii ya "mgaa gaa na upwa hali wali mkavu" zote hizi ni kauli za wahenga tu.Hivyo zipuuze tu!

Mungu katuumba kwa ukamilifu mkubwa saana maana kama matako angeyaweka kifuani tungesema kakosea sababu hatuwezi kukaa comfortably but akayaweka pale nyuma yakiwa na nyama nyama mfano wa spongy sehemu sahihi kabisa ili tukae comfortably na tukiona anayo mbebe tunamsifu kwa kuyaita "Neema za Allah " tuyaite msambwanda kwa lugha za majanki.

God is the best designer ever.
Unawazungumziaje watu waliozaliwa na hormone imbalance , unazungumziaje mapacha walioungana ,unazungumziaje watu waliozaliwa na viungo nusu nusu ,unazungumziaje watu walio zaliwa na jinsia mbili kwa pamoja?
 
Nadhani nilionya mapema tu kwamba kama unajijua Wewe Kichwani ' hazipo ' na ' hazikutoshi ' tafadhali usichangie huu ' Uzi ' matokeo yake naona umeleta ' pua ' yako hapa. Siku za Jumapili huwa sipendi kuwajibuni vibaya ila nadhani utanilazimisha niuvunje rasmi huu utaratibu halafu hutofurahia. Shauri yako!
We ni me au ke?
 
Mkuu Gentamycin ngoja tu nikudaie , Yesu anasema haya," nakushukuru Mungu kwasababu mambo haya uliwaficha wenye akili na hekima ukawafunulia watoto wadogo " mstari utapewa ila maneno hayo yapo kabisa. Kwa maana hiyo Mungu hujifunua zaidi kwa wenye imani, kumbuka mtoto mdogo hana akili wala critical thinking and logical reasoning
 
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. mwanzo 1:26
Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema Bwana.
Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.isaya 55:9-10
 
Unawazungumziaje watu waliozaliwa na hormone imbalance , unazungumziaje mapacha walioungana ,unazungumziaje watu waliozaliwa na viungo nusu nusu ,unazungumziaje watu walio zaliwa na jinsia mbili kwa pamoja?
Hapa ndipo wengi mnapochengana na Mungu maana mnataka maswali yenu ya physical yajibiwe spiritually wakati hivi vitu vya physically vinaanzia rohoni kwanza. Je mnafahamu chochote juu ya spiritual revelation? Maana kabla ya kuja mwilini mna lolote mnalolijua juu ya supernatural world? Au mmeng'ang'ania tu kwenye physical world kwenye malogic na facts ya akina Aristotle kusiko na ukweli wowote kuhusu maisha ya rohoni?

Ni sawa na yai la kuku linapovunjika na nguvu ya kulivunja ikatokea nje basi huo ndio utakuwa mwisho wa uhai wa hilo yai..lakini nguvu la kulivunja hilo yai ikitokea ndani basi ndio mwanzo wa uhai na kifaranga utotolewa na maisha huanzia hapo. Je unaelewa kwanza nguvu ya ndani ya binadamu? Spiritual awakening? Huwezi kuelewa ndio maana unatumia logic and facts za physical world zisizo Na ukweli wala uhalisia.

Kwa vile huko mwilini zaidi... Nakushauri ujifunze spiritual arguments ili tutembee barabara moja.

Kiranga kawaharibu sana! Mnafuata tu mkumbo....mnakuwa wabishi na wajuaji msiojielewa.
 
unasema mwenye critical thinking ndo achangie, heading umeitumia kama defence mechanism kwa atakaye kupng bas hana critical thinking, inferiority complexity ndo inakuendesha, nilhc umebadilika wewe jamaa kumbe bado bichwa lako limejaa mabunda na pepeta. Mada yako ingekua nzur sana kama usingetia ujuaji wako wewe mkimbizi
 
Hapa ndipo wengi mnapochengana na Mungu maana mnataka maswali yenu ya physical yajibiwe spiritually wakati hivi vitu vya physically vinaanzia rohoni kwanza. Je mnafahamu chochote juu ya spiritual revelation? Maana kabla ya kuja mwilini mna lolote mnalolijua juu ya supernatural world? Au mmeng'ang'ania tu kwenye physical world kwenye malogic na facts ya akina Aristotle kusiko na ukweli wowote kuhusu maisha?

Ni sawa na yai la kuku linapovunjika na nguvu ya kulivunja ikatokea nje basi huo ndio utakuwa mwisho wa uhai wa hilo yai..lakini nguvu la kulivunja hilo yai ikitokea ndani basi ndio mwanzo wa uhai na kifaranga utotolewa na maisha huanzia hapo. Je unaelewa kwanza nguvu ya ndani ya binadamu? Spiritual awakening? Huwezi kuelewa ndio maana unatumia logic and facts za physical.

Kwa vile huko mwilini zaidi... Nakushauri ujifunze spiritual arguments ili tutembee barabara moja.

Kiranga kawaharibu sana! Mnafuata tu mkumbo wake....mnakuwa wabishi na wajuaji msiojielewa.
Wewe jamaa haujui unasimamia upande upi.

Huko juu umeanza kusema Mungu anaumba binadamu na hakosei kila kitu kinakaa mahala pake na ukatolea mfano makalio ,

Sasa hapo nimekutolea cases tofauti tofauti ambazo watu wanazaliwa wamekosewa.
 
Kiimani na hata mahala pengi tu utawasikia Watu wakisema kwamba Mwenyezi Mungu hakosei, hajakosea na kwamba huwa hakosei na wengi wetu ama Kiuwoga au ' Kimbumbumbu ' tu au kwa kuwa wa ' hovyo hovyo ' katika Kufikiri tayari tumeshaaminishwa hivyo.

Sawa kama kweli Mungu hakosei sasa inakuwaje kila mara huwa tunaisikia hii Kauli ambayo nainukuu hapa " Hakuna Binadamu aliyekamilika chini ya Jua, Mwezi au Dunia hii ". Je hapa tushike lipi au tuelewe lipi?

Na kama Wote tunakiri kwamba Mwenyezi Mungu hakosei katika ' Uumbaji ' wake na Sisi Wanadamu ni mfano wake tosha iweje tena leo tunasema hadi kwa msisitizo kabisa kwamba Binadamu wote hatujakamilika?

Tujadili na Karibuni katika huu ' mjadala ' ambao nawahitaji tu wale ambao wamebarikiwa Critical Thinkig na Logical Reasing ya kutosha wachangie na nimetahadharisha mapema tu katika ' Headline ' kama unajijua au kujihisi huna huo uwezo tafadhali tusichoshane na pita zako tu mia.

Nawasilisha.
Msemo wa hakuna aliyekamilika ni msemo wa kipagani. Kila binadamu ni mkamilifu mbele ya muumba ispokuwa kila mtu ni wa kipekee "unique". Hakuna anayeweza kufanana na mwingine kimaumbile, kitabia , hulka nk. Tunaposhindwa kuheshimu mpango wa Mungu wa kuumba watu tunaotofautiana nao ndipo tunatunga misemo kama hiyo
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Wewe jamaa haujui unasimamia upande upi.

Huko juu umeanza kusema Mungu anaumba binadamu na hakosei kila kitu kinakaa mahala pake na ukatolea mfano makalio ,

Sasa hapo nimekutolea cases tofauti tofauti ambazo watu wanazaliwa wamekosewa.
Sibishanagi kuhusiana na Dini.

Baki na msimamo wako..niache na msimamo wangu. Nasikitika kwa vile sina muda wa kuchezea.

Namuamini Mungu sana, na wewe endelea kutomuamini Mungu Sana. simple as that!
 
Back
Top Bottom