Uchaguzi 2020 Kama Tundu Lissu na Maalim Seif wana 'Mahaba' yao ya 'Kisiasa' wanayotuonyesha sasa kwanini hawakuwa sehemu Moja tu Kichama?

Uchaguzi 2020 Kama Tundu Lissu na Maalim Seif wana 'Mahaba' yao ya 'Kisiasa' wanayotuonyesha sasa kwanini hawakuwa sehemu Moja tu Kichama?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kila mara nakutana tu na 'Picha' zao wakiwa 'Wamekumbatiana' na naona kama vile Maalim Seif Sharrif Hamad ndiyo anapenda mno 'Kumkumbatia' Tundu Lissu ambaye nae pia huwa anaonyesha kabisa 'Kufurahia' vile 'anavyokumbatiwa' hasa mbele ya Kadamnasi. Nashauri tu Wiki ijayo Rais Dk. Magufuli akishinda Uchaguzi Mkuu ujao kwa 'Kishindo' kabisa hawa Wawili 'Wakikumbatie' tu Chama chao Kimoja.
 
Kila mara nakutana tu na 'Picha' zao wakiwa 'Wamekumbatiana' na naona kama vile Maalim Seif Sharrif Hamad ndiyo anapenda mno 'Kumkumbatia' Tundu Lissu ambaye nae pia huwa anaonyesha kabisa 'Kufurahia' vile 'anavyokumbatiwa' hasa mbele ya Kadamnasi. Nashauri tu Wiki ijayo Rais Dk. Magufuli akishinda Uchaguzi Mkuu ujao kwa 'Kishindo' kabisa hawa Wawili 'Wakikumbatie' tu Chama chao Kimoja.
Kuna mda unakuaga sio wewe kabisa, Unaweza kujipunguzia reputation kipumbavu kama hivi..! Kwani ukiandika vizuri tu thread ako unapungukiwa nini mkuu!?
......Shame on you mkuu!
 
Wakati mwingine, Gentamycine unakosa hoja . Ikiwa na hili andiko
Unataka 'Hoja' gani tena Mkuu hapo ( hapa ) wakati 'Hoja' ni jinsi 'Mpemba' wa Watu anavyojua 'Kumkumbatia' Mnyiramba Mbeleshi Kibashasha.
 
Wivu Sina Ila roho inauma nikiona watu wakimshangilia nani vile?
'Mwamba' Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Rais Mtarajiwa na Mshindi wa 'Kura' zote 29,188,347 kutoka Vituo 80,155 vya Kupigia 'Kura' hizo zote.
 
Kuna mda unakuaga sio wewe kabisa, Unaweza kujipunguzia reputation kipumbavu kama hivi..! Kwani ukiandika vizuri tu thread ako unapungukiwa nini mkuu!?
......Shame on you mkuu!
Fanya utafiti .
Watu wote waovu ,wanaopenda kudhulumu,rushwa, roho mbaya,wachawi, washirikina ,waongo, wasanii saniii, Wasioheshimu ndoa za watu n.k. ni CCM.
 
Kuna mda unakuaga sio wewe kabisa, Unaweza kujipunguzia reputation kipumbavu kama hivi..! Kwani ukiandika vizuri tu thread ako unapungukiwa nini mkuu!?
......Shame on you mkuu!
Kwani GENTAMYCINE kuwa CCM ni Dhambi 'Wapuuzi' nyie? Yaani mnakosa 'Akili' ndogo tu kujua kuwa hapa 'nakikampenia' Chama changu CCM?
 
..Zitto na Maalim hawakuwa na uhakika kama TL angerejea Tanzania.

..Wangekuwa na uhakika basi leo hii CUF-Maalim Seif, ACT, na CDM, wangekuwa wameshaungana.
'Thubutu' yako na acha kabisa 'Kuota' Mkuu. Hawa 'Wapinzani' kwa taarifa yako 'hawapendani' kabisa halafu Wote 'Mioyoni' ni 'Pro CCM' tupu tu.
 
Huwa una hoja leo una kiroja
Anyway ni haki yako na hujavunja sheria ila umejishushia heshima
Kwani nilivyojiunga hapa JF 2013 niliwaambia kuwa nahitaji Heshima? Juha wakubwa nyie kwahiyo ili niheshimike JF ni lazima niwe tu CHADEMA?
 
Moderator hasa wa jukwaa hili nyie wa hovyo sana. Ziko nyuzi mnazibania zisiende hewani lakini za kipuuzi kama huu mnauachia tu
 
'Thubutu' yako na acha kabisa 'Kuota' Mkuu. Hawa 'Wapinzani' kwa taarifa yako 'hawapendani' kabisa halafu Wote 'Mioyoni' ni 'Pro CCM' tupu tu.

..Inawezekana.

..lakini hujuma na ukatili wa ccm dhidi ya wapinzani ndiyo huwafanya wapinzani washikamane.
 
Kila mara nakutana tu na 'Picha' zao wakiwa 'Wamekumbatiana' na naona kama vile Maalim Seif Sharrif Hamad ndiyo anapenda mno 'Kumkumbatia' Tundu Lissu ambaye nae pia huwa anaonyesha kabisa 'Kufurahia' vile 'anavyokumbatiwa' hasa mbele ya Kadamnasi. Nashauri tu Wiki ijayo Rais Dk. Magufuli akishinda Uchaguzi Mkuu ujao kwa 'Kishindo' kabisa hawa Wawili 'Wakikumbatie' tu Chama chao Kimoja.
Vyama magumashi hivi
 
Ni hasara kuwa na vilaza kama wewe katika taifa kama huna cha kupost kacheze marede
 
Back
Top Bottom