chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati mbaya most of them wanapenda matusi kwa sasa. Labda ni maelekezo ya Mr Slow down.Hiloo jamaa nilipunguani la akili.
Zamani alikuwa anaakili saivi stress za maisha zinamdumaza akili yake.
Mtu anaejitambua huwezi andika ujinga hivyoo.
Kila mara nakutana tu na 'Picha' zao wakiwa 'Wamekumbatiana' na naona kama vile Maalim Seif Sharrif Hamad ndiyo anapenda mno 'Kumkumbatia' Tundu Lissu ambaye nae pia huwa anaonyesha kabisa 'Kufurahia' vile 'anavyokumbatiwa' hasa mbele ya Kadamnasi. Nashauri tu Wiki ijayo Rais Dk. Magufuli akishinda Uchaguzi Mkuu ujao kwa 'Kishindo' kabisa hawa Wawili 'Wakikumbatie' tu Chama chao Kimoja.
Kwahiyo una kawivu hivi?Kila mara nakutana tu na 'Picha' zao wakiwa 'Wamekumbatiana' na naona kama vile Maalim Seif Sharrif Hamad ndiyo anapenda mno 'Kumkumbatia' Tundu Lissu ambaye nae pia huwa anaonyesha kabisa 'Kufurahia' vile 'anavyokumbatiwa' hasa mbele ya Kadamnasi. Nashauri tu Wiki ijayo Rais Dk. Magufuli akishinda Uchaguzi Mkuu ujao kwa 'Kishindo' kabisa hawa Wawili 'Wakikumbatie' tu Chama chao Kimoja.
una chakukera sasa pmb weweNa mpaka Siku ya Uchaguzi Mkuu, Kutangazwa kwa Matokeo, Ushindi wa Rais Dk. Magufuli na CCM yake ( yetu ) nitawakera ( nitawaudhi ) sana.
Jaduong una tatizo moja la kutaka mtu kusifia hata upuuzi.Wakati mwingine, Gentamycine unakosa hoja . Ikiwa na hili andiko
Not only Gentamycine , even you too siku hizi umeendekeza matusi . Chagu ndugu yangu siasa hizi zisituondolee utu wetu. Alichokiandika huyo jamaa hakionyeshi usomi wake wa SAUTJaduong una tatizo moja la kutaka mtu kusifia hata upuuzi.
Jaduong, always mimi ni msema ukweli sasa matusi yanatoka wapi. Mfano uzi wa huyu popoyo kuna kosa gani kusema ukweli?Not only Gentamycine , even you too siku hizi umeendekeza matusi . Chagu ndugu yangu siasa hizi zisituondolee utu wetu. Alichokiandika huyo jamaa hakionyeshi usomi wake wa SAUT
Leo Maghufuli kaenda Karatu amemsifia sana Dr Slaa. Slaa huyu huyu wana Ccm walimtusi kila aina ya matusi. Kumbe wakiwa Cdm ni wabaya , lakini wakienda Ccm ni watakatifu ?! Same to Mzee Lowasa. Ni karibuni tu , mlikuwa mnamchakaza matusi , lakini Leo kila wakati yuko na Maghufuli high table . Usitimiwe na wanasiasa
Not only Gentamycine , even you too siku hizi umeendekeza matusi . Chagu ndugu yangu siasa hizi zisituondolee utu wetu. Alichokiandika huyo jamaa hakionyeshi usomi wake wa SAUT
Leo Maghufuli kaenda Karatu amemsifia sana Dr Slaa. Slaa huyu huyu wana Ccm walimtusi kila aina ya matusi. Kumbe wakiwa Cdm ni wabaya , lakini wakienda Ccm ni watakatifu ?! Same to Mzee Lowasa. Ni karibuni tu , mlikuwa mnamchakaza matusi , lakini Leo kila wakati yuko na Maghufuli high table . Usitimiwe na wanasiasa
So unafiki umeshinda ?!Sioni cha kushangaza. Chadema walimchafua Lowasa kwa zaidi ya miaka mitano, lakini mwisho wa siku ndiye akawa mpeperusha bendera wao wa mwaka 2015. Unashangaa nini?
Kila mara nakutana tu na 'Picha' zao wakiwa 'Wamekumbatiana' na naona kama vile Maalim Seif Sharrif Hamad ndiyo anapenda mno 'Kumkumbatia' Tundu Lissu ambaye nae pia huwa anaonyesha kabisa 'Kufurahia' vile 'anavyokumbatiwa' hasa mbele ya Kadamnasi. Nashauri tu Wiki ijayo Rais Dk. Magufuli akishinda Uchaguzi Mkuu ujao kwa 'Kishindo' kabisa hawa Wawili 'Wakikumbatie' tu Chama chao Kimoja.
Waliotetea jambo hili kwenye platform rasmi ni pamoja naAhaa jaduong kukumbatia mtu kwa upendo ni ushoga?
Mshaurini mgombea wenu amefanya kosa kubwa sana kutetea haki za mashoga.
Ndio madhara ya jobless, akibanwa na ushuzi tu basi lazima aje kujambia JF.Wakati mwingine, Gentamycine unakosa hoja . Ikiwa na hili andiko
Hiyo heshima anayo sasa ya kujishushiaa!!?Huwa una hoja leo una kiroja
Anyway ni haki yako na hujavunja sheria ila umejishushia heshima
Jaduong huu sio ukweli,Lugola alisema wazi bungeni ni kosa la jinai. Na kuhusu kabudi ni propaganda za uongo tu. Sheria za Tanzania zinatamka wazi kuwa ni kosa.Waliotetea jambo hili kwenye platform rasmi ni pamoja na
1. Waziri wa mambo ya ndani wakati huo mh. Khangi Lugola (bungeni). Hansard zipo.
2. Waziri wa mambo ya nje mh. P Kabudi akimkana mkuu wa mkoa wa DSM wakati huo Paul Makonda mbele ya jamii ya kimataifa. Na huo ukawa ni msimamo wa serikali juu ya mashoga. Sasa mbona mnamuangushia Tundu Lissu upupu wenu ?!
Mbona maalim alihojiwa na bbc akaelezea hiki ulichouliza. Hawakutaka kuweka mayao yote kwenye kapu mojaKila mara nakutana tu na 'Picha' zao wakiwa 'Wamekumbatiana' na naona kama vile Maalim Seif Sharrif Hamad ndiyo anapenda mno 'Kumkumbatia' Tundu Lissu ambaye nae pia huwa anaonyesha kabisa 'Kufurahia' vile 'anavyokumbatiwa' hasa mbele ya Kadamnasi. Nashauri tu Wiki ijayo Rais Dk. Magufuli akishinda Uchaguzi Mkuu ujao kwa 'Kishindo' kabisa hawa Wawili 'Wakikumbatie' tu Chama chao Kimoja.
Wewe muhutu ni msengerema sana. Rudi kwenu rwandaNa mpaka Siku ya Uchaguzi Mkuu, Kutangazwa kwa Matokeo, Ushindi wa Rais Dk. Magufuli na CCM yake ( yetu ) nitawakera ( nitawaudhi ) sana.