Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa utafiti gan uloufanya Hadi useme Hilo?.Hongera Hussein Bashe kwa kuweka pamba masikioni dhidi ya kelele za Luhaga Mpina kuhusu vibali vya sukari. Isingekuwa maamuzi yale ya mwaka jana, leo bei ya sukari ingekuwa zaidi ya Tsh 10,000/= kwa kilo
Hawa wajinga wanapewa pombe na nyama wanakuja kutetea wizi wa mali za ummaKwa utafiti gan uloufanya Hadi useme Hilo?.
Suala sio Sukari, utaratibu unasemaje?
Wee ni Mjinga , wajinga mnauelewa wa juuu juu na Wa ujumla .luhaga mbina kibaraka wa mabepari wahujumu uchumi hafai kwa lolote hata kuwa mwenyekiti wa kijiji
Kwa hiyo mtu akiwa upande wa wananchi tayari ni mhujumu uchumi ?luhaga mbina kibaraka wa mabepari wahujumu uchumi hafai kwa lolote hata kuwa mwenyekiti wa kijiji
Uchawa ni kiwango cha chini kabisa cha kutumia akili uliyopewa na Mungu..wewe ni mpumbavu kuleta upumbavu na yule alikutuma kuleta upumbavu ni MPUMBAVU pia....Hongera Hussein Bashe kwa kuweka pamba masikioni dhidi ya kelele za Luhaga Mpina kuhusu vibali vya sukari. Isingekuwa maamuzi yale ya mwaka jana, leo bei ya sukari ingekuwa zaidi ya Tsh 10,000/= kwa kilo
Weka bei ya sukari tu kutoka duka la mangi la jirani kuanzia Julai 2024. Halafu linganisha na bei ya October 2023 hadi June 2024.Kwa utafiti gan uloufanya Hadi useme Hilo?.
Suala sio Sukari, utaratibu unasemaje?
Elezea sukari ingefikaje 10000 na sio kupiga ramli mkuuHongera Hussein Bashe kwa kuweka pamba masikioni dhidi ya kelele za Luhaga Mpina kuhusu vibali vya sukari. Isingekuwa maamuzi yale ya mwaka jana, leo bei ya sukari ingekuwa zaidi ya Tsh 10,000/= kwa kilo