Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Wewe ni sehemu ya majizi ndio maana unmtetea mhabeshiHongera Hussein Bashe kwa kuweka pamba masikioni dhidi ya kelele za Luhaga Mpina kuhusu vibali vya sukari. Isingekuwa maamuzi yale ya mwaka jana, leo bei ya sukari ingekuwa zaidi ya Tsh 10,000/= kwa kilo