Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani jamaa alikua tayari sukari iuzwe elfu 10 kuliko iagizwe kutoka nje!! Kwa akili zake hakujua wakiagiza watu wengi ndio bei hushuka?Hongera Hussein Bashe kwa kuweka pamba masikioni dhidi ya kelele za Luhaga Mpina kuhusu vibali vya sukari. Isingekuwa maamuzi yale ya mwaka jana, leo bei ya sukari ingekuwa zaidi ya Tsh 10,000/= kwa kilo
Chama pekee kimachoruhusu Watu waspeak their mind ni CHADEMA.Kwa hiyo amekubali kuwa mfugo wa nani? CHADEMA?
Mkuu hiyo ndiyo HOJA yangu kubwa. Fanya utakachofanya whether unafuata taratibu au unavunja taratibu lakini wananchi wapate sukari kwa bei rahisi.Yaani jamaa alikua tayari sukari iuzwe elfu 10 kuliko iagizwe kutoka nje!! Kwa akili zake hakujua wakiagiza watu wengi ndio bei hushuka?
Elfu 10 ,kivipi???? Fahamu kuwa haiwezi kufikaHongera Hussein Bashe kwa kuweka pamba masikioni dhidi ya kelele za Luhaga Mpina kuhusu vibali vya sukari. Isingekuwa maamuzi yale ya mwaka jana, leo bei ya sukari ingekuwa zaidi ya Tsh 10,000/= kwa kilo
Ni mifugo kwa ajili ya chakula cha viongozi wa kiumeUWT mnepewa pombe na nyama kuja kutetea ufisadi, wajinga wakubwa nyie
sawa Mkuu,Maana Supply ikiwa Ndogo najua watu watashift tu demand sasa maneno ya mtu mmoja ambae sio rais atafikishaje elfu 10 umenielewaLaw of supply and demand, basic concept in introductory economics.
Tafuta D 2 za MEMKWA ukasome EGM au ECA, la sivyo huwezi kuelewa kitu
Kwa taarifa ya kiafya “added sugar” ni adui wa afya. Unapata sukari ya kutosha hata ukiwa unakula ugali, wali hata mkate.Weka bei ya sukari tu kutoka duka la mangi la jirani kuanzia Julai 2024. Halafu linganisha na bei ya October 2023 hadi June 2024.
Utaona tofauti, haihitaji rocket science
Kwani unataka uishi miaka mingapi wewe bwege? Unadhani usipotumia sukari, wanga na pombe ndiyo utaishi milele??Kwa taarifa ya kiafya “added sugar” ni adui wa afya. Unapata sukari ya kutosha hata ukiwa unakula ugali, wali hata mkate.
Kahawa ukinywa kavu bila sukari inatunza maini na ni rafiki wa moyo. Uingizapo sukari ndiyo unaharibu kila kitu. Unaweza kutumia asali kwa kiasi ikawa na faida kwa afya kuliko added sugar.
Fala wewe ni kama vile hata shule hukwenda
Kuna madhara unayapunguza, huwezi kuzuia kufa. Unaweza ku-punguza safari kwa daktariKwani unataka uishi miaka mingapi wewe bwege? Unadhani usipotumia sukari, wanga na pombe ndiyo utaishi milele??
Huyo mshamba wa kisukuma ht kiswahili ni shida atatoa hutba gani ya maana.Wee ni Mjinga , wajinga mnauelewa wa juuu juu na Wa ujumla .
Nina uhakika, wee hata upewe Masaa sita, huwezi sikiliza na kuelewa hotuba ya dakika 10 ya MPINA.
Maisha yenyewe mafupi, unatafuta fedha halafu huwezi kula vizuri!! Kisa nini? Ili tu ufikie umri wa David Musuguri aliyekufa na miaka 104.Kwa taarifa ya kiafya “added sugar” ni adui wa afya. Unapata sukari ya kutosha hata ukiwa unakula ugali, wali hata mkate.
Kahawa ukinywa kavu bila sukari inatunza maini na ni rafiki wa moyo. Uingizapo sukari ndiyo unaharibu kila kitu. Unaweza kutumia asali kwa kiasi ikawa na faida kwa afya kuliko added sugar.
Fala wewe ni kama vile hata shule hukwenda
kweli kabisa ingependeza ,wakimalizana kule waje wakague matumizi ya vifurushi walivyokuwa wanatumaDOGE anakuja 🐼
Mpina kibaraka wa mafisadiYaani jamaa alikua tayari sukari iuzwe elfu 10 kuliko iagizwe kutoka nje!! Kwa akili zake hakujua wakiagiza watu wengi ndio bei hushuka?