Kama Uchaguzi wao umetawaliwa na Rushwa kwa 85% wanapata wapi uhalali wa Kupingana na Tamko la Werevu TEC?

Kama Uchaguzi wao umetawaliwa na Rushwa kwa 85% wanapata wapi uhalali wa Kupingana na Tamko la Werevu TEC?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na bahati nzuri Wanaosema kuwa Uchaguzi wenu wa Jana ulijaa Rushwa tupu ni Wenzenu ( tena baadhi yao ) ni Wapiga Kura mnapata wapi Uthubutu wa Kuukana na Kuukosoa Msimamo wa wenye Akili Kubwa duniani TEC na Kanisa Katoliki ( GENTAMYCINE nikiwemo ) juu ya Sakata la Uwekezaji wa DP World na Rasilimali za Watanzania na Tanzania?

Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko.
 
Hatuna kiongozi halali kwa sasa, yote ni majizi, yalituibia uchaguzi sasa yanaanza kutuibia raslimali zetu na hayataki kukemewa
 
Kuna uchaguzi wa askofu wa jimbo fulani ulifanyika mpaka uchawi ulitumika,sisemi uongo mpaka leo ili dhehebu naliangaliaga tu,mara askofu akope ela bank ashindwe kulipa mwisho wa siku waumini ndio tunalipa ili mali za kanisa zisikamatwe na bank yani uku ni majanga matupu
 
Ukiambiwa usiamin wanasiasa ni pamoja na huyu jamaa wa kuitwa GENTAMYCINE alituaminisha kuwa wapinga mkataba wa bandari nyuma yao kuna familia ya msoga ndy haitaki uwekezaj ili kampuni yao iendelee kujipigia kupitia mali za Wa Tz sasa leo nae kaungana na familia hy hy ya msoga kupinga!? Naamin msemo wa kuwa mwanasiasa akikuambia sasa hivi ni mchano toka nje ukahakikishe.
 
Kuna uchaguzi wa askofu wa jimbo fulani ulifanyika mpaka uchawi ulitumika,sisemi uongo mpaka leo ili dhehebu naliangaliaga tu,mara askofu akope ela bank ashindwe kulipa mwisho wa siku waumini ndio tunalipa ili mali za kanisa zisikamatwe na bank yani uku ni majanga matupu
Bila shaka ni AICT Shinyanga
 
Na bahati nzuri Wanaosema kuwa Uchaguzi wenu wa Jana ulijaa Rushwa tupu ni Wenzenu ( tena baadhi yao ) ni Wapiga Kura mnapata wapi Uthubutu wa Kuukana na Kuukosoa Msimamo wa wenye Akili Kubwa duniani TEC na Kanisa Katoliki ( GENTAMYCINE nikiwemo ) juu ya Sakata la Uwekezaji wa DP World na Rasilimali za Watanzania na Tanzania?

Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko.
Si yule mkimbizi mwenzio hayati marehemu ndo alofanya hivyo. Popoma waheed wewe.
 
Na bahati nzuri Wanaosema kuwa Uchaguzi wenu wa Jana ulijaa Rushwa tupu ni Wenzenu ( tena baadhi yao ) ni Wapiga Kura mnapata wapi Uthubutu wa Kuukana na Kuukosoa Msimamo wa wenye Akili Kubwa duniani TEC na Kanisa Katoliki ( GENTAMYCINE nikiwemo ) juu ya Sakata la Uwekezaji wa DP World na Rasilimali za Watanzania na Tanzania?

Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko.
Yaani kwenye hili sisemi kitu ingawa nshasema😀
 
Na bahati nzuri Wanaosema kuwa Uchaguzi wenu wa Jana ulijaa Rushwa tupu ni Wenzenu ( tena baadhi yao ) ni Wapiga Kura mnapata wapi Uthubutu wa Kuukana na Kuukosoa Msimamo wa wenye Akili Kubwa duniani TEC na Kanisa Katoliki ( GENTAMYCINE nikiwemo ) juu ya Sakata la Uwekezaji wa DP World na Rasilimali za Watanzania na Tanzania?

Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko.
Tec=gays
 
Kuna uchaguzi wa askofu wa jimbo fulani ulifanyika mpaka uchawi ulitumika,sisemi uongo mpaka leo ili dhehebu naliangaliaga tu,mara askofu akope ela bank ashindwe kulipa mwisho wa siku waumini ndio tunalipa ili mali za kanisa zisikamatwe na bank yani uku ni majanga matupu
Inasikitisha Sana Sana, na waumini bado anasali ktk kanisa viongozi wamebeba maroho ya kichawi alafu mtegemee nyie mbebe Roho Mtakatifu? Mjitafakari Sana na safari yenu ya Imani... Msijeachwa kwa kutegemea kanisa
 
Back
Top Bottom